Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachofanya waarab waonekane kama mabwege ni iman yao
kwani yeye alikuwa anawapeleka gerezani wapinzani wake?nilikuwa natazama cnn television wakaonyesha jinsi walibya wanavyouchezea mwili wa gaddafi
halafu wakaonyesha wazungu waliokuwa wanatazama kwenye tv wakicheka kwa madharau
swali nalojiuliza waarabu watadharauliwa mpaka lini
wameshindwa kumchukua gaddafi na kumweka gerezani bila kuonyesha huo ukatuni?
hawajui wanaingia kwenye maisha mapya ya kutawaliwa na nato?
Najuwa kuwa hukusema Afrika wamewazuia wamarekani.
Elewa vyema nimekueleza kuwa kama na wao wangeingiliwa kama wanavyotuingilia sisi basi wasingeweza kuungana.
Nobody meddled with their internal affairs.
Ndo maana nikakwambia kama hayo waliyowafanyia hao Native Indians ambao ni unyama na mauwaji,halafu wangeingiliwa kwa kigezo cha kuwa protect hao Indians,unadhani marekani wangekuwa walipo?
Reasoning i insist!
[h=1]AU says lifts suspension of Libya membership[/h]AU says lifts suspension of Libya membership | Top News | ReutersUjinga wa Mwafrika.
Nimemind sana kumuua huyu jamaa,yaani hadi nahisi machoz yananilengalenga! Jamaa alikuwa jembe la ukweli! RIP Ghadaff! EL 4 2015
AU says lifts suspension of Libya membership
AU says lifts suspension of Libya membership | Top News | Reuters
kwasababu hawana umoja kama wa africa. we are fricking selfish.wazungu wanapeana support mataifa yao.
Shame on Marekani kivipi?
Walikuwa wanapigania uhuru kutoka kwa nani? Hili ni suali au jibu?Kwa hiyo wakati wanapiginia uhuru wao walikuwa wanapigania dhidi ya nani? You're wrong to say nobody meddled with their internal affairs. Waingereza, Wafaransa, nk walikuwa wana meddle nini kule?
jamani wana jf naomba mnisaidie kuna comment nimewela picha za gadaff tangu anatolewa kwenye handaki hadi anauawa lakini zimetokea picha kama tatu tu halafu yakaja maandishi mengi ambayo hayaeleweki na yanasumbua sana.nimewambia mamod ile post waitoe au waiedit ili kuondoa yale maandishi lakini hawajafanya hivo.naombeni msaada wenu ili comment ieditiwe au ideletewe.ndimi ndugu yenu figganigga.thanx.mia
in future atauawa mwingine utakuja hapa na kuandika tena hayo. Kwa staili hii utawa-RIP madikteta wengi. Shame on you.
How can we have "THE UNITED STATES OF AFRICA"
......while the Somalis, Egyptians, Algerians, Moroccans etc openly claim that they are not African?
.......While Kikuyus and Luos don't see each other eye to eye?
.......While Tutsis and Hutus remain arch-enemies?
........Muslims and Christians hate each other in Tanzania/Zanzibar/Nigeria?
.........Xenophobia is the order of the day in South Africa?
...........Asian-descendants are being labelled as traitors or not-real citizens in the entire EAC?
............
.......
Walikuwa wanapigania uhuru kutoka kwa nani? Hili ni suali au jibu?
Waingereza walikuwa wakoloni, wale wadhungu wa US walikuwa NTC ya US, Wafaransa walifanya kazi ya ku-protect civilians (NATO).
Sasa fanya mahesabu mwenyewe hapo.