The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

I am not advocating Gaddafi's actions against so called anti Gaddafi's governance,it is true that Gaddafi has messed up somewhere.But the ongoing attack against him conducted by coalition forces are not right.Why these guys put much attention on Libya's internal affairs and not on Ivory coast??There must be somethig behind this.Ukoloni bado unaendelea
 
Sikushangai. Nahs umebebwa na fkra za knyonyaj, umetawaliwa tangu babu yake babu yako na bado hutak kuwa huru... Hv lini Afrìca tutakuwa "sisi"
 
Nasikitika hata sisi wana wa Afrika hatujijui sisi ni akina nani na Gadafi ni nani. Kweli Gadafi kakaa madarakani kipindi kirefu. Je, ni kweli wananchi wake hawampendi? Hawa waasi kwanini watokee mji mmoja tu Bengazi na sio nchi yote? Gadafi ndio mwana- wa Afrika pekee anayewasumbua "Wamagharibi". Ni Gadafi pekee mwenye kuutetea Umoja wa Waafrika (Watu Weusi) - kumbuka yeye ni Mwaarabu! Bahati mbaya kabisa Gadafi anautetea Uislamu kumbuka sio Al-Kaida - na hili hasa ndio kinamponza ukiachilia mbali utajiri wa mafuta wa Libya. Kwanini - Wamagharibi wasiende Ivory Coast, Yemen, Baharaini, na kwingineko Arabuni - wanakufa wananchi huko. Inamaana Marekani inauchungu sana na waLibya kuliko wa weusi wa Ivory Coast? Je, wanaouwawa na majeshi ya Ushirika wa NATO sio raia wa Libya? Je, Califonia au Texas wangeasi na kutaka kujitenga Obama asingeingia kijeshi huko? Kumbuka: Tunisia, Misri na kwingineko Arabuni ni Uasi wa Umma na ndio maana Wamagharibi hawataki kupeleka jeshi. Uasi wa Libya ni wa kupandikizwa. Gadafi ni chambo tu! Mwana JF - naomba ufungue masikio na macho yote. Usiangaliea masuala haya kwa kengeza au kwa uziwi tafadhali.
RA

subiri ashkishwe adabu kwanza ndo ulete hayo malalamiko zako hapa jamvini.
 
Sikushangai. Nahs umebebwa na fkra za knyonyaj, umetawaliwa tangu babu yake babu yako na bado hutak kuwa huru... Hv lini Afrìca tutakuwa "sisi"

mbona CCM wanawanyima uhuru wa kujichagulia viongozi wenu na mnaufyata? ya qaddafi yanawauma sana eeh!!
 
Dah,mtandao unanisumbua siezi kujibu kila mtu anaechallenge post zangu individually.niliposema aircraft carrier USS ENTEPRISE imeondoka pwani ya libya sikua na maana kuwa hakuna naval ship zingine kama bomber na destroyer.ujue aircraftcarrier huwaga kama airforce base ndege huruka toka humo kwenda kupiga target so inaokoa gharama kwa mfano jana tornado za uk ilibidi ziende umbali wa km 3000,kwenda kupiga target zingine zitokee italy.kama kuna aircraft carrier zinakua zinatokea karibu sasa uss enterprise marekan wakaitoa,charles de gaule bado inakuja ipo persian gulf
 
wamarekani wanafuata mafuta hapo na hao rebels wanapata support kubwa kutoka magharibi,,,na ni wajinga tu japo wanalipwa watazulumiwa walichohaidiwa wataleta shida kama ya konyi uganda na banyamulenge kule kongo,,,libya itakuwa ya historia marekani watanyonya wese pale hali itakuwa mbaya sana ,,,,ila sawa ishaandikwa MKATAAPEMA PABAYA PANAMWITA,,,,,,:focus:
 
Gaddafi is an Arab by race but a truely African na sio kibaraka, mataifa ya magharibi yanalipiza kisasi cha mwaka 1988, lets go back to history kabla ya ku comment kishabiki zaidi
 
Muafrika na muanzilishi wa AU anashambuliwa na raia zake wanauliwa na waAfrika wengine wanachekelea na kuona raha.

Wanadanganywa na "media" kabla ya mashambulizi kuwa Ghaddafi anaua raia zake, na mijuha mingi inakubali.

Wamesahau "crusade" aliyoitangaza Bush! Na wamesahau wamerekani walivyozuwa na kudanganya kuwa Iraq kuna silaha za maangamizi.

Waliosahau na wanaofurahia wanajulikana ni kwa nini wamesahau na ni kwanini wanfurahia haya yanayojiri.
Wakumbuke nguvu ya "crusade" haikushinda miaka na vikaka, itashinda sasa. Kumuuwa Saddam au Ghaddafi si ushindi ni ushindwa. Kwa mwenye kuelewa ataelewa na punguwani atabaki kuwa punguwani.

Tokea lini Gaddafi akawa Mwafrika? Na hiyo AU kwani kaazisha yeye au imebadilishwa jina tuu from OAU to AU?
 
kumbuka kabla ya UN kupitisha NO FLY ZONE ilizingatia mambo matatu na mawili yalitimizwa ikiwemo
1.Kupata ridha ya ARAB LEAGUE 2.uvamizi kutovunja sheria 3.kupata ridhaa ya AU.
namba moja na mbili yalitimizwa kwa hiyo UN (France na washirika) wama exercise kijeshi ombi la waarab

Vipi kuhusu namba3?
 
Jamani hizi taarifa zimetoka kwa la princessa,msichana ana nifurahisha sana na mawazo yake...leo hii tunasikia Gaddafi kumbe aliandika barua kwa ufaransa Sarkozy, Ban Ki Moon, na Daudi Cameroun wa Uk.. Kweli nimecheka .. Mzee mzima maji shingoni imebidi tu amwambie Mtu Mzima Obama 'Nakupenda' no matter what

Letter to Obama:

Obama-Reading-Letter.jpg

To our son, the honourable Barack Hussein Obama,
As I have said before, even if, God forbid, there were a war between Libya and America, you would remain my son and I would still love you. I do not want to change the image I have of you. All of the Libyan people are with me, ready to die, even the women and children. We are fighting nothing other than al-Qaida in what they call the Islamic Maghreb. It's an armed group that is fighting from Libya toMauritania and through Algeria and Mali. ... If you had found them taking over American cities by the force of arms, tell me what you would do?"
___
And to Everybody else


Letter to French President Nicolas Sarkozy, British Prime Minister David Cameron and U.N. Secretary-General Ban ki-Moon:
Libya is not yours. Libya is for the Libyans. The Security Council resolution is invalid because it does not follow the charter regarding the internal affairs of any country. This is terrible oppression, crude aggression.
You never have the right to intervene in our internal affairs. Who gave you this right? You will regret it if you dare to intervene in our country. Our country is not your country. We cannot fire a single bullet at our people."
hapa La Princessa World: Letter to Obama From Gaddafi
 
Yote tisa,kumi ukweli ni kwamba,mataifa ya ulaya pamoja na marekani yako kimaslahi zaidi! Sidhani kama kweli wana uchungu na raia wanaokufa bila hatia. Kama ni kweli wana uchungu, basi nadhani wangetuma ngege za kivita plus askari wa nchi kavu sehemu nyingi tu za dunia zenye machafuko na hasa kipindi kile cha mauaji ya halaiki ya Rwanda na Burundi.

Pamoja na hayo, nchi nyingi za kiarabu zimekua zikiangaliwa kwa karibu sana na nchi za magharibi! Hii ni kutokana na neema ya mafuta waliopewa. Mbaya zaidi raia wengi wa nchi hizi ni wenye imani ya kiislamu,ambayo haikubaliki na mataifa haya ya magharibi na imekua ikibigwa vita kwa visingizio vya kila aina(ugaidi,siasa kali n.k)

Takwimu zinaonyesha Gadafi ni moja kati ya viongozi wachache shupavu duniani na amefanikiwa sana kuingoza Libya na hatimae kuwa na uchumi Imara. Nguvu ya umma iliyomtoa Mubarak Misri haiwezi kufananishwa moja kwa moja na mvutano unaoendelea Libya.

kwa nn hawa marekani na allies wasiwapige somalia wanaouwa watu ovyo, au wampige na kumng'oa gbabo?? wehu wote, kitendo cha marekani na wenzie kumpiga gaddafi ni uhaini ni uhuni na ubabe wa kis""|^^%enge..wanaoona gaddafi anapaswa kuuawa hawana sababu na they are driven by cnn, bbc and the like..they are brainwashed and they can't think for themselves..gaddafi anakataa ukoloni siku zote anasema afrika for afrikans..amefanya makubwa nchini kwake mara alfu hamsini ya mkwere wenu..Afrika lets stand up and unite and fight this colonialism..
 
Jamani hizi taarifa zimetoka kwa la princessa,msichana ana nifurahisha sana na mawazo yake...leo hii tunasikia Gaddafi kumbe aliandika barua kwa ufaransa Sarkozy, Ban Ki Moon, na Daudi Cameroun wa Uk.. Kweli nimecheka .. Mzee mzima maji shingoni imebidi tu amwambie Mtu Mzima Obama 'Nakupenda' no matter what


UK's prime minister ni David Cameron na si Daudi Cameron
 
kwa nn hawa marekani na allies wasiwapige somalia wanaouwa watu ovyo, au wampige na kumng'oa gbabo?? wehu wote, kitendo cha marekani na wenzie kumpiga gaddafi ni uhaini ni uhuni na ubabe wa kis""|^^%enge..wanaoona gaddafi anapaswa kuuawa hawana sababu na they are driven by cnn, bbc and the like..they are brainwashed and they can't think for themselves..gaddafi anakataa ukoloni siku zote anasema afrika for afrikans..amefanya makubwa nchini kwake mara alfu hamsini ya mkwere wenu..Afrika lets stand up and unite and fight this colonialism..

Huko Ivory Coast JK and his Cos instead of asking the security council to intervene just like the Arab did to Libya si walisema watasort out wao wenyewe? let them sort out the mess then. maji ukishayafulia...............
 
Vipi kuhusu namba3?
AU walikaa kimya ila South Africa,Nigeria and Gabon walitoa picha ya AU otherwise wangekataa au wawe wanafiki kwa kutoka njee kama akina Russia.

"Comoros' top military official said last month Tanzania,Sudan and Senegal were expected to provide a total of 750 troops, while Libya has offered logistical support for the operation"inaelekea umesahau hii namna tulivyoingilia mambo ya ndani ya nchi ingine
 
Yule bwana alokua akijifanya chizi kwa kuua watu wake kila kukicha, amepata akili baada ya kuchezea kichapo kutoka France, US na UK. BBC wameonyesha live viongozi wa jeshi wakitoa amri kwa vikosi vyote kusitisha mashambulizi ya aina zote kwa hao waliokua wanawaita 'rebels' wametoa amri kwamba badala ya kushambulia watu wahakikishe watu wote wako salama, hakuna ruhusa kushambulia mtu yeyote...Hongera Obama and the co, kumbe huyu bwana akili anayo ule uchizi ulikua wa kujifanyisha

jst wait n u'l c how crazy he is.
 
hata mimi nakumbuka vizuri Gadaff alianza kwa kulaumu al-Qaeda ili apate support ya mkuu wa dunia(obama)
 
Yote tisa,kumi ukweli ni kwamba,mataifa ya ulaya pamoja na marekani yako kimaslahi zaidi! Sidhani kama kweli wana uchungu na raia wanaokufa bila hatia. Kama ni kweli wana uchungu, basi nadhani wangetuma ngege za kivita plus askari wa nchi kavu sehemu nyingi tu za dunia zenye machafuko na hasa kipindi kile cha mauaji ya halaiki ya Rwanda na Burundi.

Pamoja na hayo, nchi nyingi za kiarabu zimekua zikiangaliwa kwa karibu sana na nchi za magharibi! Hii ni kutokana na neema ya mafuta waliopewa. Mbaya zaidi raia wengi wa nchi hizi ni wenye imani ya kiislamu,ambayo haikubaliki na mataifa haya ya magharibi na imekua ikibigwa vita kwa visingizio vya kila aina(ugaidi,siasa kali n.k)

Takwimu zinaonyesha Gadafi ni moja kati ya viongozi wachache shupavu duniani na amefanikiwa sana kuingoza Libya na hatimae kuwa na uchumi Imara. Nguvu ya umma iliyomtoa Mubarak Misri haiwezi kufananishwa moja kwa moja na mvutano unaoendelea Libya.
mataifa ya kiarabu yaliomba UN ipitishe hilo azimio hapo unasema je ?
 
Si kweli, Shujaa Ghadafi hata siku moja hawezi jishusha namna hii. Hii letter imepikwa kumdhalilisha Ghadafi.

Najua westerners watamshinda Gadafi, lakini Libya itamkumbuka sana. Wakati walibya wanajenga nchi yao upya...westerers wanachota mafuta ya bure Libya kama vile hayana mwenyewe.
 
Sasa hivi anatumia watu kama shield/ngao ya kujikinga. Hata hivyo siku zake kukaa madarakani zimekaribia.... Tuombe nguvu hii isiwadhuru wananchi.
 
Back
Top Bottom