The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Masikini sikio la kufa halisikii dawa! Si jambo la kufurahia maana kifo cha binadamu ni jambo baya.
Kama NTC itaweza kushika hatamu za nchi na kudhibiti hali ya usalama na kuleta demokrasia shirikishi kwa wote bila visasi..MAPINDUZI HAYA YATAKUWA NA MAANA KUBWA ! LIBYA NI TAJIRI SANA KWA KIASI KIKUBWA USTAWI ENDELEVU UTATEGEMEA MABADILIKO YA KWELI. Hatutaki Iraq nyingine.
 
wOKQUqLCqgBnAAAAABJRU5ErkJggg==

An image from a mobile phone apparently showing Col Muammar Gaddafi wounded
 
comments nzuri lakini katika vitu vya msingi maishani ni "Timing", Mwalimu Nyerere alisoma alama za nyakati na kufanya 'timing' ya "kung'atuka".Angelifanya kosa kukaa miaka 3 zaidi labda leo tusingelimuongelea hivi! Angalia pia Mzee Mubarak, sasa hilo ndilo limemshinda 'shujaa' huyu ambaye cheo chake kijeshi ni Field Marshal kumbuka!
Honestly, to my opinion Gaddaf hajatendewa haki kabisa. Kaijenga Libya ambayo ilikua chini ya ufalme na watu walikua na shida akawatoa kote huko, leo wanamuondoa hivi?!! Is not fair kabisa.
Kumbuka hata hao ndugu zake aliowapendelea na mlolongo wote hakuna atakayezifaidi hizo mali maana hata atakayebakia atakuwa na kumbukumbu za ndugu waliouwawa pamoja na hofu. Laiti tungelielewa maana ya maisha madaraka ya siasa yasingetupofusha ki hivi!
Maskini Gadaffi! Alitaka united africa lakini akaadvocate kugawanywa kwa Nigeria kwa misingi ya dini!&nbsp;&nbsp; <BR>Japo alijitahidi kuwapa mahitaji watu wake, alichukua sehemu kubwa ya raslimali za nchi kuwafanya ndugu zake wa karibu waishi maisha kama ya 'peponi'<BR>His days are over now.&nbsp;&nbsp;&nbsp; <BR>Suala ni je tunajifunza nini?
 
despite of everything ghadafi hakudeserve ubaya huu sidhani kama tunaweza kumuweka kwenye orodha ya viongozi wabaya hapa africa africa kuna viongozi wabovu ambao wananchi wao wanateseka ILA LIBYA WALIKUWA WANAKULA BATA shule bure hosptal nk wazungu wamewadanganya nadhani watakula joto yao sasa rip ghadafi
 
They’ve had free education, free health, they could study abroad. When they got married they got a certain amount of money. So they were rather the envy of many other citizens of African countries. Now, of course, since NATO’s humanitarian intervention the infrastructure of their country has been bombed back to the Stone Age. They will not have the same quality of life. Women probably will not have the same degree of emancipation under any new transitional government. The national wealth is probably going to be siphoned off by Western corporations. Perhaps the standard of living in Libya might have been slightly higher than it perhaps is now in America and the UK with the recession
 
[h=1]U.S. checking reports of Gaddafi's capture, death[/h]WASHINGTON (Reuters) - U.S. officials on Thursday scrambled to check reports that deposed Libyan leader Muammar Gaddafi had died after being captured near his hometown of Sirte following months of civil war. Gaddafi was wounded in the head and legs as he tried to flee in a convoy that came under attack from NATO warplanes at dawn, a senior official with Libya's National Transitional Council told Reuters.

A senior Obama administration official said the U.S. was working to confirm the reports. "We're working on it," the official said. Gaddafi's death followed months of NATO military action in Libya that began over a government crackdown against pro-democracy protesters inspired by protests in neighboring Tunisia and Egypt that ended in the overthrow of long-standing autocratic leaders. The United States led the initial air strikes on Gaddafi's forces but quickly handed the lead over to NATO, while taking a secondary role to Britain and France. The NATO bombing campaign helped Libya's rebels take power.

Secretary of State Hillary Clinton on Tuesday became the most senior U.S. official to visit Tripoli since Gaddafi's four-decade rule ended in August.
Clinton hailed "Libya's victory." But her visit was marked by tight security in a sign of worries that the country's new rulers have yet to establish full control over the country. Gaddafi was wanted by the International Criminal Court on charges of ordering the killing of civilians. He was believed to be hiding deep in Libya's Sahara desert. His wife, two sons and a daughter fled to neighboring Algeria shortly after Tripoli fell to rebel forces in August.
 
hakuna ushahidi kama ameuwawa,ila habari zote ni kua amejeruhiwa na kukamatwa na aliemkamata anaitwa muhammad al bibi kijana mwenye kati ya miaka 20 na 25
 
6,h=343.bild.jpg

Here is the the first picture of Gaddafi from Sirte! Well, nobody knows whether is the photoshop or true Gaddafi!
 
Ghadafi ana dharau sana ,aliwatusi wananchi wake ,akawaona wote hawajui kitu leo kuanzia benghazi, tripoli ban walid ni shangwe ,kwani muosha huoshwa ,wanaNTC wao hawajui matusi wamenyonga na kuua kabisa,anaungana na Rafikize saddam,Osama hili ni somo tosha kwa yule Rais wa Iran Ahmeidnijad anaye make noisy kuwa israeli ifutwe kwenye ulimwengu,ajipange maana watam-roast kama mshikaki naungana na wote wanamageuzi, wapenda uhuru, na kujali haki za msingi za raia kusherehekea ushindi huu wa kipekee!RIP GHADAFI kwa kiwango kile kile utakachopendwa ndivyo utakavyochukiwa!
 
Breaking News........GADDAFI HAS HAS BEEN KILLED.....ALJAZEERA WAKO HEWANI SASA WANAIRIPOTI HIYO ISSUE
information minister wao anadai wanataka Gaddafi ashitakiwe ndani ya Libya.Hii shughuli naona ndo kwanza inaanza.Lets wait and c what they gonna do with him,naamini bado ana karata zake valid in the game.
 
Back
Top Bottom