The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

In any battle, defeat causes fighters to loose fighting morale. To the commander it's an anguish no matter how that commander'll pretend not to be loosing ground. Then follows the broken hearts of the soldiers who were on the frontline, the'll want to make revenge to their commander in chief.
Hapo ndo Gaddafi atachukua machine gun au bomu la sumu na kuteketea na wanae wooote.
Magamba mpooooooo!
Tutawatoa huko mnakoishi na mijenereta yenu itumiayo mafuta ya pesa za kodi yetu.
 
Jikumbushe psychological war US waliyoifanya Iraq...habari nyingi za Western Media ni circus tu. Hollywood type.

 
Last edited by a moderator:
The main reason 4 attacking libya.they say is lacking of freedom for people of libya to expres their views.also oppression to oposition leaderz
 
Huyu jamaa kama kweli ni mbaya kiasi hicho (Dikteta) basi huenda Africa hatuna kiongozi na hata hawa viongozi wetu ambao sio madikteta wanatutesa kuliko ambavyo watu wa Libya wanateswa...

Ni mengi Gaddafi ambayo kaifanyia Libya ambayo sidhani kama kuna kiongozi wa Africa anaweza kusema amefanya hata nusu ya hayo :-

Elimu ya Bure
Tofauti na nchi nyingine za ki-islamu Libya elimu libya ni kwa wote na ni ya bure pote nchini na nchi za nje kuanzia chekechea mpaka masters

Afya
Matibabu bora na ya bure kwa wananchi pia 97% wanapata huduma ya maji masafi (sijui bongo ni asilimia ngapi)

The Great Man Made River Project
Kutungeneza huu mto imechuka takriban miaka 20 kwa gharama ya 20 billion us dollars ( na pesa zote zilitokea ndani ya nchi bila mikopo) hii inasaidia wakulima kuweza kumwagilizia mazao yao.

Pia inasemekana ni msimamo wake ndio ulipelekea nchi za magharibi zinunue mafuta kwa bei ambayo ni nzuri pia ametumia maliasili za nchi yake kwa manufaa ya wananchi wake.

Naombeni majibu wanajamvi kama huyu kiongozi hafai basi ni kiongozi gani wa Africa anayefaa….!!???

Na je kuwa na huyu Dikteta aliefanya kazi na kuleta maendeleo au kuwa na kiongozi anayekaa tu na kumaliza miaka yake kumi kwa kutofanya lolote kipi ni bora..

Colonel Muammar Gaddafi is he really that Bad !!!!!
 
Kinachoendelea Libya ni cinema. Mkanda..full of suspension.

 
Last edited by a moderator:
nchi za magharibi ndo zao kutoa propaganda kwa interest zao.................................... visingizio visivyo na kichwa wala miguuu.
 
nchi za magharibi ndo zao kutoa propaganda kwa interest zao.................................... visingizio visivyo na kichwa wala miguuu.
Kweli kabisa kwa shida tulizonazo sasa mimi nisingeona shida ya huyu dikteta kama angeongoza nchi yetu kama kwa kufanya hivyo kungetuletea maisha bora tofauti na ambayo tunayo sasa (eti tunajidai tuna demokrasia)......... Wizi Mtupu...!!!!!!
 
Mi naamini vita ya Libya haijaisha; lazima kutakuwa na mbinu kadhaa za kivita zilizotumiwa na wanajeshi wa Ghadhafi, kama hakuna wanajeshi waliotekwa na waasi au kuuawa wameenda wapi kama siyo wameturn back ili kuwapa kichapo cha mbwa mwizi waasi-tusuburi ni suala la muda tu tutaona.
 
Nasikia Gadaffi aliingia madarakani kwa kumpindua mfalme, sijui ni mwaka gani. Wenye kujua watujuze. Akajiwekea ulinzi wa watoto wa kike ambao bado bikra (sijui alikuwa anawapimaje). Maisha yakawa yanakwenda vizuri kwa kutegemea mafuta (hakuruhusu mikataba nyonyaji kama ya hapa kwetu).
Watoto wake wote wamezaliwa ikulu wakijua Libya ni mali ya baba yao hadi walipopevuka akili na kuanza kuujua ukweli.
Siku zote tukubali ujana ni mpito na una changamoto, vijana wa Libya wakaanza kusikia mtoto wa rais anataka kununua timu ya mpira ulaya, mara kapigana na askari uswizi nk. Wananchi wakaanza kuhoji "tunapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa?" teknohama ikaanza kufanya kazi na Gadafi sasa anahamasisha kisichokuwepo kwa njia hii. DICTATORIAL REGIME'S DAYS ARE NUMBERED.
 
Soma hotuba kali ya Ghadhafi kwa ulimwengu.
Katika moja ya sehemu za hotuba hii watanzania wameusiwa wasiende Libya.
Watu wa Ulaya waende Nigeria kwani kaskazini ya Afrika hakuwafai kutokana na moto unaowaka.
Wale wa Marekani wajichimbie huko huko wamsikilize Farakhan au waende Venezuela.--
MATHABA



porojo za waislam bana!
 
Hapa sioni kingine zaidi ya ukweli, ukweli mtupu...

African governments are not strong. They control only a few centers of cities. They often provide no services and the people live without them. They will not stand in your way when the time comes. They are poor. They have been robbed by the racists, the colonialists, the white thieves from the north. Oppose them only if they oppose you. Be prepared. Build your mathaba. Defend your continent.
 
Mi naamini vita ya Libya haijaisha; lazima kutakuwa na mbinu kadhaa za kivita zilizotumiwa na wanajeshi wa Ghadhafi, kama hakuna wanajeshi waliotekwa na waasi au kuuawa wameenda wapi kama siyo wameturn back ili kuwapa kichapo cha mbwa mwizi waasi-tusuburi ni suala la muda tu tutaona.
mkuu, kwenye vita kuna propaganda, lakini swala la kujiuliza ni kwamba, hao wanajeshi watiifu wa Gadafi wapo wapi?
Well, wapo wachache tunawaona wamejificha kwenye zoo....infact hao ni snipers wachache.

sasa hii ni tactic gani ya vita ya kungoja hadi adui aingie chooni kwako ndo unyanyue silaha??
Najua waasi wamesaidiwa na sana na NATO, lakini kwa kweli, wale mabwana sio professional solders, lakini wamemtandika mkulu hadi chooni kwake,

Unafikiri kuna jingine tena hapo??
 
Waasi wa Libya katika kuelekea kuunda serikali wamesema wanahitaji kiasis cha $2.5bn (£1.5bn) kama msaada wa haraka.

Huwezi amini, USA pamoja na kukabiliwa na madeni lukuki yaliyosababisha Serikali yake kutokwa jasho hivi karibuni ikomba kuongezwa kwa ukomo wa kiwango cha madeni jinsi inavyokuwa ya kwanza kuitikia ombia la waasi wa Libya na kuahidi kutoa $1.5bn!!!

Ni mwenye akili za mwendawazimu tu ndiye anayeweza kushangilia uharaka huu na dhamira ya mkopo wa namna hii. Poor African Leaders, poor AU.

Mkuu USA siyo kwamba wanaingia mfukoni kwao kuwapatia hizo pesa, bali wanawarejeshea jamaa pesa zao wenyewe zilizokuwa zimezuiliwa Marekani:

The US has said it will try to release up to $1.5bn in frozen Libyan assets.

Tafakari.
 
Back
Top Bottom