Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hiyo ni clip from youtube, just click it and will play.Mkuu,
Attachment haifunguki..
Inafunguka ni U-tube clip .Jaribu ku-upgrade browser yako.Ikiwa ni IE6 haikubali kabisa.Mkuu,
Attachment haifunguki..
Hapo kuna kazi. Kwa mambo yanavyokwenda itabidi nchi za kiafrica mwisho wake zilazimikie kuwatambua jamaa wa Benghazi. Kwa sasa inaelekea AU itakosa mfadhili muhimu sana baada ya Gaddafi kung'olewa madarakani.Hope its a bad news for pro gaddaf-
...
gaddaf yupo delusive sana-na huo ugonjwa ameshawaambukiza followers wakeHapo kuna kazi. Kwa mambo yanavyokwenda itabidi nchi za kiafrica mwisho wake zilazimikie kuwatambua jamaa wa Benghazi. Kwa sasa inaelekea AU itakosa mfadhili muhimu sana baada ya Gaddafi kung'olewa madarakani.
Ni sikonge plus X-Paster's propaganda au RT news propaganda!?Sikonge+ X-paster get really na propaganda zenu.
Mkuu, mimi siku zote huwa napenda kusimama bega kwa bega na ukweli. Japokuwa wengi hawaipendi kweli, na ndio maana wanaishi katika ulimwengu wa utumwa wa kiakili.Afadhali wewe umesema bana maana wengine walishaandika hapa kuwa ni kuupiga vita UISLAAM.
Yaani jitu linajifanya linajua siasa wakati ni jeupee kama theruji......
USA/NATO hawawezi kupoteza mamilioni ili kupigana na Uislaam.
Mbona hawaendi Yemen kupigana nao? Mbona wapo Saudi Arabia?
X-Paster u mmoja ya Waislaam ambao mara nyingi unafikiria mbali zaidi ya Pua yako.
Kuna wakati ka ushabiki huwa kapo ila ukweli ni kuwa wewe ni mmoja wapo wa wale ambao mnaweza kujadiliana. Ni watu kama wewe huwa nina imani kuwa vita ya Udini Tanzania haitatokea. Keep it brother.
Hizo sifa zako kwa X-PASTER ni za bure na si dhani kwamba kazipokea kwa moyo mmoja.Kwa sababu huwezi kuwa na pupa ya kutaka mali bila kupingana na Uislamu.Hii ni kwa vile Uislamu ndio dini pekee yenye maelekezo ya kila nyanja ya maisha.Umeingia ndani katika masuala ya kiuchumi ambayo kwa takriban asililmia zote unapinga ubeberu.Ukiona Marekani wapo Saudia ni ulegelege wa ufalme na kwa ndani huwa wanajaribu kubomoa kama mchwa.Afadhali wewe umesema bana maana wengine walishaandika hapa kuwa ni kuupiga vita UISLAAM.
Yaani jitu linajifanya linajua siasa wakati ni jeupee kama theruji......
USA/NATO hawawezi kupoteza mamilioni ili kupigana na Uislaam.
Mbona hawaendi Yemen kupigana nao? Mbona wapo Saudi Arabia?
X-Paster u mmoja ya Waislaam ambao mara nyingi unafikiria mbali zaidi ya Pua yako.
Kuna wakati ka ushabiki huwa kapo ila ukweli ni kuwa wewe ni mmoja wapo wa wale ambao mnaweza kujadiliana. Ni watu kama wewe huwa nina imani kuwa vita ya Udini Tanzania haitatokea. Keep it brother.
Hizo sifa zako kwa X-PASTER ni za bure na si dhani kwamba kazipokea kwa moyo mmoja.Kwa sababu huwezi kuwa na pupa ya kutaka mali bila kupingana na Uislamu.Hii ni kwa vile Uislamu ndio dini pekee yenye maelekezo ya kila nyanja ya maisha.Umeingia ndani katika masuala ya kiuchumi ambayo kwa takriban asililmia zote unapinga ubeberu.Ukiona Marekani wapo Saudia ni ulegelege wa ufalme na kwa ndani huwa wanajaribu kubomoa kama mchwa.
Kwa mtindo huu, that is why most leaders do not want to leave their presidential seats because they know that they will be charged with various crimes done when in power... I like the fact that Egypt is tackling this issue very strategically, pesa kwanza from the wife, and now Mubarak and his top officials and then eventually facing the court for other serious crimes...
I wish we could do the same in our beatiful country, starting with Mkapa & Co