The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Tatizo watu wengi hawajui kinachoendelea Libya, Gadafi akiondoka pale nchi ile itakuwa kama Somalia na Iraq haitatawalika. Lazima mjue kwamba nchi za magharibi zinataka mafuta ya Libya tu, na wale wapinzani wa Gadafi ni purpet wa nchi za magharibi, sasa kama mnawaunga mkono maana yake mnaunga mkono kutawaliwa tena kwa ukoloni wa kisasa. Kama wao wanajua demokrasia si wangeenda Somalia ambapo hakuna serikali kwa muda mrefu ?


Mpaka sasa mwelekeo wa Libya ni haywire.... Libya is NO MORE... Inasikitisha kua the majority don't understand na sababu time is our friend - time will tell... But then it will be too late!
 
Asha D na wewe unaresort kwenye hizi propaganda za royal family na utawala wao? Nchi yoyote ya kifalme katiba yao (constitutional monarchy) inaruhusu, Libya ni nchi ya kifalme?
 
Mimi nilijuwa zamani akina Zuma na Russia ni walewale.
Gaddafi hana sababu ya hata kuonana nao.Apigane tu.Allah ndiye rafiki wa milele.
Tangu hapo mwenyewe hayupo madarakani rasmi lakini bado wanatumia kisingizio cha kuwepo kwake madarakani ili sababu za kivamizi zisikatike.
 
Mimi nilijuwa zamani akina Zuma na Russia ni walewale.
Gaddafi hana sababu ya hata kuonana nao.Apigane tu.Allah ndiye rafiki wa milele.
Tangu hapo mwenyewe hayupo madarakani rasmi lakini bado wanatumia kisingizio cha kuwepo kwake madarakani ili sababu za kivamizi zisikatike.
Ha ha ha..al Qaeda fanatic wanchekesha sana.
 
Asha D na wewe unaresort kwenye hizi propaganda za royal family na utawala wao? Nchi yoyote ya kifalme katiba yao (constitutional monarchy) inaruhusu, Libya ni nchi ya kifalme?


Eqlypz I strongly do! Libya sio nchi ya kifalme hivyo my stand ni kua of all the nations they (wao wenye long reign) should have understood better, for Libya kuweka their political or most importantly demecratic issues sawa na katika mstari ulonyooka ilitakiwa hio vita ifanywe na ianzwe from within lakini sio kwa NATO forces... ndio wapo wale wachache ambao pia wametumika but history has show that a successful revolution ni ile ambayo the majority wanataka na kujihusisha which is contrary in Libya...

Before nilikua simkubali kabisa Gaddafi (tokana na utafakari wake mdogo unaooneshwa katika speech zake ambazo nyiiingi ana Blunder) but the situation imenifanya niwe supporter wake... wewe jamaa amekaa more than 40 years madarakani with the same pinciples of rule - US via Regan ili launch an attack kwa Gaddafi in 1986 (akiwa madarakani for 16 years) kwanini hawakumaliza hio kazi then??? hayo mambo inevitably they make one wonder... na kama kweli ningeamini kua hao westerners wako genuine ninge support all the way.
 
I hate Gaddaf because even mwalimu used to hate him.


Mwalimu was a lot of things and an extra ordinary man... but hating because someone hated was not one of his line... You want to live up to his beliefs you really have to stand up to what you believe (in most cases right and good for the majority) at the same time justifying as to why is it so...
 
Siku navamiwa nyumbani kwangu halafu rafiki zangu na majirani badala Ya kunisaidia wananishika mkono nikae pembeni niwawache majambazi wamalizie shughuli yao.Kwanza nawatukana wakiendelea naweza hata kuwageukia wao nikawarushia makonde.
Russia na South Africa si walilkuwepo UN siku azimio likipitishwa?.Na sasa hivi si midomo wanayo mbona hawalaumu US na NATO wanavyofanya huko Libya?.
Gadaffi hakufuata ushauri wangu kikamilifu wa kugawa silaha zote kwa wananchi.Angalia heshima US inayofanya sasa kwa Taliban.
 
Siku navamiwa nyumbani kwangu halafu rafiki zangu na majirani badala Ya kunisaidia wananishika mkono nikae pembeni niwawache majambazi wamalizie shughuli yao.Kwanza nawatukana wakiendelea naweza hata kuwageukia wao nikawarushia makonde.
Russia na South Africa si walilkuwepo UN siku azimio likipitishwa?.Na sasa hivi si midomo wanayo mbona hawalaumu US na NATO wanavyofanya huko Libya?.
Gadaffi hakufuata ushauri wangu kikamilifu wa kugawa silaha zote kwa wananchi.Angalia heshima US inayofanya sasa kwa Taliban.
heshima gani USA wanaifanya kwa talibani-au huku kumuua osama?
 
Siku navamiwa nyumbani kwangu halafu rafiki zangu na majirani badala Ya kunisaidia wananishika mkono nikae pembeni niwawache majambazi wamalizie shughuli yao.Kwanza nawatukana wakiendelea naweza hata kuwageukia wao nikawarushia makonde.
Russia na South Africa si walilkuwepo UN siku azimio likipitishwa?.Na sasa hivi si midomo wanayo mbona hawalaumu US na NATO wanavyofanya huko Libya?.
Gadaffi hakufuata ushauri wangu kikamilifu wa kugawa silaha zote kwa wananchi.Angalia heshima US inayofanya sasa kwa Taliban.


Labda ushauri wako haukumfikia mtumie tena mkuu.
 
heshima gani USA wanaifanya kwa talibani-au huku kumuua osama?
Hivi tunavyoandika Clinton katoka Pakistan kuibembeleza nchi hiyo izidi kuwabana Taliban.Kule Marekani kwenyewe barua kali imetumwa kwa Obama kutokana na athari za mashambulizi ya Taliban akitakiwa na wajumbe kutoka vyama vyote vikuu vya kisiasa akitakiwa akomeshe vita.
Ndivyo mwanamme anavyotakiwa kuwa akipigwa asilie bali apambane.Na ndivyo anavyotakiwa kuwa Gaddafi akiwepo madarakani au mafichoni apigane mpaka kufa kwake.Ndivyo alilvyofanya Osama na anavyofanya Mullah.
Wapalestina waliheshimika ule wakati wa Intifada tu,walipofanya mazungumzo yasiyo na kikomo wamekuwa hoovyo!.
 
Labda ushauri wako haukumfikia mtumie tena mkuu.
Ushauri wangu ulimfikia na kuna wakati alitamka hadharani kufanya hivyo,nahofia hakufanya kikamilifu.Hii iwapo kafanya hata akiondoka hatawali mtu pale.Kwa sababu wapo wachache wanaomchukia Gaddafi lakini karibu wote hawapendi ukoloni mpya.
Sasa iwapo Gaddafi ataondoka kwa namna yoyote ile na huku nyuma maadui zake wakashindwa kutawala hapo ushindi utakuwa ni wake.
 
US President Barack Obama asked his Russian counterpart Dmitry Medvedev to tell Libyan leader Muammer Gaddafi that he will remain alive if he leaves the country, the Kommersant daily reported Friday. Citing a Russian official present during Obama's meeting with Medvedev on the sidelines of the G8 summit in France on Thursday, the report said Washington's proposal sounded unrealistic to Moscow.

Kwenye hela yao ya Dollar(US dollar) wameandika "WE BELIEVE IN GOD".....Kwa kauli hii ya Obama inanipata wakati mgumu kuelewa aina ya huyo Mungu wamarekani(hasa Obama na washauri wake) wanaye muamini, ambaye sasa anaweza kuwasiliana nao kuwaambia Gaddafi afe akikaa Libya au mpeleke sehemu fulani asife. "This is highest in ranking ascending order of ABSURD" kuwahi kuusikia kutoka kwa OBAMA.

"Only the true Al Mighty has the mandate to decide who shall live or die" by MpigaKelele
 
Libya Blasts 'Within Gaddafi Compound'

Officials in Tripoli say explosions heard this morning were inside the compound of Libyan leader Muammar Gaddafi.

The explosions followed a fifth straight night of air strikes and signal a possible switch in tactics by the forces trying to end Colonel Gaddafi's 41-year reign.
"RAF Typhoons, along with other Nato aircraft, last night used precision guided weapons to bring down guard towers along the walls of Colonel Gaddafi's Bab Al Aziziyah complex in the centre of Tripoli," said Chief of the Defence Staff Strategic Communications Officer, said Major General John Lorimer.

"For decades, Colonel Gaddafi has hidden from the Libyan people behind these walls, spreading terror and crushing opposition.
"The massive compound has not just been his home, but is also a major military barracks and headquarters, and lies at the heart of his network of secret police and intelligence agencies.

"Last night's action sends a powerful message to the regime's leadership and to those involved in delivering Colonel Gaddafi's attacks on civilians that that they are no longer hidden away from the Libyan people behind high walls.
Source-skynews
 
Tuelewe kitu kimoja ....ubeberu bado unatumika na kuna viongozi wa kiafrika ni vibaraka, haya mataifa ya magharibi ni maslahi na sio hiyo demokrasi wanayoihubiri........kuna nchi ngapi hazina demokrasi na wala hawashughuliki nazo ? Burma(Myanmar) , Yemen nk.kama ingekuwa ni hiyo demokrasi basi wangeenda Siria kwani rais wao anauwa wananchi kama kuku(Siria hawana mafuta,kwa hiyo itakuwa vita ya kupoteza pesa wakati wao hawatovuna kitu )pia Bahren(hawa ni rafiki wa wamarekani,kwa hiyo hawaguswi na mtu)
Tunajua kuwa Gaddafi ni kiongozi asietabirika ila siamini kama alikuwa tishio kwa nchi nyengine....ni mmoja wa viongozi aloekeza pesa zake katika nchi za afrika na ulaya na hili wazungu halipendi kabisa kuona kuwa waafrika wanataka kujitegemea...kwani wao maslahi watakosa(najua kuna watu watasema Afrika ya kaskazini ni waarabu,kweli kabila lao ni waarabu ila ukweli unabaki palepale kuwa wamo katika afrika nao ni waafrika)
Libya iliwekewa vikwazo kama Irak na kutokana na silaha za maangamizi , walipokubali kuziangamiza kuna watu walisema kuwa mwendo wa Libya utakuwa kama wa Irak..ndo haya tunayaona ....wanasema kuwa wanafata azimio la UN ila hilo azimio halisemi kuwa Gaddafi aondoke,lakini wao wanasema kwenye vyombo vya habari na hakuna mtu wa kuwakemea..wanachotaka ni kuwa aondoke na baadae wamfunge ama wamuuwe.wanajua kuwa pana mafuta ndio maana wakaja na hii ya kuwalinda wananchi wa Libya...kama kuwalinda mbona wanawapa silaha waasi ?? kuna mambo mengi tu ambayo hayaingii akilini ila madam pana maslahi na wanayataka basi wataiharibu nchi iwe kuliko hiroshima ...........lakini lao lifanikiwe.....
they do not have a common friend but a common intress
 
Gadaf na yeye ni beberu kamasi tu ! Kuhamisha mihela yote ile kwenye akaunti zake ni ushenzi ! **** mmoja, gaidi manyoya na jitu lenye tamaa zilizopindukia za Uzinzi .
 


"RAF Typhoons, along with other Nato aircraft, last night used precision guided weapons to bring down guard towers along the walls of Colonel Gaddafi's Bab Al Aziziyah complex in the centre of Tripoli," said Chief of the Defence Staff Strategic Communications Officer, said Major General John Lorimer.
 
pamoja na tamaa za gadaffi lakini bado issue inabaki pale pale... kwa nini katika mkutano wa g8 agenda iwe libya, hawa mbwa wa magharibi ni washenzi sana, they fear about africa and gadaffi, na ukweli ni kwamba AU ipo ila ipo jina tu, ipo ki mtazamo kuwa kuna umoja wa afrika lakini ki ukweli umoja wa afrika haupo, juzi kama sio jana wametoa mapendekezo yao kuwa nato wasimamishe mahsambulizi libya then wao wa solve hiyo issue lakini jana hiyo hiyo nato wameendeleza mashambulizi, hatuna viongozi, kwanza mimi nashangaa kwa nini bado wapo madarakani hao wanaojiita viongozi wa umoja wa afrika, kama wanaweza kuazimia kitu then nchi za magharibi wakakaidi halafu wanajiita viongozi,
 
Back
Top Bottom