The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

nilikuwa natazama cnn television wakaonyesha jinsi walibya wanavyouchezea mwili wa gaddafi
halafu wakaonyesha wazungu waliokuwa wanatazama kwenye tv wakicheka kwa madharau
swali nalojiuliza waarabu watadharauliwa mpaka lini
wameshindwa kumchukua gaddafi na kumweka gerezani bila kuonyesha huo ukatuni?
hawajui wanaingia kwenye maisha mapya ya kutawaliwa na nato?

Kumbe Walibya ni Waarabu. Mimi nilifikiri ni Waafrika.
 
GADDAFI AMEPOKEA ALICHOHITAJI,ALIMWAMBIA MSEVENI KUWA ALIYEINGIA MADARAKANI KWA MTUTU HAWEZI KUTOKA KWASANDUKU LA KURA.hivyo hutolewa kwa mtutu. NI UTEKELEZAJI WA FALSAFA YAKE.nawalilia walibya walokufa si yeye
 
How can we have "THE UNITED STATES OF AFRICA"
......while the Somalis, Egyptians, Algerians, Moroccans etc openly claim that they are not Africans?
.......While Kikuyus and Luos don't see each other eye to eye?
.......While Tutsis and Hutus remain arch-enemies?
........Muslims and Christians hate each other in Tanzania/Zanzibar/Nigeria?
.........Xenophobia is the order of the day in South Africa?
...........Asian-descendants (lkes of Mzee Sabodo/Issa Shivji) are being labelled as traitors or not-real citizens in the entire EAC?
............
.......
All these you have mentioned here are challenges which in my view should be dealt in order to have the most desired United States of Africa. Even Europe before there were similar challenges but they overcame and now they are where they are. So we can do it if we have intention to.
 
Ujumbe gani?. Hauwezi kuilinganisha Gadaf na ccm. Pia Afrika tumempoteza kiongozi wa ukweli.

R.I.P Gadaf.
 
News about Gaddafi's demise is an elaborate hoax and the video displayed is said to be faked. His son Saif Gaddafi has unsubstantiated the report and added that his father is still alive somewhere in Tripoli. Saif also unfolded about his father's future plans to regroup with his henchmen and launch surprise attacks on NTC in bid to re-seize Libya.
 
News about Gaddafi's demise is an elaborate hoax and the video displayed is said to be faked. His son Saif Gaddafi has unsubstantiated the report and added that his father is still alive somewhere in Tripoli. Saif also unfolded about his father's future plans to regroup with his henchmen and launch surprise attacks on NTC in bid to re-seize Libya.
source
 
Ujumbe gani?. Hauwezi kuilinganisha Gadaf na ccm. Pia Afrika tumempoteza kiongozi wa ukweli.

R.I.P Gadaf.
..hapana siyo hivyo, ujumbe hapa ni ukweli kuwa
  1. Ukibakia kwenye madaraka bila ridhaa ya wananchi
  2. Na ukaendelea kuwaua wanaotaka mabadiliko
  3. Ipo siku lazima udondoke tu!
  4. Sauti za watu ni sauti ya Mungu,
  5. Hakuna anayeweza kupinga nguvu ya umma!
Kwa CCM ni kuwa waache kutapeli wananchi na kukandamiza wale wote wanaotaka mabadiliko, wawe tayari kukubali mabadiliko bila hiyana, kwani Tanzania ikiendelea ni yetu sote.
 
political-cartoon-gaddafi-libya4-598x515.jpg




5g1xLHEfW7z_med.jpg

 
Shame on Ahamedinajad, Kim Il Jong, Mugabe, Chavez and China for remaining mum and not taking any actions against NATO.
China is the #1 hypocrite in our today's world. China didn't have a spine/balls to block NATO from invading Libya!!

Akili yako iko safi
 
Ooooh poor African... Tuna uhuru wa Bendera...sijui uhuru wa fikra tutaupata lini! Shame upon American na wenzetu ambao ni vibaraka wao!
 
Mnamsikia gadafi anavyofoka baada ya kumzushia kifo. ametoa audio hiyo
 
AFRICA ni nani atatuokoa kama 2nafurai kifo cha gaddafi 2na twalipokea kwa mikono miwili. hawa watu weupe si wenzetu leo 2narukia kuwafurisha but i blv next generation watapata shida sana kwani kila kona 2nazidi kuwekezwa
 
Back
Top Bottom