The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Kwa akili yako Ipo siku Nato wataivamia Tanzania na kuitafuta CCM mafichoni na Kuiua au Kuipeleka The Haque? Nato ndio nguvu ya Umma? JF ina mchanganyiko wa watu mbalimbali wenye elimu tofauti na uelewa tofauti!
 
Iliyobaki sana tuanze kuzungumzia somo zima la Libya kwa mustakabali wa bara la Africa. The Libyan, and for that matter the African crisis, is far from over!
 
kuua ndio njia rahisi ya kuwavunja nguvu wanaomtetea maana hawatakua tena na wanayemtetea

asante mkuu,lkn tuwe wa wazi njia nzuri ni mahakamani na sio kuua.najuwa wapo wataonipinga.NTC inaonesha wazi kuwa kama alshabab.kutoa maamuzi fasta bila kufuata sheria.
 
 
Iliyobaki sana tuanze kuzungumzia somo zima la Libya kwa mustakabali wa bara la Africa. The Libyan, and for that matter the African crisis, is far from over!

Mkuu,
Hapa ungeanza basi kuzungumzia hili somo zima la Libya na huu mustakabali wa Afrika.

Colonel G. Alishasema US-NATO wakifanikiwa kuihujumu Libya basi ni vyema kwa nchi nyengine kujitaayarisha kwa kuhujumiwa pia. Sasa niambie kuna mustakabali upi hapa zaidi ya kuukubali "utumwa" kwa mara nyengine?
Hivi wananchi wa nchi ipi wanamwamko wa kupambana na US-NATO?
Gaddafi alitaka veto power kwa Afrika, hii ingepunguza makali ya US-West kupitisha maazimio ya kuzidhoofisha(vikwazo),kuzibomoa (kiziingilia kijeshi) nchi za kiafrika. Wengine wanataka tu wawe na kiti bila kura ya turufu.

Afrika imekaa at sidelines sasa ngoja jamaa watumalize tu ndio kitu kinachostahikia. Mpaka pale tutakapotia akili. We have accepted the defeat.
Au una mawazo tofauti?
 
Mkuu,
Hapa ungeanza basi kuzungumzia hili somo zima la Libya na huu mustakabali wa Afrika...
Hilo ni jukumu la yeyote yule. Nimetoa mapendekezo tu. Na nadhani hata kichwa cha hii thread kingebadilishwa na kusomeka The Libyan Crisis and Africa's options, tosha!
 


kaka unakumbukumu sana na hilo ni muhimu kuwakumbusha watanzania wote na hasa wazalendo wa nchi yetu
 
Kiongozi huyu comandoo alisikia pwa ikawa aliyelenga alikosea garilaka. Akaamua kutimkia kwenye culvert. Hapo alikamatwa na alijaribu kukumbia ila bahati mbaya hakusikia paa inamanisha ilimpata na mlengaji alikuwa na shabaha
 
Alisema Panya na Mende hawamtishi atawafagia nyumba hadi nyumba kwa sababu watu wake wanampenda sana na watamtetea mpaka kufa lakini jana tu alikutwa chini ya Kalvati. Mwingine (simtaji) alisema hatishwi na vyama vya msimu sijui amkiandaaje chama chake kitakaposhuhudia vyama vya msimu vikichukua nchi?
 
Ghadafi shujaa wa Afrika????? Nyerere atakuwa anatetemeka kaburini....
 
Kiongozi huyu comandoo alisikia pwa ikawa aliyelenga alikosea garilaka. Akaamua kutimkia kwenye culvert. Hapo alikamatwa na alijaribu kukumbia ila bahati mbaya hakusikia paa inamanisha ilimpata na mlengaji alikuwa na shabaha
Haaaaahahahaaaaa yaani umeniacha hoi sana, mimi nilizani unataarifa za maana kumbe unatuletea hadithi za kwa Mtogole!. Kazi kweli kweli.
 
mohhamed al bibi a libyan national hero, huyu sharobaro lazima alikuwa anamwambia 'mikono juu maaaaan' gadafi maaaan mi nakukill maaaan
 

Attachments

  • mohhamed al bibi a libyan national hero.jpg
    6.7 KB · Views: 585
Afu kitu kingine watu hawajajua kuwa waafrika weusi ndo wamekuwa targeted na hawa waasi...kama leo nimeona al-jazeera mtu mweusi amefungwa mikono kwenye mtutu wa kombora kwenye gari huku gari linatembea..lazima walimuua.
 
Reactions: tz1
Kiongozi huyu comandoo alisikia pwa ikawa aliyelenga alikosea garilaka. Akaamua kutimkia kwenye culvert. Hapo alikamatwa na alijaribu kukumbia ila bahati mbaya hakusikia paa inamanisha ilimpata na mlengaji alikuwa na shabaha

Story za kwenye vijiwe vya kahawa hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…