The rise of Sauli luxury buses

The rise of Sauli luxury buses

THE BEEKEEPER

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2024
Posts
1,462
Reaction score
7,157
Rest in peace mwamba sauli

December 2018 Chuma zake za Kwanza Sauli Gemilang DPN na Sauli Benz DPC. Zilionekana Maeneo tofauti Tofauti Ubungo Riverside, Kibaha Na Msamvu Zikielekea Kwao Chunya Kwa Ajili Ya Utambulisho

gosti 2019
Sauli Aliongeza Basi lake la Tatu Kutoka Scania Kwa Mara Nyingine Lenye Namba Ya Usajili T300 DRH Dereva Aliyekabithiwa Alikuwa na GoodLuck Mwinuka Maarufu
kama Mbeya Boy

May 2020
Sauli Alirudi Tena Scania Tanzania Limited Kuinunua Gari Yake Ya 4 Scania Gemilang Yenye Namba za Usajili T668 DTF

Maarufu Kama Mjeshi Yaan Konde Boy Mjeshi

Vyuma Vilikuwa Maarufu Kwa Majina Yake Utani

Sauli Benz - ESCAPE PLAN
Sauli DPN - IACHE IENDE
Sauli DRH - MBEYA BOY
Sauli DTF - MJESHI

Kama Ilivyokawaida Yake Mkurugenzi Alikuwa Ni Mkeleketwa Wa SCANIA

Akaenda Tena Kununua Scania 3 Zingine
Marcopolo G7 DXE
Scania Gemilang DWL
Scania GEMILANG DWF

Akaanza na Ruti Mpya Ya Dar - Tunduma

R.I.P SAULI 🙏
FB_IMG_1723147559174.jpg
EuOLnjuXUAErmkV.jpg
 
Rest in peace mwamba sauli

December 2018 Chuma zake za Kwanza Sauli Gemilang DPN na Sauli Benz DPC. Zilionekana Maeneo tofauti Tofauti Ubungo Riverside, Kibaha Na Msamvu Zikielekea Kwao Chunya Kwa Ajili Ya Utambulisho

gosti 2019
Sauli Aliongeza Basi lake la Tatu Kutoka Scania Kwa Mara Nyingine Lenye Namba Ya Usajili T300 DRH Dereva Aliyekabithiwa Alikuwa na GoodLuck Mwinuka Maarufu
kama Mbeya Boy

May 2020
Sauli Alirudi Tena Scania Tanzania Limited Kuinunua Gari Yake Ya 4 Scania Gemilang Yenye Namba za Usajili T668 DTF

Maarufu Kama Mjeshi Yaan Konde Boy Mjeshi

Vyuma Vilikuwa Maarufu Kwa Majina Yake Utani

Sauli Benz - ESCAPE PLAN
Sauli DPN - IACHE IENDE
Sauli DRH - MBEYA BOY
Sauli DTF - MJESHI

Kama Ilivyokawaida Yake Mkurugenzi Alikuwa Ni Mkeleketwa Wa SCANIA

Akaenda Tena Kununua Scania 3 Zingine
Marcopolo G7 DXE
Scania Gemilang DWL
Scania GEMILANG DWF

Akaanza na Ruti Mpya Ya Dar - Tunduma

R.I.P SAULI 🙏

Kwenye vyama vya siasa huu unaitwa uchawa
 
Jamaaa nasikia basi alizozitaja mwamba hapo ziliishaxhukuliwa na wenyewe , zimebaki 2 na zote ziko gereji
Hakuwa na basi lililo barabarani mpaka anakufa
 
Back
Top Bottom