NICK2275
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 3,930
- 920
anadai ni za serikali ya libyana zile walizozi-freeze zilikuwa ni za nani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anadai ni za serikali ya libyana zile walizozi-freeze zilikuwa ni za nani??
The only option ni kumwondoa kwa nguvu. Gadafi lazima aondoke na hakuna taifa lolote--liwe la kizungu au kiarabu--linaloweza kuzuia. Mwangalie huyo jamaa, amejitokeza sana public jana na leo..huyo siyo kiongozi ila ni dictator!!
Hana chembe ya utu..

hAPO hakuna cha Alqaeeda wala USA, tatizo liko kwa Ghadafi wenu huyo,
si wananchi wote hawamtaki na si wannchi wote wanaomtaka.
Ila kwa ujumla ni kwamba wananchi wengi wameshamchoka.
Hivi mbana ninyi kila kitu ni kusingizia USA tu??
Lets face it Ghaddafi isn't going anywhere.
Kwa nini hao UN na EU wasiende kwa Bgabgo Ivory coast? kuna kitu kimejificha Libya hatukijui.