Wewe unaongea kuhusu ukafiri na wakati Saudi huko nchi takatifu yenu wanasapoti na hata hizo silaha wako tayari kuzitumia dhidi ya asiye kafiri mwenzenu?Mbona wamekuwa kama nyuki,kila nchi ya kikafiri imetuma midege yake.Hii yote ni no fly zone?.Iwapo wamekwenda mbali kuliko kutekeleza azimio la UN Ghadhafi alalamike wapi?.
Baada ya Libya Saudia itafuata.Visingizio vitakavyotungiwa maazimio ya UN havikosekani.Urafiki wa Saudia na US kuuziana takataka za kijeshi unaweza kubadilika usiku mmoja tu.
Allah atajibu.
msnbc wanadai Gaddafi ku address Nation any time.Naheshimu maoni yako lakini all in all Libya belongs to all Libyans, and not only to Gadhafi and his sons. Wananchi wametaka mabadiliko, alichotakiwa ni kuwasikiliza na kukaa nao chini, lakini aliamua kuwauwa na hayo ndio matokeo yake.
Mbona wamekuwa kama nyuki,kila nchi ya kikafiri imetuma midege yake.Hii yote ni no fly zone?.Iwapo wamekwenda mbali kuliko kutekeleza azimio la UN Ghadhafi alalamike wapi?.[/COLOR]
Baada ya Libya Saudia itafuata.Visingizio vitakavyotungiwa maazimio ya UN havikosekani.Urafiki wa Saudia na US kuuziana takataka za kijeshi unaweza kubadilika usiku mmoja tu.
Allah atajibu.
Kwa "ukafiri" una maanisha nini?Mbona wamekuwa kama nyuki,kila nchi ya kikafiri imetuma midege yake.Hii yote ni no fly zone?.Iwapo wamekwenda mbali kuliko kutekeleza azimio la UN Ghadhafi alalamike wapi?.
Allah atajibu.
Mkuu kumbuka hii ni Operation ya NATO na Arab League countries so nchi zote zilizo chini ya NATO zinashiriki in one way or another kuna watakaotoa ndege wengine bases (Malta na Italy), wengine watasaidia logistics na maswala kama hayo.Libya state TV wanasema wameiangusha ndege moja ya ufaransa.Waingereza nao wameanza strikes
Source:msnbc
My Take:Kwanini minchi yote hiyo dhidi ya Tripoli?Hapo utagundua wameshagawana huku wakija kwenye microphone wanadai ni kuwaprotect wananchi.Binafsi nadhani wananchi wanauwawa zaidi na consequences zake ni even worst kuliko uwepo wa Gaddafi madarakani...Picture the life of Libya as a nation in say 40 years to come,vita itawwathiri maybe the next 40 years or more to come,however i can almost guarantee you that Gaddafi would have been dead by then hata kama wasingepigwa vita.Nachukia kweli wanapodai Humanitarian concerns na wakati wanaifanya kuwa mbaya zaidi.
Ana maanisha nchi ya kikristo.Kwa "ukafiri" una maanisha nini?
Mkuu kumbuka hii ni Operation ya NATO na Arab League countries so nchi zote zilizo chini ya NATO zinashiriki in one way or another kuna watakaotoa ndege wengine bases (Malta na Italy), wengine watasaidia logistics na maswala kama hayo.
hizo ndege zinaweza kukutana na SAM na anti aircraft artillery kutoka kwa Gaddafi maana ana hizi hapa ambazo zinaweza kumsaidia
A pilot boards his French Dassault Rafale combat aircraft, seen in this photo released by ECPAD (French Defence communication and audiovisual production agency), at the Saint-Dizier military base, eastern France, March 19, 2011, before taking off on a mission to overfly Libya.
Canadian CF18 Hornet fighters arrive at the air base of Trapani Birgi in the southern island of Sicily on March 18, 2011. Italian air bases could play a key role in any military action against Libya but the prospect of Rome's first operation against its former colony since World War II carries high risks, experts said.
Crew members perform pre-flight preparations on Italian Tornado ECR fighters at the Trapani Birgi air base in the southern island of Sicily on March 18, 2011. Italy on March 18 offered the use of its air bases to impose a no-fly zone on Libya and said it could help take out Libyan radars and defence systems after the UN cleared the way for air strikes. Italy has 'granted the use of military bases on its national territory', the government's press office said after an emergency cabinet meeting in Rome.
A Danish F-16 Fighting Falcon jet fighter flies over the Sigonella NATO Airbase in the southern Italian island of Sicily March 19, 2011.
ngoja wafundishwe-hao ndo wanaoweza kuwanyoosha hao ambao wanajiita si makafiri-Saudia haitafwata-Iran ndo itakayo fwata-wait and seeMbona wamekuwa kama nyuki,kila nchi ya kikafiri imetuma midege yake.Hii yote ni no fly zone?.Iwapo wamekwenda mbali kuliko kutekeleza azimio la UN Ghadhafi alalamike wapi?.
Baada ya Libya Saudia itafuata.Visingizio vitakavyotungiwa maazimio ya UN havikosekani.Urafiki wa Saudia na US kuuziana takataka za kijeshi unaweza kubadilika usiku mmoja tu.
Allah atajibu.
Kwa mantiki hii potofu ina maana kuna makafiri kibao Africa?Ana maanisha nchi ya kikristo.
Kwa Muislam,kafiri ni mtu yeyote asiye muislam.
Security council si Arab League nor OIC......sikuwa nazungumzia Security Council bali Arab LeagueThe obvious answer (ambalo linanifanya niamini hakuna tamko kama ilo) kasome tena provisions za hiyo resolution Security Council Approves No-Fly Zone over Libya, Authorizing All Necessary Measures to Protect Civilians, by Vote of 10 in Favour with 5 Abstentions
Arab League hadi baada ya Sarkozy na Clinton leo hawaungi mkono military intervention,wanachotaka ni no fly zone to protect civilians,westerners wanawatumia tu but msimamo wao haujabadilikaNice try but, ili tamko lilitolewa March 1st, wakati wanatoa tamko ilo hali haikuwa mbaya kulinganisha na sasa. Cha kujiuliza ni nini kilichowafanya wakapiga U-turn?
Military intervention in Libya opposed by OIC, Arab League - Arab News
Arab League ministers to reject military intervention in Libya - Haaretz Daily Newspaper | Israel News
Itakuwa hivyo mkuu,Kwa mantiki hii potofu ina maana kuna makafiri kibao Africa?