not true,,anaigawa afica kwa comment zake,, refer to nigeria conflict on religiousThe guy anaipenda africa, ukitazama mavazi yake kuna alama ya African flag. Huyu jamaa ni truly african.
Okay Hamna Mtu anatak Wamerkani waingie kati lakini Gaddafi sio Mtu wa kusema eti ategemewa,mimim hio ndio point yangu... Hayo mengine yaache nyuma... upuuzi wao ndo huo wa wakumsupport Gaddafi... Mmeshawahi kufika Libya nyie? Maisha ni magumu na amefanya hivyo makhusudi, hata Egypt hamna waliosema Maisha ni magumu na hamna mtu ambaye amewahi kuja juu wanamwogopa Gaddafi kama nyoka.... WALibya wanaumia kwasababu maisha ni magumu halafu watoto wake wanatumia Billioni kama Makaratasi.. Nyie watu ambao mko Tanzania mnasema Gaddafi ni mtu mzuri kwa Kigezo gani? Kwasababu natoa Hela zake za ufisadi kuwapoza poza? Kwa ku-rule nchi yake kama Dictator? Ukweli ni hamna anae mpenda Libya huko Libya, Ni uoga tu wakuuuliwa manake kwake kuua si shida kama ameua TRoops 15 kwasababu walikataa kuua wananchi. Mna Kigezo gani cha kusma Gaddafi ni mtu Mzuri?kwanza mkubwa wa wapuuzi ni wewe ambaye hujui source ya maandamano ya libya ni nini? Naomba ujiulize maswali yafuatayo 1.Kwa nini marekani anasisitiza ghadafi lzm aondoke? 2. Kwa nini waandamanaji wa libya ni tofauti na wa misri na tunisia (siku mbili tu wana vifaru wamevitoa wapi kama hawakujiandaa ama kupewa na wazungu)? 3. Kweli maisha ya libya ni magumu km ya nchi nyingine au ulishawahi kusikia kuwa libya wanalalamika maisha magumu? Au unataka wamerekani wakaigeuze libya kuwa iraq ya pili? Manuwari zaid ya 40 za marekani zimesogea karibu na libya kufanya nini? Usikimbilie kuwambia wenzako wapuuzi wakati hujajilidhisha km nawe si mpuuzi. Tungependa walibya wenyewe wamtoe ghadafi lakini si kwa shinikizo la wamerekani. Ushauri wa bure si kila wakati demokrasia inasaidia. Demokrasia ina ujinga na ukiritimba wa kipuuzi na ni mfumo tuliolazimishwa kujiunga nao na hao wazungu tena kwa masharti kuwa usipokubari vyama vingi hupewi msaada.
PUNGUZA HISIA BABA/MAMA Selwa, NI JAZBA ZINAKUTAWALA, KATIKA WOTE HUJUI ULISEMALO, HEBU JENGA HOJA KWANINI UNATAKA GADAFI ATOKE. REJEA HISTORIA YA LIBYA KABLA NA WAKATI WA UTAWALA WA GADAFI UTUPE TOFAUTI! JARIBU KULINGANISHA UCHUMI WA LIBYA NA MATAIFA MENGINE MFN TANZANIA, UNALO LAKUSEMA??? HAPA HAIJALISHA UMEENDA MADIGRII MANGAPI, WHAT DOES MATTER NI UWEZO WA KUANGALIA NA KUCHAMBUA ISSUES KWA "JICHO LA TATU"- husiniulize ni kitu gani!:hatari:Acheni kudanganyana nyie hivi hamuanglaii vyombo vya habari? Gaddafi anua waasi? Ina maana watu walokimbia Libya ni wakina nani? Anaua kila mtu!!!!!! Msonyo....Tupieni macho hata Al Jazeera basi muone ...blog za wa-Libya.. Gaddafi sio mtu mzuri hata kidogo ...Siri hio wanajua WaLibya na ndo mana wameandaman!!! how can u say mtu is for Africa akati anaiba Ma-Trillion from his own country watoto zake watumia kama Maji? Mtu huyo atakusaidia wapi? Ni maneno tu hayo anawapoza msishituke.... nyie wote ni Wapuuzi sana
Eti Viva Gaddafi? Mmesoma nyie? Kila Mtu Dunia nzima anakwepa hata kuwa linked na jamaa nyie mnasema ni mzuri?? Kwanini manfkiri anatak asitoke madarakani? Ni hela ya mafuta imemchanganya... Eti anawasaidia Africa...Msiandike Pumba nyie kama mambo hamyajui...Hamna lolote....
Angekua mtu Mzuri, Ma Diplomat zake wote walioko in other countries si wangemsupport...wote wamejitoa na wamefurahi kwamba huyu Dictator anaondoka..nyie ni nani kusema eti Gaddafi Mtu Mzuri akati Dunia nzima inajua Gaddafi ni Dictator tu...sijawahi kuona wapuuzi kama nyie
Rais muuaji wa libya anakaribia kushinda waandamanaji wakiokuwa wanamtaka aondoke madarakani. Hali ya Gaddafi kushinda ni jinsi anavyowaua wananchi wake kwa silaha kali za kivita kama vile ndege kivita,, mizinga nk. Waandamanaji wanakimbia kurudi nyuma kama ilinyotokesa Ras Lanuf, Brega n.k
Umoja wa Mataifa umebakia kutoa maneno lakini vitendo wanagwaya, Marekani na mataifa mengine nao ni maneno tu, umoja wa afrika wao ndiyo kama vile hawajui kabisaa kuna nini kinaendelea libya kwa sasa. Kimsingi Gaddafi atatangaza ushindi siku chache zijazo
Naamini wengi tungependa kuona Gaddafi anatoka madarakani lakini amekuwa kidume shupavu wa kung'ang'ania madaraka kwa kuua wananchi kwa hali ya juu ili aendelee kuongoza yeye na kizazi chake. Kwangu mimi Gaddafi=Sadam Hussein=Hitler
Okay Hamna Mtu anatak Wamerkani waingie kati lakini Gaddafi sio Mtu wa kusema eti ategemewa,mimim hio ndio point yangu... Hayo mengine yaache nyuma... upuuzi wao ndo huo wa wakumsupport Gaddafi... Mmeshawahi kufika Libya nyie? Maisha ni magumu na amefanya hivyo makhusudi, hata Egypt hamna waliosema Maisha ni magumu na hamna mtu ambaye amewahi kuja juu wanamwogopa Gaddafi kama nyoka.... WALibya wanaumia kwasababu maisha ni magumu halafu watoto wake wanatumia Billioni kama Makaratasi.. Nyie watu ambao mko Tanzania mnasema Gaddafi ni mtu mzuri kwa Kigezo gani? Kwasababu natoa Hela zake za ufisadi kuwapoza poza? Kwa ku-rule nchi yake kama Dictator? Ukweli ni hamna anae mpenda Libya huko Libya, Ni uoga tu wakuuuliwa manake kwake kuua si shida kama ameua TRoops 15 kwasababu walikataa kuua wananchi. Mna Kigezo gani cha kusma Gaddafi ni mtu Mzuri?
Angeindeleza Libya Kusolve matatatizo ya Libya ningesema ndiyo lakin haiwezekani Mtu mzuri akapingwa na watu wake wote, Every diplomat wake kajiuzulu manfkiri na wao walikuwa hawaoni kwamba jamaa ni mbaya? Si wangemsupport basi? Hamna hata mtu mmoja kwenye his Gov anayemsupport kasoro wanjeshi na wenyewe wanapgopa kuuliwa tu... Wakati Libya Nzima wanasema Gaddafi hatakiwi...nyie Mna kigezo gani kusema anafa? Kaiuniwa uchumi wenu?
Yaani Sigma bado una imani na viongozi wa AU?Mi nadhani AU mpaka sasa hawajatoa kauli for a reason. Wanajua unafiki uliogubika Libya saga. Mbona AU walionyesha position yao mapema tu kule Cote d'Ivoire?
Yaani Sigma bado una imani na viongozi wa AU?
BTW, I am a big fan of Sigma lenses and I happen to have a Sigma lens 70-200mm F2.8 EX DG APOMacro HSM II . One of the best lenses I have owned so far!
Kaka nenda kwenye history kidogo...angalia mfumo wa utawala wa hizi Maghreb Countries, ndivyo ulivyo na ulivyokuwa. Mimi sikubaliani na system yao ya either familia, au ufalme, au baraza la kidini, nk. Lakini kwa bahati mbaya hiyo ndiyo ilikuwa system yao na hatuwezi kuwahukumu viongozi wao kwa system hiyo!
Cha muhimu ni kwamba sasa waandae forum ya wananchi kuzungumza kuwa wanataka uongozi wa namna gani katika nchi yao. Wabadilishwa katiba zao na waende mbele.
Mimi ninachopingana nacho ni kuwaita watu wenye silaha ni waandamanaji badala ya waasi!!! Mimi siwezi kushabikia waasi hata siku moja!!! Sishabikii pia vikundi vinavyofanya fujo kwa msukumo wa majanigili ya dunia ya Ulaya na Marekani!!!
Libya ni nchi mojawapo katika dunia hii ambayo licha ya kuwa ilitengwa na dunia iliweza kujiimarisha na kuimarisha mapato yake ya ndani na kuyainua maisha ya Libya kielimu na kiafya!!! Hii inawakera sana hawa majangili ambao wengine wanawaona ni Miungu yao!!! Afrika haiwezi kuwa na Demokrasia ya Marekani au ya Ulaya. Na Nchi nyingi zimerudi nyuma kimaendeleo kwa sababu ya kuiga demokrasia ambayo hatujaifikia..... Muiga tembo......hupasuka msamba, na hii imejidhirisha katika dola nyingi za Afrika.
Wengi tunailaumu Rwanda na Kagame lakini ukweli wa mambo ni kwamba Rwanda na Kagame wanafahamu wanajua demokrasia wanayohitaji kama nchi.
du ulevi wa madaraka...............sijui dawagani inaponya gonjwa huu