The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Kwa hiyo wakati wanapiginia uhuru wao walikuwa wanapigania dhidi ya nani? You're wrong to say nobody meddled with their internal affairs. Waingereza, Wafaransa, nk walikuwa wana meddle nini kule?
Fuatilia history ya US vyema mkuu.Na reference yangu haikuwa kipindi cha uhuru.Historia ya kupigania uhuru ya wamarekani ni tofauti na historia ya serikali dhidi ya native indian.Apples to apples mkuu.

Mfano wangu ulijikita zaidi kwenye ukweli kuwa uhuru tunadaiwa kuwa nao lakini hatuna maamuzi.Wahuni wakajiita watanzania wakasaidiwa wanaweza kuwaondoa hata viongozi wenu.(Sina maana napenda serikali yetu inavyofanya kazi)

Nina amini pia bila ya msaada mkubwa wa kuiharibu nchi hiyo ya Libya kwa kiasi walichofanya,wasingeweza kuiangusha serikali ya Libya,pi kwa upande mwingine,hata hayo yangekuwa yanatokea kwao wasingeungana.

Ustake kuniambia hujui kuwa mataifa hayo hayataki kabisa idea ya eti Afrika kuungana.

Sasa mfano mwingine ni hao wa wallstreet.Wakitokea wahuni wakawalima askari wa marekani risasi,askari hao waka retaliate na raia wakafa,je serikali nyingine ie uchina wanaweza kwenda kuwatetea wananchi hao kwa kuiondoa serikali iliyopo madarakani?

Kama kuna mtu angekuwa na malengo dhabiti kabisa dhidi yao kama ilivyo kwetu,basi narudia tena,US isingekuwa US hii unayoifahamu.

Ndo ukweli huo.
 
Reactions: EMT
nyie watu mbona haraka hivi? Mmesahau hii ni vita? Yes Ghaddafi sio immortal lakini kitu gani kimewashawishi kuwa amekufa kweli na sio kama walivyokufa walio hai wengine?
Mpaka sasa sijaona solid evidence bado....nikiiona ndio nitaamini.
BTW vipi Khamis, Saif, Saad na Mutassim?
 
Hillary Clinton "shocked" at Gaddafi death
Screen grab from CBS news shows Clinton's reaction to Gaddafi's death. Picture: Courtesy of CBS News

US Secretary of State Hillary Clinton was preparing for interviews when her Blackberry beeped.
"Wow," the she said with shock.

"Unconfirmed reports about Gaddafi being captured".

Mrs Clinton was in Kabul, Afghanistan, when she learned of the news and handed the phone to her aide.

But she was not immediately convinced of his death.

"We've had a bunch of those before. We've had him captured a couple of times".

News.com.au


 
Nafikiri nchi nyingi za Africa haziwezi Demokrasia. Huwa tunapenda mtu anayetutawala na kutuambia kila kitu. Shida ni kupata mtu anayeweza kutawala watu bila kujiweka mwenyewe mbele. Ndio tofauti ya Nyerere na Mugabe. Ndio tofauti ya Mandela na Ghaddafi.
 
Reactions: EMT
May ur soul rest in peace Gadaffi!you were a great leader!!wewe ni mpambanaji na umekufa kiume!
 
huu ndio ukweli,wale panya aliosema gadafi hawakuweza kumkamata wala kumuua gadafi,bali amepigwa kombora na ndege yakivita ya france na hata serikali ya france imekubali kua ndegezao ndio zilizoshambulia msafara wa gadafi,amekufa sasa tusubiri libya iwe somalia ya 2 ktk africa,na walibya watamkumbuka gadafi milele namilele kwa tabu yavita ya wenyewe kwa wenyewe ambayo ilianza hata gadaf hajafa,juzi tripoli walitwangana wao kwa wao hilo ndio itakua maishayao ya vita kila uchao.
 
16:15h/ Breaking News: Libya - Received word,that Leader Muammar will speak live on Tv and radio today...stay tuned.G.T(I think this Will depend on security stability).
15:30h/ TV Al.Shababiya - URGENT:::
We thank God that the leader is fine.
He is not in Sirte.
Do not believe lying NATO channel
They want him to communicate, to call TV stations, so they could locate him.
Victorious with God's help
This is reason's of fake news about Gaddafis death ( God safe him) !!!!
17

NTC rats want to push down our resistence spirit ! VIVA GADDAFI !!!
***Tommorow 21-10-2011 after the friday prayers we march in all the cities of Libya to honour the blood of our brothers in Sirte in Bani walid in Sebha and in other areas. We march united against the colonialist crusaders under the green flag of Libya.
There are gonna be continious marches on 28-10-2011 and on 11-11-2011.


Intifanda.Libya Liberal Youth to publish the facts for Libya tomorrow
 
Hawajui hilo bado.Ni kwasababu ya propaganda.Ngoja uone wananchi watakapoona wamebasilishiwa jamuhuri yao kwa demokrasia ya vita na umasikini.

Gaddafi kufa haina maana kuwa wale wenye kufuata ideas zake hawata endelea kupambana.Tena ndo watapata sababu kubwa zaidi.

Pale watakapoona classes gaps zikiendelea kuwa widened.Na hiyo peace gone forever.
 

















[h=2]THURSDAY, OCTOBER 20, 2011[/h][h=3]MUAMMAR AL GADDAFI IS ALIVE AND IS STILL LEADING LIBYAN RESISTANCE[/h]

21h/ Gaddafi’s Death is Rumor spread by TNC for Hillary Clinton - NOTE: Remember US Secretary was just in Libya instructing the rebels to do whatever it takes. Even that video and telling everyone she was in Tripoli was false. She was not in Tripoli.
Gaddafi was supposedly captured or killed in Sirte, that he was being tracked by satellite to be hiding somewhere deep in the southern Libyan desert. How can he now be captured or killed in Sirte if the town was under siege and in a blockade for weeks? Did Gaddafi somehow travel thousands of kilometres to sneak into Sirte? Then TNC’s Mahmoud Jibril (who is about to get sacked) said 68 vehicles with at least eight fighters each crossed the Libyan borders to Mali and Gaddafi is hiding in the southern desert. Pick up a map. Learn geography.
Today is just another day cleaning out garbage news. – TSR - >


[url]http://thesantosrepublic.com/2011/10/gaddafis-death-is-rumor-spread-by-tnc-for-hillary-clinton/
[/URL]​











 
Wale bodyguards wa kike walikuwa wapi?

Walinzi wa kike alikuwa akiwatumia wakati wa ziara, sherehe na wakati wa amani. Wakati wa mapambano alikuwa anatumia walinzi wa kiume, wengine ni waafrika weusi, na ameuawa pamoja nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…