The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

KUmbuka gaddafi hajaondolewa na walibya, ameondolewa na wamarekani na allies, angekua gaddafi pekee angeshawamaliza wapinzani

mifano haifanani, wangemwacha gaddafi kama walivyomwacha mugabe, nothing would have happened!!!

Takie it from me, you will never see mzungu anakuja kumuondoa kikwete wala CCM coz wageni wananeemeka na hali ya sasa

we umesikia wapi serikali inapeleka waziri mkuu wake kuuza shamba nje ya nchi??? hata ofisa wa TIC hakutakiwa kwenda bali wao ndio waje hapa

Mkuu inawezekana kitengo cha uwekezaji hakina ari na spidi zaidi kama ilani ya uchaguzi inavyosema!
 
Rip my comrade!!! They also gonna die one day!! As long as their are human being like me and you my dear comrade. They kill my gaddafi thousands of gaddaffi will come!
Kwa kweli nina hasira na wamarekani na washirika wake, na asubuhi hii nimechoma moto vyandarua vyao vyote wanavyojidai kutusaidia eti kwa msaada wa watu wa marekani! Kupunguza machungu nilionayo .wanafiki wakubwa and i hate them all!
Any way rest in peace ma man - you are the hero!!! Wamekuuwa lakini nawe kichapo umewapa, hawajakutoa kirahisi.
 
Atakujibu vipi wakati umesha sema amekufa au wewe ndiye ulie achiwa mikoba na shehe Yahaya husaini?
 
kama wa libya wanaakili na wanataka sheria iwe na kipaombele,wangempeleka mahakamani ili kuonesha nchi inafuata sheria.lkn kuuwa tu bila kumkalisha mahakamani ni kuleta vita baina yao na wanao mtetea gadafi.
 
Umoja wa Africa wamelala.wameshndwa kumsaidia Gadaf akiwa hai sa i wanapretend kuhuznika.cdhan km itasaidia kwan mzungu kaisha2inglia ya kutosha.most of Afrcan leaders wanaconsult Europea interest wanaignore wananch wao.They killed u Gadaf bt u'r the HERO.
 
Mungu wa Mbinguni nakushukuru,Tazama ulisema sauti ya wengi ni Sauti ya Mungu.Hatimaye Libya ya walibya ipo huru.KIKWETE na MUSSEVEN ulipanga wawe pamoja siku ya jana na kupokea taarifa ya Kifo cha Godfather wao.
 
kama wa libya wanaakili na wanataka sheria iwe na kipaombele,wangempeleka mahakamani ili kuonesha nchi inafuata sheria.lkn kuuwa tu bila kumkalisha mahakamani ni kuleta vita baina yao na wanao mtetea gadafi.
kuua ndio njia rahisi ya kuwavunja nguvu wanaomtetea maana hawatakua tena na wanayemtetea
 
Kweli Gadaffi aliipenda sana nchi yake na bara la Africa,ndio alikuwa dicteta kama walivyo marais wengi wa Africa na wadunia,kama udicteta ni kuuwa watu wasio na hatia,basi ata Bush na Blair wameuwa sana watu,ila Gadaffi alishoniisikiltisha ameonyesha udhaifu mkubwa kama Saddam,kitendo cha yeye kukamatwa akiwa hai ameonyesha kuwa alikuwa muonga sana,wapambanaji wa ukweli wakiona wamezidiwa huwa wanajiua au wanajipiga moto kabisa kama Hitler,Chief Mkwawa....hawa ndio madume...
 
Ingawa Gaddafi ameondoka lakini ameiacha Libya katika hali mbya sana ya mgawanyiko wa kikabila ambao utawaletea taabu sana hawa waliompindua, hivyo nchi hiyo kutotengemaa kwa muda mrefu ujao kwani makabila mbali mbali yatagombana kupata sehemu ya rasilimali za nchi hiyo na hasa wale waliokuwa wapiganaji watataka malipo ya jasho lao na hapo ndio vurugu zitakapoanza. Kikwete kwa kuwagawa waTanzania kwa misingi ya dini yao anapandikiza mbegu za vurugu hapa nchini. Hajateua wenyeviti wa bodi nyingi zilizo kwisha muda wake simply because hawajapatikana waislam wenzie wa kujaza nafasi hizo, anangoja pengine mpaka wazaliwe; hii ni hatari kwake na kwa nchi pia!!
Tanzania,tanzaniaaa...nakupenda kwa moyo woteeeeeee.
tayarisha silaha yako kaka ili kuwaangamiza waislamu wote ndani ya TZ.. ukishatumaliza,, utakuja kugundua kumbe hata ninyi sio wamoja bali kuna katholic,lutheran, anglican e.t.c. na mwisho wa siku utataka ubaki wewe peke yako katika tz yetu.
 
nasubiri kauli toka kwa watu wanne kisha niamini kama True African Veteran is dead or alive...
Moussa Ibrahim

(Apart from eveything)..Nape na wasemaji wengine wa vyama wangejifunza mengi kutoka kwa huyu jamaaa jinsi ya kuwasiliana na umma..
 
Nilimsikiliza waziri wa mambo ya nchi asubuhi ya leo aki hojiwa na clouds.Alisema viongozi wote wa africa walikuwa upande wa marehemu
Ghadafi na wamesikitishwa na mauaji yake.
Alisema viongozi wa umoja wa Afrika walikutana na wakajiandaa kwenda libya,wakatoa taarifa UN na wakajibiwa kwamba, hawataweza
kwenda Libya kwani kuanzia usiku unao kuja watazuia ndege zisipite anga la libya.
Waziri amelaumu sana UN na amesema kwamba tatizo umoja wa Afrika hauna nguvu na nchi za magharibi una udharau.
Akakiri kwamba Ghadafi ni mmoja wa watu muhimu katika umoja huo na alijitahidi sana umoja uwe na nguvu na heshima.
Pia alisema cha kufanya sasa ni ni kuimarisha umoja wa E AFrica na kuanzisha jeshi la pamoja,baada ya hapo ni kumarisha Umoja
wa Afrika.
 
Mkuu Gang Chomba.

Utasubiri sana gaidi Gaddaf habari zake zilishamalizika tangu jana asubuhi.


nasubiri kauli toka kwa watu wanne kisha niamini kama True African Veteran is dead or alive...
1. Moussa Ibrahim
2. Saif al islam
3. Saad
4. Hamisi
 
Naipenda hii.
Wale Mabaeberu hatimaye wameweza kufanya waliyokusudia nacho ni kufurahia kutoa uhahi wa Shujaa wa Africa, Haitoshi wanaudhihirishia ulimwengu kwamba Unyama ndiyo jadi Yao, Muhamar Gadafi Daima utakumbukwa kwenye Historia ya Maendeleo na Mageuzi ya kisiasa na kiuchumi Barani Africa, Kapumzike salama Mbele ya haki wasalimie Nkuruma, Nyerere, Abdul Nasser,Chachage na Samola Machel, waambie Bara la Africa limetawaliwa na makuwadi wa Ubeberu Mamboleo. AMEN
 
Libya plans secret burial for Muammar Gaddafi
gaddafi-21.jpgFriday, 21 October 2011 Author / Source : independent online/bbc

Libyan authorities are planning a secret burial within the next few hours for ousted leader Muammar Gaddafi following his capture and death.

The BBC's Caroline Hawley in Tripoli says officials early on Friday were still undecided as to where and how it should take place.

Earlier, officials said Col Gaddafi had been killed in crossfire after being captured in his birthplace of Sirte.

Source
 
Back
Top Bottom