The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Gaddhafi kafa picha yake hii hapa CNN


[video]http://www.theblaze.com/stories/graphic-warning-cnn-airs-alleged-photo-of-dead-gadhafi/[/video]
 
Kila mtu atakufa yeye kafa katika kuitetea nnchi yake na kile anacho kiamini hakutaka kuwa mtumwa wa wazungu. Swali je sisi tutakufa katika kutetea na kusimamia tunacho amini au ndo magonjwa yetu ya Kitandani?
 
Sasa nadhani serikali ya Tanzania itatangaza kuwatambua NTC rasmi (kama kweli Gaddafi ameuwawa). Walikuwa wanangoja wapate uhakika kwamba Gaddafi hatorudi utawalani.
 
Pamoja kuwa kuna taarifa kuwa amekamatwa,lakini taarifa kutoka CNN,zimedai Gadaffi ameuwawa,lakini NATO bado wanasita kutangaza wanasubiri taarifa hizo kudhibitishwa,nadhani huu utakuwa ndio mwisho wa Col.Gadaffi
 
Nani alikuwambia kuwa alitawala kimabavu?

Nyerere wakati anaachia madaraka alisema hivi: Nimekaa ikulu miaka 23 haitokaa itokee rais yeyote wa Africa kufikia record yake na ikitokea akafikia basi hataondoka salama.
 












http://blogs.aljazeera.net/liveblog/libya

[TD="class: articleTitle"]Muammar Gaddafi killed in Sirte [/TD]

[TD="class: Tmp_hSpace10"][/TD]

[TD="class: DetailedSummary"]
Abdul Hakim Belhaj, an NTC military chief, has confirmed that Muammar Gaddafi has died of his wounds after being captured near Sirte.
The body of the former Libyan leader was taken to a location which is being kept secret for security reasons, an NTC official said.
"Gaddafi's body is with our unit in a car and we are taking the body to a secret place for security reasons," Mohamed Abdel Kafi, an NTC official in the city of Misrata, told Reuters.
[TABLE="width: 33, align: right"]
[TR]
Earlier, Jamal abu-Shaalah, a field commander of NTC, told Al Jazeera that the toppled leader had been caught.
"He's captured. He's wounded in both legs ... He's been taken away by ambulance," Abdel Majid, a senior NTC military official said.
A photograph taken on a mobile phone appeared to show Gaddafi heavily bloodied, but it was not possible to confirm the authenticity of the picture.
The news came shortly after the NTC captured Sirte, Gaddafi's hometown, after weeks of fighting.
"Thank God they have caught this person. In one hour, Sirte was liberated," a fighter in the town said.
Former spokesman captured
Another NTC commander said that Moussa Ibrahim, former spokesman for Gaddafi's fallen government, was captured near Sirte.
[TABLE="width: 33, align: right"]
[TR]
[TD]http://english.aljazeera.net/indepth/spotlight/libya/[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Abdul Hakim Al Jalil, commander of the 11th brigade, also said he had seen the body of the chief of Gaddafi's armed forces, Abu Bakr Younus Jabr.
"I've seen him with my own eyes," he said and showed Reuters a picture of Jabr's body.
"Moussa Ibrahim was also captured and both of them were transferred to [our] operations room."
NATO and the US state department said they could not confirm any reports. Meanwhile in Benghazi, crowds gathered in the streets to start celebrating the reports of Gaddafi's death.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: Tmp_hSpace10"][/TD]
[/TR]
[TR="class: SourceBarTitle"]
[TD="align: center"]Source:
Al Jazeera and agencies
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 

this is what they wantd,..they get it,they hold him alive,n killed him,his last words when captured"Who are you,What is going on?
 
Hizi picha za kukamatwa kwake zinachanganya, mara kavaa kanzu nyeupe, mara tena kombati ya kijani, inakuwaje hapo!!?
 
I dont bealive,wazungu watatuingilia mpaka chooni,africa got long way to walk,,,,stupid nato
 
Siamini hiyo picha ya BBC, kama ni ya Gadafi maana bado akili kushawishika kwamba Gadafi alikuwa na sura ya ujana namna hiyo. Ngoja tusubiri subiri
 
Hongera Qaddafi. Umekufa kama Mkwawa wa 1896... Chn ya makaburu na wazungu lakn kamwe ucsubutu kwenda ICC, ahera yake mola utarithi..

Mkwawa haku uwa na wamatumbi wenzie wala vibaraka wa wamatumbi,
 
Hakustahili hata kupinduliwa licha ya kifo. Tatizo kubwa la Africa ni kutegemea nchi za Magharibi. Sijui tutaondokana lini na kasumba hii
Baada ya kutawala miaka 42 unafikiri alistahili kuongezewa miaka mingapi kwa uchache.
 
Veteran Libyan strongman Muammer Gaddafi has been killed by new regime forces in their final assault on the last pocket of resistance in his hometown Sirte, a National Transitional Council spokesman said.


"We announce to the world that Gaddafi has been killed at the hands of the revolution," Abdel Hafez Ghoga said.

"It is an historic moment. It is the end of tyranny and dictatorship. Gaddafi has met his fate," he added.



this is what they wantd,..they get it,they hold him alive,n killed him,his last words when captured"Who are you,What is going on?
View attachment 39518
 
Nyerere wakati anaachia madaraka alisema hivi: Nimekaa ikulu miaka 23 haitokaa itokee rais yeyote wa Africa kufikia record yake na ikitokea akafikia basi hataondoka salama.
Gaddafi alifanya mengi mazuri ndani ya Libya na Afrika kwa ujumla. Hao waliomuua wanataka rasilimali za walibya na sio demokrasia kama wanavyosema.
 
Hapa ndipo sinema inaelekea kunoga.Eti for security reasons!. Kwani nani munamuhofia wakati Ghadafi mumemuua na mji kuuteka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…