The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

he will always remain to be da best eva...THE LION OF AFRICA....I CANT CALL HIM A DICTATOR BUT A LOST SHEEP
 
The Libyan Uprising Did Not Take Place

How does coverage of conflict in Libya portray the real actors and their changing identities?

Information dissemination

By the same token, it could be argued that the Libyan Uprising did not take place. The media and politicians have done all within their power to convince us that the Libyan situation is in fact a civil war, a popular revolution and a battle between the good and the bad, the despots and the revolutionaries, the regime and the freedom fighters. If we examine the role of media and information in the conflict, the picture might not turn out as black and white as it is portrayed.

Zaidi hapa The Libyan Uprising Did Not Take Place | Think Africa Press
 
Gaddafi alimpiga tafu Iddi.NATO wamewapiga tafu waasi kumng'oa.kitu gani kilichomsukuma ampige tafu Iddi Amin? Kama unakijua ebu niambie maana mimi sifahamu hasaa kinagaubagaa. Mwaka 1978 Gaddafi alimpa Iddi Amini askari(wapiganaji wa kijeshi) 3000, wanajeshi na wanamgambo wa vita vya msituni wenye uzoefu wa vita kutoka jangwa la sahara. Alitoa zana kama vifaru aina ya T-55 , T-54, BTR,APCs,BM-21, katyusha MRLs,pia alimpatia Amin mizinga na ndege za kijeshi aina ya MIG-21s na TU-Bomber. Wakati huo akifanya hayo nchi yetu ilikuwa haina uwezo mkubwa wa kifedha hivyo tukaingia katika madeni makubwa ambayo mpaka leo inasemekana mengine hayajalipwa. Kwa wakati huo miaka hiyo serikali ilitumia USD 5 mil mpaka mwisho wa vita.Huyu ndiyo Gaddafi ambao leo kuna watu wanamlilia kwa sababu walimpelekea bakuri akawapatia mchango kujenga nyumba ya Ibada ambnayo wao wenyewe wangeweza kuijenga bila kupigwa tafu.
Ninachozungumzia hapa ni ile kanuni ya maumbile inayosema kawaida kila mtu anavuna anachopanda yeye alimpiga tafu Idd Amini na NATO na wamewaapiga tafu waasi dhidi yake. Baada ya hiyo vita kumalizika Mwalimu Nuyerere akasema kutakua na dhiki ya miezi kumi na minane (18) baada ya miezi 18 kupita dhiki ikawa pale pale akarudia kusema tena nimekosea nilikuwa nataka kusema ni miaka 18. Baada hiyo 1978 mshahara wa baba yetu ukawa unaisha katika ya mwezi baadaye miaka ya 80 mwanzoni mshahaara ukawa unakaa robo mwezi mzee wetu anatuambia vita hii imeleta great depression katika nchi hii.
Gaddafi angekuwa mzuri kwetu kama angeweza kulipa fidia ya pengo imagine ameodoka ameacha usd 120 tilion katika account yake. Nimesikiwa kuna viongozi tena wa juu wanalalama juu ya alivuyokua mistreated nadhani wao kuna namna yao binafsi walivyofaidika...
 
Gaddafi mkombozi wetu africa, na rais ajaae wa United States of Africa! Huyu mtu alikuwa ni mwarabu, mwarabu asiye na rafiki wa kiarabu achilia mbali waarabu wa mashariki ya mbali bali hata wa wale majirani zake kama Morocco, Algeria na wengine walikuwa hawampendi; Why?..............Gaddafi rafiki yake akina Membe wa Tz masikini na Museven na Robert Mubabe wa Zimbabwe zote masikini, nani alikuwa anachimba mafuta ya libya? Ni hao hao magharibi: germany, italy ,russia and very lately china.......................... Swali, kwanini Gaddafi hakupata support ya waarabu isipokuwa ccm ya kina Membe na zanupf ya kina Mugabe na wababe wengine wa madaraka..........

Ilikuwa ni vigumu kwa Gaddaffi kuwa na marafiki wa kiarabu kwa sababu ya tofauti ya mitazamo. Kwanza kumbuka hata mfalme Idriss alipopinduliwa na Gaddaffi alikimbilia Marekani na sio Uarabuni au Africa. (kwa sababu Marakani ndio iliokuwa ikifaidi mafuta ya Libya sio waarabu au waafrika) Kubwa zaidi miaka ya 1980 Gaddaffi alijaribu kuishwawishi Opec kwa kuwa vifaa vingi vinavyonunuliwa nchi za magharibi ikiwamo dawa, magari, silaha nk. bei yake hupangwa hukohuko akapendekeza na watoa mafuta waweke utaratibu ambao bei itapangwa na Opec na sio na mataifa ya Magharibi. Moja ya nchi zilizokataa wazo hilo ilikuwa ni Saudia na sababu kubwa ni kuwa Marekani wana urafiki mkubwa na viongozi wa Saudia (sio na wasaudia walalahoi), na hata kuna military bases vya USA Saudia (Ndio sababu Iran hawapatani na Saudia) Na mafuta ya saudia wanayafaidi wamerekani na ndio maana wasaudi wa kawaida ni maskini licha ya mafuta mengi yanayozalishwa Saudia. (wanachi wa Libya waliishi vizuri sana kuliko Saudia)Lakini pia utashangaa Emir wa Kuwaita Jaber al Ahmad alipopinduliwa na Saddam 1990 alikimbilia Marekani na sio nchi za Kiarabu, tofauti na Obete alipopinduliwa na alikimbilia nchi ya Kiafrica Tanzania.
Kwa ufupi ni kuwa nchi nyingi za kiarabu tukiacha chache sana (nadhani kwa sasa imebaki Iran peke yake na Lazima itapigwa!!) zimetiwa mfukoni na nchi za Kimagharibi hivyo si rahisi kupatana na mtu kama Gaddaffi.
Lakini tukumbuke Libya ilipowekewa vikwazo hakuna mwarabu hata moja aliyevipinga waziwazi cha ajabu alikuwa Nelson Mendela baada ya kutoka jela ndie aliefanya kazi ya ziada:
Despite U.N. Ban, Mandela Meets Qaddafi in Libya

Published: October 23, 1997



In Tripoli Mr. Mandela, 79, greeted Colonel Qaddafi with a hug and a kiss on each cheek, saying, ''My brother leader, my brother leader, how nice to see you.''
Mandela said that he had spent 27 years in jail rather than abandon his principles and that he felt the same way about his debt to Colonel Qaddafi for his support in the struggle against apartheid. ''This man helped us at a time when we were all alone,'' Mr. Mandela said...( The NewYork Times)

[h=1]Mandela says UK must drop Libya sanctions[/h] By Anthony Sampson in Cape Town

Friday, 9 February 2001

Tony Blair and Nelson Mandela are locked in a diplomatic stand-off after the former South African president complained yesterday that Britain had reneged on its undertaking to press for the final lifting of sanctions against Libya......... (The independent)

Suala mataifa ya magharibi kama germany, italy ,russia kuchimba mafuta Libya, sio tatizo, tatizo ni kudhulimiwa. Hata hapa Tz watu hawakatai mataifa mengine kuchimba Madini tatizo letu ni pale tunapopata Tsh. 3 kwa kila Tsh. 100 inayopatikana kwenye madini kama dhahabu. Ukitofautisha na nchi nyingi za Kiafrika na hata za kiarabu Gaddaffi alikataa kuiibiwa!!!!! na huo ndio msingi wa chuki:
From 1911 - 1943, Italy's occupation was brutal. Libyans never forgot. After WW II, America, Britain and France dominated the region. In 1951, they combined three distinct regions into Libya - Cyrenaica in the east, Tripolitania in the west, and Fezzan in the south.


Britain enthroned King Idriss. He let America, Britain and France retain military bases and pursue corporate interests. America's Wheelus Air Base near Tripoli dominated the Mediterranean Basin. Washington wants one or more super-bases built on Libyan land as launching pads against the region.

In 1955, Libyan oil was discovered. Three colonial powers controlled it until Gaddafi's bloodless September 1, 1969 coup, ousting King Idris. It was an anti-imperial socialist revolution. Foreign domination ended.
Hata hivyo maelezo haya hayaondoi lawama zetu kwa kumsaidia Idd Amini wakati ule wa vita, Japokuwa ajabu ingine baada ya kuangushwa kwa Nduli Amini alikimbilia Saudia badala ya Libya!!!!!!!!!

 
Hata kama watu waliumia,ni nchi ngapi Afrika ambapo watu wanaumia lakini watawala hawako tayari kugawana mapato na wananchi kama alivyofanya Gaddafi
 
Gaddafi alimpiga tafu Iddi.NATO wamewapiga tafu waasi kumng'oa.kitu gani kilichomsukuma ampige tafu Iddi Amin? Kama unakijua ebu niambie maana mimi sifahamu hasaa kinagaubagaa. Mwaka 1978 Gaddafi alimpa Iddi Amini askari(wapiganaji wa kijeshi) 3000, wanajeshi na wanamgambo wa vita vya msituni wenye uzoefu wa vita kutoka jangwa la sahara. Alitoa zana kama vifaru aina ya T-55 , T-54, BTR,APCs,BM-21, katyusha MRLs,pia alimpatia Amin mizinga na ndege za kijeshi aina ya MIG-21s na TU-Bomber. Wakati huo akifanya hayo nchi yetu ilikuwa haina uwezo mkubwa wa kifedha hivyo tukaingia katika madeni makubwa ambayo mpaka leo inasemekana mengine hayajalipwa. Kwa wakati huo miaka hiyo serikali ilitumia USD 5 mil mpaka mwisho wa vita.Huyu ndiyo Gaddafi ambao leo kuna watu wanamlilia kwa sababu walimpelekea bakuri akawapatia mchango kujenga nyumba ya Ibada ambnayo wao wenyewe wangeweza kuijenga bila kupigwa tafu.
Ninachozungumzia hapa ni ile kanuni ya maumbile inayosema kawaida kila mtu anavuna anachopanda yeye alimpiga tafu Idd Amini na NATO na wamewaapiga tafu waasi dhidi yake. Baada ya hiyo vita kumalizika Mwalimu Nuyerere akasema kutakua na dhiki ya miezi kumi na minane (18) baada ya miezi 18 kupita dhiki ikawa pale pale akarudia kusema tena nimekosea nilikuwa nataka kusema ni miaka 18. Baada hiyo 1978 mshahara wa baba yetu ukawa unaisha katika ya mwezi baadaye miaka ya 80 mwanzoni mshahaara ukawa unakaa robo mwezi mzee wetu anatuambia vita hii imeleta great depression katika nchi hii.
Gaddafi angekuwa mzuri kwetu kama angeweza kulipa fidia ya pengo imagine ameodoka ameacha usd 120 tilion katika account yake. Nimesikiwa kuna viongozi tena wa juu wanalalama juu ya alivuyokua mistreated nadhani wao kuna namna yao binafsi walivyofaidika...

Kama mataifa ya Magharibi yaliwaunga mkono Makaburu wa SA ambao wamefanya ukatili wa hali ya juu na mauaji, na leo hatuwachukii, kama mataifa hayo yaliwaunga mkono na kuwapatia misaada ya hali na mali RENAMO ambao wamefanya ukatili mkubwa Mozambique na leo hatuwachukii, na kama walishirikiana na Savimbi wa UNITA ya Angola kufanya vita, ukatili dhidi ya binadamu na kupora mali za Angola, na leo hatuwachukii, (TZ ilitumia Rasilimali nyingi sana katika ukombozi wa kusini labda hata kushinda vita ya Uganda), kama Marekani walisaidia kupinduliwa na kuuawa kikatili kwa kiongozi wa kwanza mzalendo wa Congo Patrice Lumumba na mauaji yaliyofuatia ya raia wasio na hatia, kisha kumuweka Mobutu ambaye alishirikiana na mataifa ya magharibi kupora mali na leo si Congo au waafrika wengine wanachuki na Marekani, Kama wajerumani waliwanyonga Babu zetu waliopinga ukoloni hadharani na leo hatuwachukii kwa nini iwe kwa Gaddaffi?
kama France na baadhi ya madhehebu walishirikiana na Intarahamwe ya Rwanda kufanya mauaji ya kutisha katika historia ya Dunia na leo France na hayo madhehebu hatuyachukii kwa nini iwe kwa Gadaffi tu?
Kama vita ya Iraq iliyochagizwa na marekani imesababisha watoto wadogo 601,027 kufa kati ya 2003 na 2006 na jumla ya watu wote waliokufa ambao si askari kufikia 1,033,000 kwa mwaka 2003 hadi 2006 tu na hatuwachukii marekani kwa nini iwe kwa Gaddaffi.
kama Gaddaffi aliweza kumpa kila mtu anayeoa dola 50,000 akamjengea kila mtu nyumba nzuri, mtu akinunua Gari serikali inalipa nusu ya garama, kama aliweza kumlipia kila mtu umeme, kama aliweza kutoa mshahara kwa mtu asiye na kazi, kama aliweza kuwapatia wakulima pembejeo bure, kama dereva tu analipwa dola 30,000 kwa mwezi tatizo la rais kuwa na trilion 150 liko wapi? Lakini je tunafahamu malkia wa uingereza ana utajiri wa kiasi gani? Bush je? Tony Blair je? na mawaziri wetu je?
 
1. There is *no electricity bill* in Libya; electricity is free for all its citizens.
2. There is *no interest on loans*, banks in Libya are state-owned and loans given to all its citizens at 0% interest by law.
3. *Home* considered a human right in Libya – Gaddafi vowed that his parents would not get a house until everyone in Libya had a home. Gaddafi’s father has died while him, his wife and his mother are still living in a tent.
4. All newlyweds in Libya receive *$60,000 Dinar* (US$50,000) by the government to buy their first apartment so to help start up the family.
5. Education and medical treatments are free in Libya. Before Gaddafi only 25% of Libyans are literate. Today the figure is 83%.
6. Should Libyans want to take up *farming* career, they would receive farming land, a farming house, equipments, seeds and livestock to kick-start their farms – all for free.
7. If Libyans cannot find the education or medical facilities they need in Libya, the government funds them to *go abroad* for it – not only free but they get US$2,300/mth accommodation and car allowance.
8. In Libyan, if a Libyan buys a *car*, the government subsidized 50% of the price.
9. The price of *petrol* in Libya is $0.14 per liter.

10. Libya has *no external debt* and its reserves amount to $150 billion – now frozen globally.
11. If a Libyan is unable to get *employment* after graduation the state would pay the average salary of the profession as if he or she is employed until employment is found.
12. A portion of Libyan *oil sale* is, credited directly to the bank accounts of all Libyan citizens.
13. A mother who *gave birth* to a child receive US$5,000
14. 40 loaves of *bread* in Libya costs $ 0.15
15. 25% of Libyans have a *university degree*
16. Gaddafi carried out the world’s largest *irrigation* project, known as the Great Man-Made River project, to make water readily available throughout the desert country.

Which other dictator has done much good to his people besides.
 
Ndo shida ya baadhi ya mods kutokuwa waelewa.Sasa issue hii niliazisha thread,na watu ni wazi walikuwa wanataka kuijadili.Mnajiongezea kazi ninyi wenyewe sometimes for not acting in a s.m.a.r.t way!
 
ndo shida ya baadhi ya mods kutokuwa waelewa.sasa issue hii niliazisha thread,na watu ni wazi walikuwa wanataka kuijadili.mnajiongezea kazi ninyi wenyewe sometimes for not acting in a s.m.a.r.t way!
hujaeleweka, unang'atang'ata maneno, wabongo mmezoea kulalamikalalaka tuuu kila kukicha
 
kwamba mimi ni binadamu ninazungumza ila sina mdomo? wewe gavana umechelewa kweli kwa hiyo university of zanzibar na morogoro wanaposema wanafundisha Shariah law wanauhadaa umma?!!

hicho kiengereza unachokijua law maana yake nini???? sharia maana yake nini???? halafu itafute katika kitabu chochote cha kiislamu kuna kitu hicho??? Shariasharia au law law???
 
The Libyan Uprising Did Not Take Place

How does coverage of conflict in Libya portray the real actors and their changing identities?

Information dissemination

By the same token, it could be argued that the Libyan Uprising did not take place.................

Also you can "have a look" on this:

They did get the Weapons
The first thing that really struck me as odd about the first days of the civil war is how non-violent protesters, whom I believed were being shot dead in droves, were able with just anger, and despite the heavy losses, simply take military control, even briefly, of half of the cities in the country. I sensed we were missing something there, and the things I've found since are starting to reveal what that was......The "protesters" did, starting on February 19 at the latest, acquire heavy weapons of war from military bases they somehow conquered, despite just protesting......

Details>>>
The Libyan Civil War: Critical Views: Massacring Protesters: Really?
 
NTC katika mambo ya mwanzo waliyofanya,ni kuADOPT SHARIA LAW!
Si kweli kwamba NTC wanataka kuanzisha SHARIA LAW ambazo hazikuwepo hata wakati wa utawala huo wanaouita wa kidikteta wa Qaddaffi, na tena ikiwa hivyo ina maana Marekani haikujua ilichokuwa inakifanya?
Ukweli ni kuwa NTC inatafuta sababu ya kuanzisha mjadala usio na mwisho na hofu kwa walibya, na wakati mjadala huo na hofu ya Sharia ikiendelea NTC ikishirikiana na Marekani itaanza kuchota utajiri wa Libya. Ujanja huo hutumiwa hata na vibaka wa hapa TZ wananzisha zogo na wakati watu wanashangaa vibaka wengine wanapora vitu, tahamaki zogo likiisha watu wemeibiwa.
 
Back
Top Bottom