The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

308930_306322102716036_100000147453304_1455995_110205164_n[1].jpgNamwonea sana huruma,but just R.I.P mzee,tutakukumbuka daima
 
Asante kwa Video ila Ujumbe wa Signature yako unatia kichefu chefu
 
despite of everything ghadafi hakudeserve ubaya huu sidhani kama tunaweza kumuweka kwenye orodha ya viongozi wabaya hapa africa africa kuna viongozi wabovu ambao wananchi wao wanateseka ILA LIBYA WALIKUWA WANAKULA BATA shule bure hosptal nk wazungu wamewadanganya nadhani watakula joto yao sasa rip ghadafi

umesema ukweli they wil live regreting this
 
This is Just too bad. No human-being deserves to die like a dog...
 
Najua kuna thread nyingi zinazozungumzia tukio hili lakini naomba video hii iwe kwa wale wasioamini kuwa Gaddafi amekufa


Hili lita wacost sana walibya!Mtu aliyewafanyia mamb yote hayo didnt deserve this.Nina uhakika hakutakalika tena huko na ndivyo wanavyopenda hao NATO.Eti kuwaprotect wananchi.
 
Last edited by a moderator:
Kale kamama Hillary juzi alisema mkamateni Ghadafi na mumuue. Who are these peopls to order death of people?
Wao ndiyo advocates wa Human Rights ila wakitaka kuua wanaua tena wanasema wazi. Wamarekani wanafiki sana.

Mtaona kama mtayapata hayo mafuta na hao wahuni wenzenu wa NTC.

This is the saddest day for this year.
Nina heshima kubwa kwa Col.
Aliua? Nani hajaua? Alizuia democracy? Nani hajazuia?
Give me a break, Bush na US wameshaua wangapi? Wasio na walio na hatia?
Mmetengeneza suicide bombers leo na yatawakuta.
Shame on you NTC. Shame on you NATO.
 
Maskini Gadafi cjui kwann ulikua mgumu wa kuyamaliza kidiplomasia
 
  • Thanks
Reactions: EMT
I think you must be dreaming tulikwambia rafiki yako atakuwa anapigapiga miguu kama kuku aliyekatwa kichwa hukuamini na bado hujaamini.
Wewe ni mjinga kabisa wala sina haja ya kujadiliana na wewe.Nilisha doubt uwezo wako wa kufikiri loong time ago.So sijusumbui kabisa na upupu wako!
 
US pia walipitia hizo hatua? Au wao waliwezaje?

Kwa vile wao waliweza basi Afrika ingeweza? Nafikiri ndio idea ya Gaddafi ilikuwa hiyo. Kuwa lets unite like the United States of America as if hizo states 50 ziliamua kwa wakati mmoja kuungana na kuwa United States of America. Kama unadhani Afrika inaweza kuungana kama ilivyofanya USA then that inaweza kuwa ni utopia.

You cannot united out of the blue. The United States of Amerika ilianza na states 13 tuu. Unification of USA was process as well tena a fierce one including brushing aside Native Americans and Mexico na ku overcome modernizers waliotaka to deepen the economy rather than geographical expansion let alone bloody civil wars, secession, acquisition, reconstructions, immigration from Europe.

Intergration ya USA ilitokana zaidi na rivals kati ya Uingereza na Ufaransa juu ya makoloni which resulted into war which resulted in greater political integration of the colonies, as symbolized by Benjamin Franklin's call for the colonies to "Join or Die". Now under the contemporary and selfish world, can you apply this integration process in Africa? Nani Afrika yupo tayari kumwaga damu for the sake of creating the United States of Africa?

Njia waliopitia USA ku integrate ndio ilitakiwa nchi za Afrika zipitie wakati zinapata uhuru. The reality is the american process will never work. Na kama ingekuwa inafanya kazi the European Union could have followed it. East African Community could have followed that. We are living in a different world, sio ile dunia ya miaka ya 1700s. Siku hizi tunaishi kwenye dunia ambayo unamwona mwanamke, unampenda, unatongoza, anakubali, mnaaza kudate, mambo yakienda free, mnafunga uchumba, mwisho mnaona (na anaweza kukutosa vile vile). That is the reality of the modern world. You cant force states to integrate kama alivyokuwa anajaribu kufanya Gaddafi.
 
Kwa vile wao waliweza basi Afrika ingeweza? Nafikiri ndio idea ya Gaddafi ilikuwa hiyo. Kuwa lets unite like the United States of America as if hizo states 50 ziliamua kwa wakati mmoja kuungana na kuwa United States of America. Kama unadhani Afrika inaweza kuungana kama ilivyofanya USA then that inaweza kuwa ni utopia.

You cannot united out of the blue. The United States of Amerika ilianza na states 13 tuu. Unification of USA was process as well tena a fierce one including brushing aside Native Americans and Mexico na ku overcome modernizers waliotaka to deepen the economy rather than geographical expansion let alone bloody civil wars, secession, acquisition, reconstructions, immigration from Europe.

Intergration ya USA ilitokana zaidi na rivals kati ya Uingereza na Ufaransa juu ya makoloni which resulted into war which resulted in greater political integration of the colonies, as symbolized by Benjamin Franklin's call for the colonies to "Join or Die". Now under the contemporary and selfish world, can you apply this integration process in Africa? Nani Afrika yupo tayari kumwaga damu for the sake of creating the United States of Africa?

Njia waliopitia USA ku integrate ndio ilitakiwa nchi za Afrika zipitie wakati zinapata uhuru. The reality is the american process will never work. Na kama ingekuwa inafanya kazi the European Union could have followed it. East African Community could have followed that. We are living in a different world, sio ile dunia ya miaka ya 1700s. Siku tunaishi kwenye dunia ambayo unamwona mwanamke, unampenda, unatongoza, anakubali, mnaaza kudate, mambo yakienda free, mnafunga uchumba, mwisho mnaona. That is the reality of the modern world. You cant force states to integrate kama alivyokuwa anajaribu kufanya Gaddafi.
EMT,Afrika haikuwazuia wamerikani wasiungane kama wao wanavyo ifanyia Afrika.Sijui kwanini mapenzi sometimes yana hamper our reasoning ability ya baadhi yetu humu?!

Yani very very sad indeed!Nani aliwaingilia gold zao walipozigundua,silver and all that?Mafuta yao je?

Tafadhali fikiria zaidi mkuu wangu.

Kama wangeingiliwa na wengine ili kuwa protect hao Native Indians kungekuwa na US leo?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Wale bodyguards wa kike walikuwa wapi?
Wanaweza wakawa wameuwawa na kuwa raped.Mwenye nguvu ndo anaandika historia.Gaddafi kapambana nao vya kutosha.Just imagine all those propagandas kama kusingekuwa na other independent sources of news!

Kwahiyo usitegemee wataonyesha unyama wa hao magaidi.Nina uhakika wamefanya mabaya mengi sana pengine kuliko Gaddafi's years combined!

Na bado watarudi kwenye umasikini na vita vya muda sana!Hata hizo mass graves wanazozipata siamini kama Gaddafi did it.

Watafabricate ushahidi mwingi tu ili kujustifie unyama huu,lakini historia itamlinda Gaddafi kwasababu those days where Libya was on top are gone!
 
Kwa vile wao waliweza basi Afrika ingeweza? Nafikiri ndio idea ya Gaddafi ilikuwa hiyo.
Intergration ya USA ilitokana zaidi na rivals kati ya Uingereza na Ufaransa juu ya makoloni which resulted into war which resulted in greater political integration of the colonies, as symbolized by Benjamin Franklin's call for the colonies to "Join or Die". Now under the contemporary and selfish world, can you apply this integration process in Africa? Nani Afrika yupo tayari kumwaga damu for the sake of creating the United States of Africa?

Inaonekana African states zimefanya maamuzi hayo mekundu.
Rick Rozoff: World
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom