The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Nguvu ya umma!
Kama kawaida ya CCM kulaghai chaguzi kwa kuiba kura na kusingizia eti wananchi wanakipenda chama kumbe wananchi wamechoka na wanahitaji mabadiliko, je kifo cha Gaddafi ujumbe umefika??
 
Wanafiki wa kwanza ni kina Membe walikuwa wanasubiri rafiki yao afe ili wasionyeshe unafiki wao kwake.

Bila shaka ni suala la siku chache tu. Ngoja tusubiri tuone. Sasa hivi wako bize kutunga maneno matamu matamu ya kuitambua NTC
 
i like you efforts to inform us thru pix but not the type of downgrading! its bad for gadaffi but he didnt deserve such brutal death.
 
USA na NATO ndio umma wa Libya?

Inategemea na miwani gani unatumia katika kulitazama suala hili. Ukilitazama kwa kurunzi ya kwamba Ghadafi ni shahidi (martyr) lazima utaona ni USA na NATO.
 
Du!! this is our world, hata sijui niseme nini anyway du acha nikalale kwanza!!!!!!!! !
 
Mafuta mafuta mafuta,jamani mafuta. Mkuu Gaddafi tangulia siku ya kiama tutaonana, msalimie Saddam mkionana.
 
Imeniuma sana kuliko maelezo ninayoweza kutoa! I salute u field marshal! R.I.P

Mtampa vyeo vingi sana. Kama imekuuma si ungeitikia ombi lake alipotaka Waafrika wakamsaidie kupambana na NATO? Iddi Amin mwenyewe alifanikiwa kumwomba Gaddafi msaada kututwanga kule Kagera. Yaani hapo you have just shown the real African of you.
 
unajua wiki iliyopita Kingunge alisema kitu, alisema kwamba Tanzania tunavyochukulia wawekezaji kama ndio baraka toka kwa Mungi tutajuta mbele ya safari. Napenda kutumia usemi huo maana Waafrica na hasa viongozi wamedhihirisha kwamba wao si chochote wala lolote mbele ya north and west countries, wenzetu wanatetea watu wa bala lao au nchi zao nasi viongozi wetu wanatetea nafasi zao za uongozi hapo ni tofauti. Kwa yeyote ambaye atainuka kuanza kuzungumzia umoja wa waafrica ataonekana chizi maana viongozi wetu wamelogwa au hawana malengo ya pamoja kila mmoja anatafutwa kuungwa mkono na mataifa nje ya africa. Tutaungana siku za mbele baada ya kuona faida kama wenzetu wa European walivyoona kuna ulazima wa kuungana ili kutetea maslai ya pamoja. Wanakuja kuligawa bara la Africa kama makoloni yao kama walivyofanya miaka ya 1880 nadhani tuna mda mrefu wa kujifunza na kuwa na sera ya pamoja kwa ajili ya watu wetu na africa yetu. Tofauti inaletwa na waafrica wanaojiona kuwa wao ni bora kuliko wenzao kama Uk wanavyojiona kwa sasa. Let work together as African to make United States of Africa.
 



Muammar Gaddafi called the rebels who rose up against his 42-years of one-man rule "rats," but in the end it was he who was captured cowering in a drainage pipe full of rubbish and filth.
"He called us rats, but look where we found him," said Ahmed Al Sahati, a 27-year-old government fighter, standing next to two stinking drainage pipes under a six-lane highway.
Government fighters, video evidence and the scenes of sheer carnage nearby told the story of the dictator's final hours.
Shortly before dawn prayers on Thursday, Gaddafi surrounded by a few dozen loyal bodyguards and accompanied by the head of his now non-existent army Abu Bakr Younis Jabr broke out of the two-month siege of Sirte and made a break for the west.
But they did not get far.
NATO said its aircraft struck military vehicles belonging to pro-Gaddafi forces near Sirte at about 8:30 a.m. (0630 GMT) on Thursday, but the alliance said it was unsure whether the strikes had killed Gaddafi.
Fifteen pick-up trucks mounted with heavy machine guns lay burned out, smashed and smoldering next to an electricity sub station some 20 meters from the main road, about two miles west of Sirte.
They had clearly been hit by a force far beyond anything the motley army the former rebels have assembled during eight months of revolt to overthrow the once feared leader.
But there was no bomb crater, indicating the strike may have been carried out by a helicopter gunship, or had been strafed by a fighter jet.
Inside the trucks still in their seats sat the charred skeletal remains of drivers and passengers killed instantly by the strike. Other bodies lay mutilated and contorted strewn in the grass. Some 50 bodies in all.
Gaddafi himself and a handful of his men escaped death and appeared to have ran through a stand of trees toward the main road and hid in the two drainage pipes.
But a group of government fighters were on their tail.
"At first we fired at them with anti-aircraft guns, but it was no use," said Salem Bakeer, while being feted by his comrades near the road. "Then we went in on foot.
"One of Gaddafi's men came out waving his rifle in the air and shouting surrender, but as soon as he saw my face he started shooting at me," he told Reuters.
"Then I think Gaddafi must have told them to stop. 'My master is here, my master is here', he said, 'Muammar Gaddafi is here and he is wounded'," said Bakeer.
"We went in and brought Gaddafi out. He was saying 'what's wrong? What's wrong? What's going on?'. Then we took him and put him in the car," Bakeer said.
At the time of capture, Gaddafi was already wounded with gunshots to his leg and to his back, Bakeer said.
Other government fighters who said they took part in Gaddafi's capture, separately confirmed Bakeer's version of events, though one said the man who ruled Libya for 42 years was shot and wounded at the last minute by one of his own men.
"One of Muammar Gaddafi's guards shot him in the chest," said Omran Jouma Shawan.
Army chief Jabr was also captured alive, Bakeer said. NTC officials later announced he was dead.
Fallen electricity cables partially covered the entrance to the pipes and the bodies of three men, apparently Gaddafi bodyguards lay at the entrance to one end, one in shorts probably due to a bandaged wound on his leg.
Four more bodies lay at the other end of the pipes. All black men, one had his brains blown out, another man had been decapitated, his dreadlocked head lying beside his torso.
Joyous government fighters fired their weapons in the air, shouted "Allahu Akbar" and posed for pictures. Others wrote graffiti on the concrete parapets of the highway.
"Gaddafi was captured here," said one simply.
From there Gaddafi was taken to the nearby city of Sirte where he and his dwindling band of die-hard supporters had made a last stand under a rain of missile and artillery fire in a desperate two-month siege.
Video footage showed Gaddafi, dazed and wounded, but still clearly alive and gesturing with his hands as he was dragged from a pick-up truck by a crowd of angry jostling group of government soldiers who hit him and pulled his hair.
He then appeared to fall to the ground and was enveloped by the crowd. NTC officials later announced Gaddafi had died of his wounds after capture.
SOURCE: YahooNews
 
Bila shaka ni suala la siku chache tu. Ngoja tusubiri tuone. Sasa hivi wako bize kutunga maneno matamu matamu ya kuitambua NTC

Ile bendera ya NTC pale ubalozi wa Libya itapandishwa chap chap with the authority of Membe kama bado
 
dont shoot dont shoot...................ye si mwanaume angewaambia tu wamshoot,ila hawa watu wa Libya huko mebeleni watalia na kusaga meno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…