The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Ninafurahishwa na uchungu ambao watu wanaonyesha juu ya vita hii. Natumaini siku moja watakuwa na uchungu wa namna hiyo kwa mafisadi na umasikini tulionao Tanzania.
 
This is terrible when everyone eyes is ön japan,now is time to invade pøor libya,that is terrible.irag invansion began on march 19 ,2003 is it a coincidence that attack on libya began ön march 19,2011 or they planned it?
Those ant gadaf are they still civilian if they have gun?
Why arent we showen as gadaf plane kill people how many died,why they didnt show the bodies.it is a cooked story to justify the bombing
 
WanaJF, hivi tunashindwa kabisa kupambanua kati ya waandamanaji na waasi? Misri kulikuwa na wandamanaji na walikuwa wengi sana. Libya kuna waasi na wamejikita katika baadhi ya miji wakisema makao yao Makuu ni Benghazi. Hao "waandamanaji wana ndege za kivita, bunduki za rashasha na makombora ya kutungulia ndege!! Hao ni waandamanaji kweli, hao hawako tofauti na Savimbi ama Kony sasa kwa nini Gadaffi asilinde nchi yake isigawanyike kwa kuwashambulia. Mlikuwa mnataka akae tu Tripoli wasonge mbele na silaha waende green square waue watu na Gadaffi mwenyewe. USA, Italy, France and UK ni mabeberu tu na wanataka mafuta ya Libya!! Gadaffi alilinda mafuta ya Libya kwa faida ya watu wake, mabeberu wakahamanika sasa wamewapa waasi silaha na kujifanya wanaandamana. Ubeberu ni ubeberu tu!! Sijui tunavutwa na nini hadi tuseme Gadaffi ni muuaji? Ameua wangapi? Hivi tunavutwa na rangi au dini? Tuchangie kwa ueledi bila udini ama rangi ndani ya vichwa vyetu.
 
Hapo penye red naomba umtafsirie kwa kiswahili au kwa kilugha chao aelewe vizuri kwamba jamaa wana baraka zote za UN kwa mashambulizi yote waliyomfanyia Gadafi to date.

Hivi unajua kama UN ni almost Marekani!!
Marekani ndio anashikilia usukani wa UN.
Hata UN ingekataa huu uvamizi na Marekani wangeendelea kuvamia unafikiri UN ingeipa adhabu Marekani au ingepeleka majeshi kwenda kupambana na Marekani?
Itakumbukwa kuwa hata ule uvamizi wa Iraq, UN haikubariki ule uvamizi na wakaguzi wa UN walikuja na report kuwa Iraq haikuwa na siraha za maangamizi kama Marekani ilivyotumia kama kigezo cha uvamizi.
Lakini UN ilichukua hatua gani?
 
Nawashangaa watanzania wenye matatizo kibao yasiyo na tiba nashangilia marekani wauaji wakubwa kuipiga Libya!! hana umeme,maji,barabara wala huduma za afya...jue US anataka kuiba mafuta sio kingne chochote
 

Lol resolution 1973 hairuhusu foreign forces ndani ya Libya. By the way wewe juzi si ulikuja na post ukidai meli zote za US zimeondoka pwani ya Libya na isitoshe hii post yako inapingana na ile ya mwanzo kuhusiana na kutumia base za Egypt.
Sijaona sehemu US wakisema hawashiriki hii operation.
 
China na Russia wana kura ya veto sasa kwa nini hawakuitumia? Na kulikuwa na mataifa mawili au matatu ya kiafrika yaliyopiga kura vile vile.
 
'it will be a long war against the crusader'
Nasikitika hata sisi wana wa Afrika hatujijui sisi ni akina nani na Gadafi ni nani. Kweli Gadafi kakaa madarakani kipindi kirefu. Je, ni kweli wananchi wake hawampendi? Hawa waasi kwanini watokee mji mmoja tu Bengazi na sio nchi yote? Gadafi ndio mwana- wa Afrika pekee anayewasumbua "Wamagharibi". Ni Gadafi pekee mwenye kuutetea Umoja wa Waafrika (Watu Weusi) - kumbuka yeye ni Mwaarabu! Bahati mbaya kabisa Gadafi anautetea Uislamu kumbuka sio Al-Kaida - na hili hasa ndio kinamponza ukiachilia mbali utajiri wa mafuta wa Libya. Kwanini - Wamagharibi wasiende Ivory Coast, Yemen, Baharaini, na kwingineko Arabuni - wanakufa wananchi huko. Inamaana Marekani inauchungu sana na waLibya kuliko wa weusi wa Ivory Coast? Je, wanaouwawa na majeshi ya Ushirika wa NATO sio raia wa Libya? Je, Califonia au Texas wangeasi na kutaka kujitenga Obama asingeingia kijeshi huko? Kumbuka: Tunisia, Misri na kwingineko Arabuni ni Uasi wa Umma na ndio maana Wamagharibi hawataki kupeleka jeshi. Uasi wa Libya ni wa kupandikizwa. Gadafi ni chambo tu! Mwana JF - naomba ufungue masikio na macho yote. Usiangaliea masuala haya kwa kengeza au kwa uziwi tafadhali.
RA
 
Miafrika ya namna hii inatakiwa kuuliwa hadharani.
Hapana hapasi kuuwawa bali anaonesha ni jinsi gani asivyopendezwa na viongozi wabovu wanaong'ang'ania madaraka na kudiriki kuuwa raia ili wabaki madarakani. Inaonekana ndugu una mtazamo mfu sana.
 
Obama is nothing but a weak puppet and will only do what he is told by the power in USA Such as oil companies,wall street ,neo-conservative and ofcourse military industrial complex ,lets do some math here,
one tomahwk missile cost about $560000 each they fired up to 200 mi$sile try to calculate that then cönvert in Tsh.when british are starving and 44million american are on foodstamp they got some ball to start another war.NO WONDER THEY WANT OBAMA OUT IN COMING ELECTION
 

Haijalishi hiyo,wewe tu!!
Alileta askari washirikiane na Idd Amin atudunde hapa na wewe umesahau hilo!!!kwenda zako bwana wacha adundwe na yeye!!
 
China na Russia wana kura ya veto sasa kwa nini hawakuitumia? Na kulikuwa na mataifa mawili au matatu ya kiafrika yaliyopiga kura vile vile.
Kura ya Veto ya Mataifa hayo mawili ineweza kuzuia uvamizi?
China tayari imeshatoa tamko juu ya uvamizi huu na imesema wazi haikubaliani na uvamizi huu laiti kama kura ya Veto ingekuwa na uwezo wa kuzuia uvamizi huu basi ingefanya kazi hapo.
Nimeshasema tangu awali kuwa UN ni America na America ni UN.
 
China na Russia wana kura ya veto sasa kwa nini hawakuitumia? Na kulikuwa na mataifa mawili au matatu ya kiafrika yaliyopiga kura vile vile.

UN Resolution 1973 on Libya

Approved:
* Bosnia and Herzegovina
* Colombia
* France
* Gabon
* Lebanon
* Nigeria
* Portugal
* South Africa
* United Kingdom
* United States

Abstained
* Brazil
* China
* Germany
* India
* Russia

Hao Waafrika walioshiriki katika huu uovu wa kupitisha azimio hili ni wanafiki tu kama wanafiki wengine. Russia na China wana udhaifu wao sasa wanaanza kupiga mayowe kwa kuwa azimio halikutoa ruhusa kushambulia hovyo na kuua watu. Wamarekani wanakumbuka ya kuwa walimwekea Sadam no-fly zone na akafanikiwa kukaa nayo kwa miaka 13 hivi kwa hiyo wanajua wakiishia kwenye no fly zone, Col. Gadaffi ataweza kuushinda uasi sasa wanashambulia wamng'oe mamlakani.
 
 
China na Russia wana kura ya veto sasa kwa nini hawakuitumia? Na kulikuwa na mataifa mawili au matatu ya kiafrika yaliyopiga kura vile vile.

UN Resolution 1973 on Libya

Approved:
* Bosnia and Herzegovina
* Colombia
* France
* Gabon
* Lebanon
* Nigeria
* Portugal
* South Africa
* United Kingdom
* United States

Abstained
* Brazil
* China
* Germany
* India
* Russia

Hao Waafrika walioshiriki katika huu uovu wa kupitisha azimio hili ni wanafiki tu kama wanafiki wengine. Russia na China wana udhaifu wao sasa wanaanza kupiga mayowe kwa kuwa azimio halikutoa ruhusa kushambulia hovyo na kuua watu. Wamarekani wanakumbuka ya kuwa walimwekea Sadam no-fly zone na akafanikiwa kukaa nayo kwa miaka 13 hivi kwa hiyo wanajua wakiishia kwenye no fly zone, Col. Gadaffi ataweza kuushinda uasi sasa wanashambulia wamng'oe mamlakani.
 
Huu ni uchunguzi ambao umejitahidi kuufanya kwa kina chako pia. Je unasemaje kuhusu mataifa ya kiarabu kuunga mkono kutolewa kwa gadafi ? Ametetea vipi suala la mtu mwafrika? Hivi punde tuu alitoa wito wa Nigeria kutengana kti ya kusini na kaskazini. Wakati TZ ina vita na UGanda alikuwa msaidizi wa Uganda kwa kutoa ndege na mbinu nyingine za kivita, je Tanzania tulikuwa wazungu kwa kipindi kile na akaamua kuwasaidia waafrika Uganda? Acha mtazamo wa Ki- Benno malisa ndugu yangu.
- Huyu jamaa hamna lolote isipokuwa ujeuri wake kwa mataifa mengine ni kutokana na hifadhi ya mafuta tuu aliyonayo.
 

China walikuwa na uwezo wa kuzuia kwa VETO lakini walikimbia kinafiki! Wamarekani wanajua kucheza na Diplomasia huko UN wanaweza hata kuwa wamehonga kwa ahadi lukuki si tunajua hizo nchi zina matatizo!
 
kumbuka kabla ya UN kupitisha NO FLY ZONE ilizingatia mambo matatu na mawili yalitimizwa ikiwemo
1.Kupata ridha ya ARAB LEAGUE 2.uvamizi kutovunja sheria 3.kupata ridhaa ya AU.
namba moja na mbili yalitimizwa kwa hiyo UN (France na washirika) wama exercise kijeshi ombi la waarab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…