Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Nakubali kuwa huezi kuwa na non flying zone before eliminating the target airdefence this means bombing .amri musa aliingia kichwakicha on behalf of arab league sasa jana wakamsimanga iweje amewasemea ndo kisa cha yeye kupiga about turn na kurudi kulaani non flying zone huyu jamaa hakujua jamaa wanamaana gani .ukiangalia bodylaunguage wakati sakoz akimkaribisha amri musa ndani ya kikao ,too much handshaking while he look directly at the camera it was for camera no frindness envolved