The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Nimekaa najiuliza, what if rebels wakigoma kukubaliana na Ceasefire Call wanajeshi wa Gaddafi watasimama tu na kuuliwa ama watajibu mapigo?
rebels walishakubali ceasefire-ndo maana walikua wanaomba support ya no fly zone
 
BBC: Explosions in Tripoli, one close to Gaddafi residence
Al-Jazeera: Rebel spokesperson reports that the death toll on the rebellion side is around 8,000.
Hiyo idadi ni kubwa sana especially kwenye nchi ya watu milioni sita, kna ukweli wowote kwenye hiyo number?
 
rebels walishakubali ceasefire-ndo maana walikua wanaomba support ya no fly zone
Ila Gaddafi kawaweka wanajeshi wake kwenye hali ngumu sana especially wale walioko karibia na Benghaz, maana soon watarun out of supply na hapo ndio kimbembe kitaanza wakiadvance kwenda mbele wanakuwa pounded wakirud nyuma nao si salama.
 
Wewe inaonekana akili yako haipimi inachokiona na ukweli wa mambo.Kila kiongozi ana maadui,lakini Ghadhafi ana maadui kidogo zaidi kwani hayo ya kuuwa wananchi wake hajafanya kupelekea kujijengea maadui.Wale waasi waliotoka na mizinga kumtishia ni watu wachache ukiwemo wewe na nchi za ulaya wanaowasikitikia.
Picha za watu wanaoshangilia mara nyingi ni kiini macho cha vyombo vya habari.Watu 100 hata 10,000 ukioneshwa wanashangilia jambo huwezi kujuwa kuna idadi gani inayohuzunika.Ni kawaida vyombo vya habari kutia chumvi upande wanaouunga mkono.Mara nyingi natolea mfano wa hapa kwetu ukioneshwa picha za mikutano ya vyama vya siasa.Angalia siku CUF waliporudisha fomu za uraisi ulidhani wao ndio washindi.Ukiangalia picha za mikutano ya CHADEMA kumtishia Kikwete utadhani hamalizi wiki moja.
 
Jeshi la Libya likifire anti aircraft missiles usiku huu
 

Huyu Gaddaffi unayemtetea wewe ni yupi? Libya tangu lini ulisikia wanakubali kuwa wao ni waafrika? Wanasema wao ni waarabu sasa sijui unazungumzia nini hapa. Gaddaffi ana deserve hii kwa sababu ni mjinga mwendawazimu hana huruma na watu wake wacha mataifa makubwa wamwonyeshe kazi mpaka asalimu amri. Sasa hivi amejaza watu kwenye palace yake kama kinga au kile kinachoitwa kifo cha wengi harusi sasa hii ni akili kweli au ni upuuzi? Kumbuka waliopo hapo si wapo kwa hiari ni amri imetolewa. Mimi nasema wacha wampige tu mtu asiyesikia dawa yake ndio hii.
 
Royal Air Force wanarusha ndege zao Tornadoes kuelekea Libya pica imekuwa released dakika 30 zilizopita.
 
Kumbe wanajua ufumbuzi wa busara, walikuwa wapi siku zote? Ile jeuri yote imepotea ghafla. Sasa wanatangaza maandamano ya Amani toka pande zote za nchi kuelekea Bhangazi ambapo watafanya maombolezo ya kitaifa na kusameheana. Je hili litakubalika na wanaoitwa waasi? Bado kazi si rahisi kama serikali yao ilivyotangaza.
New Libya ceasefire as jets zero in - *UK News - MSN News UK
 
Ila Gaddafi kawaweka wanajeshi wake kwenye hali ngumu sana especially wale walioko karibia na Benghaz, maana soon watarun out of supply na hapo ndio kimbembe kitaanza wakiadvance kwenda mbele wanakuwa pounded wakirud nyuma nao si salama.
Ni kweli wako katika hali ngumu lakini wacha wafe kishujaa.
Umesema wakiadvance kulekea Benghazi wanakuwa pounded. Sasa wakirudi nyuma kwanini wapigwe?.
Unavyozungumza ndivyo itakavyokuwa na ndio utajuwa kuwa nia sio no fly zone bali kumuondoa Ghadhafi madarakani na kuiba rasilimali za Libya.Mfano huo ndivyo ilivyokuwa katika vita vya Iraq na Kuwait.Idadi kubwa ya jeshi la Saddam liliuliwa likiwa limefunga virago kurudi nyumbani huku mitutu ya vifaru ikiwa haina risasi na askari hawako tena na hamasa za kivita baada ya kuamriwa kurudi nyumbani kufuatia azimio la kusitisha vita lililotiwa saini kati ya Iraq na Kuwait lililosimamiwa na UN.
Hawa watu kuvunja sheria na mikataba na kusema uongo ni jambo la kawaida kwao.Mimi huwa nashangaa akili za watu wanaowaunga mkono wanapofanya unyama huu!.

 

Kwa hiyo wewe unaunga mkono suala la Ghadafi kuua raia wake mwenyewe kwa kuwa wanampinga kwa kutumia mabomu yanayododoshwa na ndege zake za kivita?

You must be lacking some points upstairs!!!!!

Tiba
 
Mkuu kurudi nyuma si salama kwa sababu katika vita yoyote sidhani kama mtu unayepigana naye atakuruhsu urudi ukajiunge na wenzako ili muwe na nguvu zaidi, option waliyonayo ni kusurrender na kuwa POW.
Unlike Iraq, LIbya tayari asilimia kubwa ya mafuta yake alikuwa anauza nchi za magharibi (wateja wakuu wakiwa Italy na Germany) na sidhani kama alikuwa na matatizo yoyote na nchi nyingine za magharibi. Sehemu aliyokosea step Gaddafi ni kuruhusu wanajeshi kuanza kuua raia waliokuwa wanaandamana, angewaacha wakaandamana kama walivyofanya Misri au Tunisia haya yote tusingeyasikia.
 
2126: Rebel Voice of Free Libya radio says the insurgents have driven Col Gaddafi's forces from the south-western suburbs of Benghazi and surrounded them at the port of Al-Zwitinah, 80 miles (130km) south of the city.

Al Jazeera: "US military: We are not coordinating our strikes with opposition fighters." - Sasa plan na objective ya hii mission ni nini?
 
Ila Gaddafi kawaweka wanajeshi wake kwenye hali ngumu sana especially wale walioko karibia na Benghaz, maana soon watarun out of supply na hapo ndio kimbembe kitaanza wakiadvance kwenda mbele wanakuwa pounded wakirud nyuma nao si salama.
ni bora waache hizo silaha na kukimbia kutafuta sehem salama wasubir hali itulie-la sivyo watakufa
 
Libya: work abandoned on Lockerbie bomber's residence
Work has been abandoned on a new residence for Abdelbaset al-Megrahi, the Lockerbie bomber, who was reported to have been evacuated from Tripoli before an international bombing campaign was launched.

Supporters of Col Gaddafi outside his compound in Tripoli. Gaddafi's regime is in lockdown as a result of the UN-backed attacks Photo: REUTERS

Mr Megrahi has not been seen in more than a year. A heavy police presence guards his opulent home Photo: EPA

By Damien McElroy, Tripoli 6:25PM GMT 20 Mar 2011

A heavy police presence was deployed in the Damascus district of Tripoli, the upmarket suburb where Mr Megrahi lives, after an overnight bombing raid destroyed the city's air defences.

Col Muammar Gaddafi's regime is in lockdown as a result of the UN-backed attacks and key figures have been evacuated from the city for their own safety.

Mr Megrahi, 58, was returned to Libya in August 2009 following compassionate release from prison in Scotland. He is said to be gravely ill. However he was given just three months to live on his release from prison after he was diagnosed with prostate cancer.

Mr Megrahi has not been seen in more than a year. A heavy police presence guards his opulent home.

A new family residence is being built in the same alley and guards last month said Mr Megrahi had visited the site.

Mr Megrahi has deep family connections to southern Libyan tribes that are staunch defenders of Col Gaddafi's rule. The Libyan intelligence officer was convicted of carrying out the 1988 bombing of Pan Am 103, which exploded over Lockerbie killing 270.

Source:
 
British report that libya integrated air defence system were knockedout was overstated.in the third week of february gadaf removed his more sophisticated weaponry from those installation and hidden away at secret facilities on sahara desert southern of libya out of range of british and france warplane,gadaf therefore retain intact his store of russian made SA-5 missile which can hit medium to high flying aircraft
 
Duh hizo kitu ni za 1960s seriously can they keep up with the modern technology? By the way hiyo ya kusema kazificha mbali ni the dumbest idea ever unless hana mpango wa kutungua ndege za coalition forces.
 
ni bora waache hizo silaha na kukimbia kutafuta sehem salama wasubir hali itulie-la sivyo watakufa
Yeah waweke silaha chini watulizane tu, wakisema warudi nyuma na silaha zao bila kujisalimisha watakuwa considered kiwa bado wako vitani.

2234: The White House says it does not recognise Libya's latest ceasefire and will continue to enforce the UN resolution.
2249: An administrative building inside Col Gaddafi's compound at Bab al-Aziziya in Tripoli has been "completely destroyed" by a missile, an AFP journalist reports.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…