OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wenyewe kina naniJamaaa nasikia basi alizozitaja mwamba hapo ziliishaxhukuliwa na wenyewe , zimebaki 2 na zote ziko gereji
Hakuwa na basi lililo barabarani mpaka anakufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyewe kina naniJamaaa nasikia basi alizozitaja mwamba hapo ziliishaxhukuliwa na wenyewe , zimebaki 2 na zote ziko gereji
Hakuwa na basi lililo barabarani mpaka anakufa
Anasikia.Wenyewe kina nani
Aiseee!Mke wake anajua haya yote au akisoma humu ndiyo atajua?Nyingine zilikuwa za mkipo
Kama ile DXE aliposhindwa kurejesha ikapigwa mnada Katarama akainunua
Ile DWL ilipomshinda ikapigwa mnada Tembo Safaris wakainunua
Anyway mwamba kaacha watoto 16
Huko kwenye mabasi wanaita UNAZI😁Kwenye vyama vya siasa huu unaitwa uchawa
Mke wake ni mmoja wa ndoa alishakufa akazikwa kijiji alichozikwa Sauli cha GodimaAiseee!Mke wake anajua haya yote au akisoma humu ndiyo atajua?
Lakini,ndiyo wanajua boksa za marehemu.Mke wake ni mmoja wa ndoa alishakufa akazikwa kijiji alichozikwa Sauli cha Godima
Hawa wengine kanyaga twende
Kwa kina ChoiceVariable itakuwa wana uhaba wa ma bus mazuri, kuna ushamba mwingi sana.Yaani bongo mtu kumiliki bus mbili tayari talk of town.
Ulitaka uzijue wewe?Lakini,ndiyo wanajua boksa za marehemu.
Hata Mimi nimeshangaa yaani kelele na promo ni kubwa sana kana kwamba ni Abood ametoweka 😂😂😂Rest in peace mwamba sauli
December 2018 Chuma zake za Kwanza Sauli Gemilang DPN na Sauli Benz DPC. Zilionekana Maeneo tofauti Tofauti Ubungo Riverside, Kibaha Na Msamvu Zikielekea Kwao Chunya Kwa Ajili Ya Utambulisho
gosti 2019
Sauli Aliongeza Basi lake la Tatu Kutoka Scania Kwa Mara Nyingine Lenye Namba Ya Usajili T300 DRH Dereva Aliyekabithiwa Alikuwa na GoodLuck Mwinuka Maarufu
kama Mbeya Boy
May 2020
Sauli Alirudi Tena Scania Tanzania Limited Kuinunua Gari Yake Ya 4 Scania Gemilang Yenye Namba za Usajili T668 DTF
Maarufu Kama Mjeshi Yaan Konde Boy Mjeshi
Vyuma Vilikuwa Maarufu Kwa Majina Yake Utani
Sauli Benz - ESCAPE PLAN
Sauli DPN - IACHE IENDE
Sauli DRH - MBEYA BOY
Sauli DTF - MJESHI
Kama Ilivyokawaida Yake Mkurugenzi Alikuwa Ni Mkeleketwa Wa SCANIA
Akaenda Tena Kununua Scania 3 Zingine
Marcopolo G7 DXE
Scania Gemilang DWL
Scania GEMILANG DWF
Akaanza na Ruti Mpya Ya Dar - Tunduma
R.I.P SAULI 🙏
Scania G7 ni 900m mbaka 1b300 Million Mara 6 ni shiling ngapi.?
Wanazi=MachawaKwani kwenye mabasi mnaita je? Kwa maana uliyoandika hapa labda hata marehemu mengine hakuyajua?
Inaonesha unafahamu siri nyingi źa huyu mwamba...inaelekea wewe pia ulikuwa kimada wake.Mke wake ni mmoja wa ndoa alishakufa akazikwa kijiji alichozikwa Sauli cha Godima
Hawa wengine kanyaga twende
Uwe na utajiri wa 1B $Kigezo au vigezo hadi uitwe billionea ni vipi
Vinapita ila hakikisha na sisi tuwe navyoVya dunia vinapita 🥴
Wewe unazielezea vizuri sana.Nimekuachia hiyo kazi.Ulitaka uzijue wewe?
Huo ni ubilionea kibongo bongo tu, kimataifa bilionea ni kuanzia $1B, chini ya hapo ni millionaire.If a person owns assets that are worth 1.2 billion and owes 150,000 in total, they can be considered a billionaire.
Hope umeelewa kwanini alikuwa Billionare😎😎
Zilibaki 4 na ziko garage.Billionea ana basi 6 tu ?
Hamwezi kuelewa hustling tunazopitia waume zenuInaonesha unafahamu siri nyingi źa huyu mwamba...inaelekea wewe pia ulikuwa kimada wake.
Nipo nacheki kipindi Cha tatu game on🔥Wanathimba tulieni em