The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Kumbe jamaa walimkamata akiwa hai ndo wakamtambariza?
 
EMT

Hiyo picha ya pili ni Gaddafi kweli? Hayo madevu vipi?

Au huyo ndo Muttassim?

Kwa waliosikitishwa ni muda muwafaka wa kuweka matanga

We reap what we sow...this is a good lesson for leaders who neglect their own people.
 
R.I.P Gadafi

RIP 11.jpg
 
Wanafurahia kazi yao


Hawa walishajuwa wanachotaka kukifanya,it was all the matter of timing.

Si walisema Gaddafi siyo target?

Walikuwa wanajuwa movements zake sema waliamini ataangushwa kiurahisi,haukuwa hivyo.

Huyu mama alipoenda aksema angefurahi kama akiuwawa ama kukamatwa,haikuchukuwa hata wiki ndio maana unaona haya.
 
Last edited by a moderator:
wale mabaeberu hatimaye wameweza kufanya waliyokusudia nacho ni kufurahia kutoa uhahi wa shujaa wa africa, haitoshi wanaudhihirishia ulimwengu kwamba unyama ndiyo jadi yao, muhamar gadafi daima utakumbukwa kwenye historia ya maendeleo na mageuzi ya kisiasa na kiuchumi barani africa, kapumzike salama mbele ya haki wasalimie nkuruma, nyerere, abdul nasser,chachage na samola machel, waambie bara la africa limetawaliwa na makuwadi wa ubeberu mamboleo. Amen

uko sahihi kabisa. Kwangu mimi gadafi atabaki kuwa shujaa. Mother **** to us, uk, france and all their allies.
 
And who are your "brothers" here?

Kuna kunguru aliokota manyoya ya tausi. Kisha alichukua nta akajigundishia yale manyoya mwili akaenda kujiangalia kwenye kioo akajiona amekuwa tausi, akaenda kujichanganya kwenye kundi la tausi.
Sasa sikia maongezi ya tausi, "Look ta that poor crow, does he really think he is like one of us?" "Teh teh teh ... ..."

Sasa usishangae mkuu, hao kuguru wapo wengi tu!
 
Eeh!! Bwana wewe ndio unavuta mibange tena ya Pwani maana CCM waliua Zenji, watz wakaa kimya wakeenda Arusha wakafanya mauaji bado hamkusema kisa tu wanauwa ni watanzania wenzio wenye mrengo usio upenda du!! hiyo haikukolea bado wakamuua kijana wa chadema tena Igunga bado halijakugusa tu au kwa vile ni watanzania wa hali ya chini mmmh!! Eti kisa ni mbeba magunia, mlalahoi ila du damu hizi zitasema siku moja. Hakika tumechoshwa na mauaji ya kimya kimya yanayofanywa na CCM kwa watanzania owote iwe ni kwenmye chama chao au nje ya chama h hii Tanganyika ni yetu sote.
Sasa ndio tujiepushe na bangi za CDM pia ipo siku watamuua mtu
 
Wewe ndio nadhani ufanyi utafiti unadhani wazungu wapo kwa ajili ya kutetea watu? Huko ni kujidanganya kama wamepewa kuchimba migodi na CCM kwa miaka 99..

Jiulize kwa nini Nato na US hawajaenda kumtoa madarakani Mugabe? Hawana maslahi yoyote Zimbwabe..hivi unadhani Wazungu wapo tayari kufa kwa ajili ya kusaidia Waafrika?

Wazungu hawana chama sio CCM wala CHADEMA wenyewe wanataka mambo yao yaendee tu

Mmarekani hana haja na Dhahabu yenu hata mkimpa kwa karne 100! Lakini iwapo sera zenu zitaonekana kuhatarisha Usalama na Uchumi wa Taifa lake lazima watakupiga tu! Kama utashirikiana na Al-Qaeda hakika utaambulia kipigo. Hapo si swala la Urafiki,Dhahabu wala Mafuta.
US walishawahi kuingia Somalia si kwasababu ya mafuta baali ni kwa vile Somalia ilikuwa inaonekana kushirikiana na Vikundi vya magaidi wa kimataifa kama Al-Qaeda na Al-Shaabab.
 
Je, kwa wale waliomuona Gaddaf kama Shujaa, ni vipi Shujaa huyu aliyemsaidia Idd Amin kutoa majeshi yake na silaha za kivita dhidi ya Tz miaka ya sabini?

Watu bwana!!
 
Mamndenyi umenikumbusha mbali sana na hao jamaa zetu wa us aka wazee na wadada wa makaratasi, walitoa hadi ratiba za usafiri na vituo, ghafla kimyaa haya ndo mambo ya kujifanya mwanaharakati kumbe njaa na umaarufu wa holela holela unakusumbua. I hate u pipo
 
Kiongozi huyu comandoo alisikia pwa ikawa aliyelenga alikosea garilaka. Akaamua kutimkia kwenye culvert. Hapo alikamatwa na alijaribu kukumbia ila bahati mbaya hakusikia paa inamanisha ilimpata na mlengaji alikuwa na shabaha

Umeamua kutuletea ndoto zako ulizoota usiku, sijui unamaanisha nini kwenye hii hadithi yako
 
Mkuu
Kila mtu atakufa au atauliwa. Kwa hiyo sote tutapata huo mshahara ukiwemo wewe na mimi pia.
Wengine wanapokufa ndio hupatikana uwokozi. Huenda historia ikajirudia.
 
Wale Mabaeberu hatimaye wameweza kufanya waliyokusudia nacho ni kufurahia kutoa uhahi wa Shujaa wa Africa, Haitoshi wanaudhihirishia ulimwengu kwamba Unyama ndiyo jadi Yao, Muhamar Gadafi Daima utakumbukwa kwenye Historia ya Maendeleo na Mageuzi ya kisiasa na kiuchumi Barani Africa, Kapumzike salama Mbele ya haki wasalimie Nkuruma, Nyerere, Abdul Nasser,Chachage na Samola Machel, waambie Bara la Africa limetawaliwa na makuwadi wa Ubeberu Mamboleo. AMEN

Mashujaa wa kweli huwa hawaogopi kukabiliana na ukweli, na wakikosea huwa hawaogopi kukiri kosa na kuomba msamaha. Huyu alishirikiana na Nduli Idd Amin kuiingiza Tanzania katika vita iliyoharibu uchumi wetu mwaka 1978. Matokeo yake tuliambiwa tufunge mikanda kwa miezi 18 lakini hadi leo hatujatangaziwa kufungua mikanda. Shilingi yetu imekuwa dhaifu mbele ya majirani zetu Kenya tangu wakati huo.
Kama yeye angekuwa jasiri, angejitokeza hadharani na kuwaomba radhi Watanzania, wala sio kufanya ujanja wa kuwanunulia pipi. Na iwapo waliyamaliza chumbani na Membe, basi mtutangazie tujue!
 
Back
Top Bottom