The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

gaddafi_2034053c.jpg

http://www.google.com/url?sa=t&rct=...hPiVDw&usg=AFQjCNFa096Mp6cmj1HY4FBVwvAKZCx_uA
 
mi sioni tofauti ya huyu mama anayetawala milele na utawala wa ghadafi uliondolewa kwa nguvu.waingereza ingieni barabarani
 
Unajua usichokijua kitakusumbua! Hivi kwa mawazo yako unafikiria kuwa waasi pamoja na watu walioandamana libya ni kwa maslahi ya watu wa libya? Chunguza kwa sasa Obama anaidai mapesa mangapi hiyo libya unayojivunia kwa mapinduzi ya kishetani, vituo vya mafuta nani ameviteka mpaka fidia ya mapesa yanayodaiwa mpaka yarudi yote.
 
Libya wamepandikizwa chuki na mataifa ya magharibi. Hata waliompindua Gadaf ni kwa maslahi ya nchi za magharibi.
 
He wil remain the African Hero,now i guess the whites are heading to zimbabwe,for real as one of our politicians said enough of white dragging us,n also if we are not careful its a new type,they a coming to rule,but free mesage to white we are no longer stupid africans we wil deal with you,keep becoming more n more in our countries bt dont try stupidity everyone has limits,
 
Hivi kwa nini na sisi tusitafute jeshi tukawaanzishie huko huko,yaani hawa,
 
Malkia hana nguvu ya utekelezaji wa kisheria kama kuteua mawaziri kufanya kazi za serikali etc. Yupo pale kama alama ya Taifa tu. Hii ni tofauti na utaratibu wa uongozi wa Libya ambapo Rais ndiye mwenye mamlaka ya mwisho.
 
Ni maswali mengi sana watz huwa wakijiuliza pindi vitu vya msingi huwa vikitokea duniani ila cha ajabu zaidi vyombo vyetu vya habari vinakuwa vinatanguliza sana burudani kuliko habari za msingi,,
Hivi juzi yametokea mapigano na hatimaye aliyekuwa rais wa Libya kupigwa risasi na kuuawa, na baada ya kufa vyombo vya habari vya nchi za magharibi na Ulaya kama VOA, BBC,CNN,SKY NEWS na ALJAZEERA vimekuwa mstari wa mbele kuwapa habari wananchi wao na ulimwengu kiujumla kuhusu kifo cha Gadafi ila cha kushangaza ni kuwa kila nilipokuwa nafungua vyombo vyetu vya habari vilikuwa vianapiga mziki, vikionyesha maigizo ya kitz, kinigeria, kihindi, kiphilipino badala ya kuwapa watz habari juu ya habari tete iliyotokea duniani,,
Tunafahamu kuwa hivyo vyombo vya habari vya Ulaya na Magharibi ni vya kimataifa na kila mtu ana uwezo wa kuona ,,lakini siyo kila mtz ana uwezo wa kuelewa kiingereza na kama ingekuwa ndoo hivyo kuvitegemea vyombo vya magharibi kutupa habari pekee basi kusingekuwa na umhimu wa kuwa na vyombo vya habari hapa TZ,,

Na sijaelewa hivi vyombo vyetu vya habari vinafanya kazi kwa matakwa yapi na kwa faida ya nani maana hata habari wanayoitoa wanakuwa wamecopy na kupaste kwa maana hakuna hata chombo kimoja cha habari cha TZ ambacho kinapeleka mwandishi wa habari huko nje kwa ajili ya kukusanya habari zaidi ya kuangalia nao CNN, BBC, VOA na ALJAZEERA na kututangazia bila kujua kuwa wana umhimu wa kwenda huko na kukusanya habari,,,
Je tutafika kama tv zetu na radio zimeweka mbele zaidi burudani za miziki na maigizo kuliko vitu vya msingi?????
 
Newly released death photo's,some High Quality, showing the lifeless body of former Libyan leader Moammar Gaddafi after he was captured by opposing Rebel Forces in Sirte,Libya.

Warning Graphic.

Subscribe to my channel for war vids and current events,thanks.


Kwani Gadafi alikuwa KAFIRI kama mimi? Siku zote niliamini waumini wa Islam hawaruhusu mambo ya kuonesha maiti kama samaki sokoni,,,,

Mabepari kweli wababe; hadi taratibu za imani zinapigwa teke oili tuu media na propaganda zao zioneshe ulimwengu mafanikio yao!

Wanasiasa na watawala weu-mwenzio akinyolewa tia maji
 
Wapambe wengi wa Kanali Gaddafi humu jamvini ni wakali na hawaambiliki
(Sijajua ni kwa nini)


*Wengi wao hawapendi kusikia upande wa pili wa shillingi.
*Hawana tofauti na Kanali Gaddafi.
*Yaani wana chembechembe za udikteta.
*Ni bora hawana madaraka (kwani wengi wetu tungewakoma!).

Nimewasilisha!
Leo Askari umeleta kitu kama si wewe vile.Najuwa pilau uliyokula jana imekulevya.
 
sasa vyombo vya habari vya huku na vyenyewe si vinategemea habari za kimataifa kutoka kwenye vyombo vya habari ulivyovitaja!
 
Malkia hana nguvu ya utekelezaji wa kisheria kama kuteua mawaziri kufanya kazi za serikali etc. Yupo pale kama alama ya Taifa tu. Hii ni tofauti na utaratibu wa uongozi wa Libya ambapo Rais ndiye mwenye mamlaka ya mwisho.

hapo umenena vizuri, nadhani wameelewa.
 
yule si kama gadaf hajahodhi madaraka kama gadaf, wala sidhani kama kwenye system kuna mtoto wake ama ndugu yake yeye ameachia demokrasia ichukue mkondo wake lkn hata hivyo iko siku moja waingereza nao watamkataa pamoja na demokrasia iliyopo.
 
tatizo lake ni kutaka kuonyesha makeke hata alipo kamatwa.yule muhuni wa bangazi alisema yeye kampiga lisasi ya kwenye mkono tu.lakini walinzi wake ndo walihalibu baada ya kuanza kuarushia lisasi wanajeshi wa ntc wakajua labda wanataka kumkomboa.hicho ndo kilifanya apigwe lisasi na siyo gaddaf tu aliyepigwa lisasi.watu wengi asilimia kubwa ya wale walikua wanamuunga mkono gaddaf wamekufa na wengine kutekwa baada ya kujisalimisha sababu hawa ntc walizingira ile sehemu yote kwa siraha nzito.mia
 
sasa vyombo vya habari vya huku na vyenyewe si vinategemea habari za kimataifa kutoka kwenye vyombo vya habari ulivyovitaja!

Nini maana ya utangazaji na uandishi wa habari??? cha ajabu nia pale vyombo vyetu vinatangaza bila kuwa na utafiti,,
Je siku CNN AU BBC AU ALJAZEERA vikitangaza kuwa JK kafa ina maana tutapigiwa miziki na kuonyeshwa maigizo hadi hapo tutakapoona hiyo taarifa kupitia hivyo vyombo vya habari vya magharibi????
 
Mimi niko na Ghaddaff hata pale alipolala..namuamini kama shujaa wa Kweli asieogopa na ambae ameifia nchi yake..sina shaka hata kidogo Colonel Ghaddaff ni kamanda wa Ukweli na ataishi katika historia...
 
Back
Top Bottom