Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa wamechelewa manaake akina Gaddafi wengine wameshajitoa Libya na sidhani kama Algeria watawarudisha mikononi mwa NTC wakati wameona kilichowatokea Muammar na Mutassim jana kule Sirte!mi naona wawaue ukoo mzima kufuta uzao wa gadaffih..
Shujaa wa ukweli anapigana mpaka mwisho siyo kukimbia kuhifadhiwa.huyu jamaa kwa kiasi flani ninadhani amejisuicide mwenyewe.
nchi kibao zilijitolea kumpa hifadhi ya kikimbizi, kwa nini hakutuma nafasi hizo.????
Madhara ya kulewa mbege ndo haya.Ingawa Gaddafi ameondoka lakini ameiacha Libya katika hali mbya sana ya mgawanyiko wa kikabila ambao utawaletea taabu sana hawa waliompindua, hivyo nchi hiyo kutotengemaa kwa muda mrefu ujao kwani makabila mbali mbali yatagombana kupata sehemu ya rasilimali za nchi hiyo na hasa wale waliokuwa wapiganaji watataka malipo ya jasho lao na hapo ndio vurugu zitakapoanza. Kikwete kwa kuwagawa waTanzania kwa misingi ya dini yao anapandikiza mbegu za vurugu hapa nchini. Hajateua wenyeviti wa bodi nyingi zilizo kwisha muda wake simply because hawajapatikana waislam wenzie wa kujaza nafasi hizo, anangoja pengine mpaka wazaliwe; hii ni hatari kwake na kwa nchi pia!!
Pamoja na pumba zoote, Mi nina mashaka na uwezo wa kielimu wa aliyeanzisha hii thread, kwa kuwa aliipitia typing yake na kukubali kwamba ipo sahihi, haina kosa hata kidogo, AKAIPOST na ikadisplay kama ilivyo. Mi sijakielewa kiswahili alichotumia.Kiongozi huyu comandoo alisikia pwa ikawa aliyelenga alikosea garilaka. Akaamua kutimkia kwenye culvert. Hapo alikamatwa na alijaribu kukumbia ila bahati mbaya hakusikia paa inamanisha ilimpata na mlengaji alikuwa na shabaha
Mbona anaonekana mkono wa kushoto wa huyo mgeni wao, ila kapata mapokezi makubwa.Mbona iddi amini simuoni?
Aljamahiria.com / صحيفة الجماهير / Libya - The latest True News from Libya (20-10-2011 / 18.00 pm)
20.10.2011 - TOP NEWS =========Gaddafi is NOT Dead - Sirte Not Fallen!
+++ More True News Verry Soon! +++
Thursday, October 20, 2011
MUAMMAR AL GADDAFI IS ALIVE AND IS STILL LEADING LIBYAN RESISTANCE
TV Al Shababiya - URGENT:::
We thank God that the leader is fine. He is not in Sirte.
Do not believe lying NATO channel
They want him to communicate, to call TV stations, so they could locate him. This is reason's of fake news about Gaddafis death!
Victorious with God's help ( God safe him) !!!!
====================================
Comment: THE WAR IS NOT OVER ******!
Just like it never ended after killing Saddam. Even if he is dead (which I would believe when I see relieable evidence, which has not been produced yet) HE BECAME A SYMBOL OF STRUGGLE AGAINST IMPERIALISM! HE BECAME IMMORTAL AS A LEADER! This concept is something cowards like Obama, Sarkozy, Cameron, Berlusconi would never ever understand...
VIVA GREEN LIBYA! VIVA GADDAFI! YOU LIVE IN OUR HEARTS AND IN OUR STRUGGLE FOREVER!
18.10.2011 - TOP NEWS =========And Gaddafi captured mercenaries!
Gaddafi forces have captured 17 foreign mercenaries in Bani Valid , including several
British and French. The insurgents quickly disappeared from the front line, after the assault on Bani Valid.
Gadaff alikodi askari kutoka CHAD na MALI ndio maana walibya wakatokea kuwachukia watu weusi