Mtaniii na Morison kajua kuwashughulisha.Najua wajua.
Ila nataka ujue zaidi.[emoji124][emoji124][emoji124]View attachment 1487411
Hebu huko. πΆββοΈLeo watashushwa nafasi ya nne
Hebu huko. [emoji2210]
Verified toka wapi Mtani?Utopolo ni verified kabisa hilo unalotaja umeota tu usiku ukaja kuandika huku
Mtaniii na Morison kajua kuwashughulisha.
Yaani kila mkiamka mnafuatilia kasema nini. Lol.
Dawa yenu inachemka. πTusiwachokoze sa ivi badae tutakosa maneno ya kuwakera[emoji16]
Dawa yenu inachemka. [emoji41]
Sawa utanipata.Baada ya mechi nitakutafuta[emoji16]
Na leo mnatoa DROO ili mpigane ngumi vizuri.
Sawa utanipata.
Mtani nimekosa jibu.Si ndo ukweli huo?.
Kwamba mkataba wake unaisha MWEZI UJAO.
kwanini viongozi wa GSM wanawadanganya watu kuwa amesaini mkataba wa miaka 2?.
Hivyo tukipigana mnaona raakha. LolNa leo mnatoa DROO ili mpigane ngumi vizuri.
Leo kufungwa lazima tena sio chini ya magoal mawili
Mtani hebu Katabiri Mvua huko ππLeo kufungwa lazima tena sio chini ya magoal mawili
Hivyo tukipigana mnaona raakha. Lol
Goli moja Namungo linamtosha.
π π π nina hasira ila hii post imefanya nimecheka. Lol.Muda ule ule au[emoji12]
Tusubiri tuone Mtani. Mana hapo vichwani kwenu mechi mshaicheza na mpaka matokeo mnayo tayari. LolHAMNA UJANJA WA KUMFUNGA NAMUNGO.
Ayushua?Yanga HAITACHUKUA UBINGWA MPAKA MWANANGU AFIKISHE MIAKA 18.