The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

428447398.jpg


Hawa wanamgambo wa kikosi cha ukombozi Libya hata zile buti za askari wa nchi kavu hawana, cheki miguuni wamevaa zile sandos za nylone
 
May his soul rest in peace ..
Kuna watu hawana roho yaani ni wabaya kyasi kwamba hauwezi ukawapa jina litakalo fit description yao ..
Mungu atawaaonesha all those who were involved kumuua na pia you americans and wanaomhate ..
R.i.p
Imeniuma sana ..
Kaka sina cha kukuambia ili uamini maneno yangu,nimeumia sana kupita kiasi kuwapa huduma bora ndio wamemuuwa mwanamapinduzi watalia,na watamkumbuka cku moja,nimeumia sana na nitaendelea kuumia mpaka ukweli hupatikane,nimeumia sana kaka let him sleep in peace
 
Ndugu yangu usijechukulia mambo vibaya hivyo, hakuna anayefurahia mauaji ya kinyama, lakini pia alikuwa na nafasi muda mrefu kuepuka janga hili, tatizo viongozi wengi ving'ang'anizi mno wasiokubali kuachia madaraka na wengine watawale ili wao wabaki washauri.
 
Ndugu yangu usijechukulia mambo vibaya hivyo, hakuna anayefurahia mauaji ya kinyama, lakini pia alikuwa na nafasi muda mrefu kuepuka janga hili, tatizo viongozi wengi ving'ang'anizi mno wasiokubali kuachia madaraka na wengine watawale ili wao wabaki washauri.

Je, ulishawahi kuumia kiasi hicho kwa mauaji ya kinyama yaliyotokea Arusha mwanzoni mwa mwaka huu nchini Tanzania?
 
Ingawa Gaddafi ameondoka lakini ameiacha Libya katika hali mbya sana ya mgawanyiko wa kikabila ambao utawaletea taabu sana hawa waliompindua, hivyo nchi hiyo kutotengemaa kwa muda mrefu ujao kwani makabila mbali mbali yatagombana kupata sehemu ya rasilimali za nchi hiyo na hasa wale waliokuwa wapiganaji watataka malipo ya jasho lao na hapo ndio vurugu zitakapoanza. Kikwete kwa kuwagawa waTanzania kwa misingi ya dini yao anapandikiza mbegu za vurugu hapa nchini. Hajateua wenyeviti wa bodi nyingi zilizo kwisha muda wake simply because hawajapatikana waislam wenzie wa kujaza nafasi hizo, anangoja pengine mpaka wazaliwe; hii ni hatari kwake na kwa nchi pia!!
..sawa mkuu, lakini CCM walichofanikiwa ni:
  1. Kudanganya wananchi na mataifa ya magharibi kuwa wanapendeka na wananchi
  2. Kikwete anawashauri wabovu au ubishi wake, kwani huwa hawamuambii hali halisi, wanachofanya
  3. Ni kuhakikisha wanaiba kura (kama walivyofanya igunga na kwenye halmshauri nyingene kwenye udiwani), halafu
  4. Wanamdanganya mzee tumefanya kazi mpaka tumeshinda,
Na hii ndiyo hatari tuliyo nayo kama taifa, "Watanzania ni waongo sana"
 
Ni Walibya wenyewe ndiyo wanafahamu kiundani mabaya na mazuri ya Gaddhafi. At any rate, Gaddhafi alipewa nafasi a-surrender wakati NTC walipochukua Tripoli, but he turned the chance down. He said he wanted to go out as a martyr and went as far as saying "We won't surrender. We are not women". Kwa hiyo basically he got what he asked for.
 
Kuna video nyingine nimeiona cnn ina view angle ya tofauti ya uso wa Gaddafi,lakini naona inaongeza contradictions.Ile ya kwanza upande wa kushoto haukuwa na damu,hii ya pili upande wa kushoto umejaa damu.Na zote zilikuwa shot at the same time.Inawezekana in between those videos they shot him on his head.
 
Kuna video nyingine nimeiona cnn ina view angle ya tofauti ya uso wa Gaddafi,lakini naona inaongeza contradictions.Ile ya kwanza upande wa kushoto haukuwa na damu,hii ya pili upande wa kushoto umejaa damu.Na zote zilikuwa shot at the same time.Inawezekana in between those videos they shot him on his head.

Ile video inayonyeshwa BBC waliyosema imechukuliwa kwa simu alikuwa yuhai mzima na wala hajajaa madamu, ghafla yupo chini na damu all over!

Mmoja wa watu alisema "we shot him after we got him. Somebody shot him"
 
Kuna video nyingine nimeiona cnn ina view angle ya tofauti ya uso wa Gaddafi,lakini naona inaongeza contradictions.Ile ya kwanza upande wa kushoto haukuwa na damu,hii ya pili upande wa kushoto umejaa damu.Na zote zilikuwa shot at the same time.Inawezekana in between those videos they shot him on his head.

Kanjanja ile...
Subiri Moussa Ibrahi, Saad, Saify au Hamisi ndio watakaokuja kutupa huzuni na majonzi au kutufanya turukeruke kwa furaha.

Hao mbwa koko si walishawahi kututangazia mara kadhaa kuwa wamewakamata watoto au mtoto wa Gaddafi?

Kisha mwisho wa siku wanawasingizia eti NTC ndio waliotoa habari hizo...
 
nasubiri kauli toka kwa watu wanne kisha niamini kama True African Veteran is dead or alive...
1. Moussa Ibrahim
2. Saif al islam
3. Saad
4. Hamisi
 
Mkuu nimekupata,however fuatilia vizuri historia ya kuungana kwa wamarekani.Hawakuungana kwasababu eti walikuwa masikini tu.

Waliungana kwasababu maendeleo yaliongezeka and so therefore a need to unite arose...Na willingness pia ilkuwepo.

Marekani iliunganishwa na bishara na si mapenzi kati ya watu wa state to state.

Ndo ukweli mkuu,fuatilia issues,ie Supremacy clause utajuwa nachomaanisha.

Mkuu it apppear hujui kabisa muungano wa Marekani. Kwa kuanzia states 13 za mwanzo ziliungana to fight against colonialism.
 
A young Gaddafi, right, is seen in an undated photo with notorious Ugandan leader Idi Amin

article-2051361-0E74E80600000578-38_634x440.jpg


With Fidel Castro

article-2051361-0E74E38000000578-109_634x440.jpg



Eccentric style: Gaddafi was known for his love of over-the-top military-style uniforms and a cadre of young female bodyguards who were supposedly trained to kill

article-2051361-0D94C61500000578-977_306x423.jpg
article-2051361-0E751F9500000578-93_306x423.jpg



article-2051361-0E75D43100000578-327_634x447.jpg


article-2051361-0E75E6E900000578-20_634x384.jpg


article-2051361-0E75E62D00000578-808_634x399.jpg



article-2051361-0E75D35400000578-961_634x479.jpg


article-2051361-0E75D2CF00000578-163_306x423.jpg
article-2051361-0E75D1A400000578-315_306x423.jpg


article-2051361-0E75D33900000578-484_634x457.jpg
 
Back
Top Bottom