The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Wanataka DOMOkrasia.

Walibya(rats aka NTC rebels) iliwapasa wawaulize wagiriki na Occupy Wall Street ukweli wa DOMOkrasia, pengine wangebadili msimamo lakini sasa ni too late. Itabidi waile tu sugar coated thievery which is called capitalism, freedom and domocracy.

Wenzao na rats (US-NATO) wanataka 160 billioni zao na mafuta yao na wao wameshawapa DOMOkrasia wanalolitaka na vifo.
 

tells us yo who know the number of people ghadafi killed, tell us how many!
 
Inaonekana US-NATO wameweka siku ya 31/ 10 ya kumalizia kudondosha mabomu. Katika muda uliobaki wanajaribu kumtia mkononi huyu Saif iwe kwa kumkamata au kumuua. Lazima kuna man hunt inayoshirikisha special forces za US-NATO.

In the meantime Rats wanakusanyika Benghazi kusherehekea kurudisha Bendera ya Mfalme katika duru za siasa za Libya.
Libyans flock to Benghazi for liberation party | News by Country | Reuters
 
ilikuwa ni amri ya wakubwa wao amerika na ulaya, hivyo wasingepinga kuua hata kama walikuwa hawataki.

mulama kuwa mkweli tupe source yako hivi yeye mbona aliuwa wengi ebu soma huo ujumbe alishajua atakufa tu
 
Nimeipenda hii....
Swali langu kwa wale wenye kuelewa;kama anataka azikwe kiislam,ni kwanini basi anasema asioshwe?
 
Hii habari nayo ni ya jana.So sijui ipi ni kweli na ipi si kweli.
 
Jamani hii dunia ina watu wa ajabu. Haka kabibi Kachawi kanasema hivi.

Secretary of State Hillary Clinton said on Sunday the United States supports a possible U.N. investigation into the death of Libyan leader Muammar Gaddafi.

"You know, I think it's important that this new government, this effort to have a democratic Libya, start with the rule of law, start with accountability," she said.

US backs probe into circumstances of Gaddafi death | News by Country | Reuters

Lakini ameshasahau hii Hilary Clinton says Muammar Gaddafi captured or killed justified. - YouTube

Pia amesahau hii Clinton sees Qaddafi news on BlackBerry - YouTube na hii Hillary Clinton on Gaddafi: We came, we saw, he died - YouTube

Huyu mwisho kabisa Hillary Clinton: Gaddafi death is start of a 'new era' for Libyans - YouTube

U.S. Wants Gaddafi Dead Or Alive, says Secretary of State Hillary Clinton in Tripoli, 18.10.2011 - YouTube
 
Nimeipenda hii....

Swali langu kwa wale wenye kuelewa;kama anataka azikwe kiislam,ni kwanini basi anasema asioshwe?
Ni kwamba alishajifanyia burial rituals bodily and spiritual cleansing before he met his end!
 
Watanzania acheni ushabiki wa kimbumbu! Gaddafi na watu wake wanafahamiana! we cheki wanavyomchukia!! alistahili kwa maoni ya walio wengi libya, ndiyo maana huwa kuna chaguzi.
 
Mkuu,wamewasaidia lakini hao waasi wajinga hawajui kuwa hapendwi mtu hapo!

Nguvu yao iko mikononi mwa kina hillary na NATO na kamwe si kwa wananchi.Na watakachobwatuka ni hadi wapewe maelekezo.


Kinachofuatia hapo ni permanent bases za "Peace keeping" kwasababu hiyo peace ikiwepo basi si itabidi waondoke?
Libyans got themselves in a big mess that they did not anticipate.

It will cost them in an unspeakable ways.

Kifupi kilichoshinda Libya si wananchi bali interests za mabepari kwa kutumia silaha pamoja na puppets waliogawanyika kikabila.

Hapo sasa ni very easy kwa mabepari hao kuwa control wao na rasilimali zao through exploitation ya hizo divisions.

Hawaendi mahali hao mabepari siku za karibuni.
 

Mwanzo mlisema ghadaffi hawezekani, sasa mmebakia kulia tu.
 
Nasema watanzania na JF acheni unafiki! eti Gaddafi hakustahili? nani kawaambia? Huyu Gaddafi:
  1. Alikuwa muuaji wa watu wake,
  2. Ilikuwa ukisema hakuna demokrasia unashitakiwa (Mfano John Mann wa cnn alimhoji juu ya demokrasia alimpasha live kijana ungekuwa mlibya ungeshitakiwa)
  3. Cheki watu walivyomiminika uwanjani kuwasikiliza viongozi wa NTC
  4. Nasema acheni unafiki watanzania, huyu jamaa kwa alivyokatili alisitahili.
  5. Haya mambo ni ya walibya!!
 
libya haitatulia kaka we subiri uone. au umesahau iraq? cku sadam ameuwawa waliandamana hivyohivyo wakishangilia kwa wingi. lkn mbona bado wanatifuana? GADAFI ATAENDELEA KUWA TABE LETU AFRIKA NA HAKUNA MWINGINE
 
Hapa ndipo Membe atashangaa na kusema kwake hovyo .Umemsikia yule jamaa Steve wa Hard Talk ?
Alikuwa na interim PM wao hakika Membe hana hoja .Amekurupuka na labda ni kiwewe .Aache mambo ya Walibya waendelee na maisha yao .
 
Nasema watanzania na JF acheni unafiki! eti Gaddafi hakustahili? nani kawaambia? Huyu Gaddafi:
Umekurupuka mkuu,wana JF wanagawanyika sana kwenye hii issue ya Libya.

Wakurupukaji mnakuwa kama vipofu mkifunguliwa macho mkaona mkonga wa Tembo basi kila kitu kikubwa ni kama mkonga wa tembo.

Nasema hivyo cause mlishadai kuwa hii ni forum ya chadema ili kuishusha ionekane ni bias.

Sasa ni huu upupu,again,think before acting.
 
..unajua kauli za Gaddafi ndizo zilikuwa za ajabu, wewe huwezi kuwaambia watu wazima na akili zao kwenye hi karne ya 21 eti hawapo tayari kujitawala!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…