dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Kigezo au vigezo hadi uitwe billionea ni vipiBillionea ana basi 6 tu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigezo au vigezo hadi uitwe billionea ni vipiBillionea ana basi 6 tu ?
Kwani hizi basi zinauzwaje?Kigezo au vigezo hadi uitwe billionea ni vipi
Mara ya mwisho zilikua zinaenda million 300Kwani hizi basi zinauzwaje?
300 Million Mara 6 ni shiling ngapi.?Mara ya mwisho zilikua zinaenda million 300
1.8 billion300 Million Mara 6 ni shiling ngapi.?
If a person owns assets that are worth 1.2 billion and owes 150,000 in total, they can be considered a billionaire.1.8 billion
Okay!!If a person owns assets that are worth 1.2 billion and owes 150,000 in total, they can be considered a billionaire.
Hope umeelewa kwanini alikuwa Billionare😎😎
Kwa currency ya nchi husika ukiwa unamiliki asset za Bilioni wewe ni BilOkay!!
Kuna mtu hapo juu, kaandika kisa alikuwa na gari 6 ndio awe Billionea ndio nikamuuliza vigezo vya kuwa billionea ni vipi.
Kwanza kabisa, gari inajulikana kama depreciating asset, yaani kwa jinsi inavoendelea kutumika ndio inavyoshuka thamaniOkay!!
Kuna mtu hapo juu, kaandika kisa alikuwa na gari 6 ndio awe Billionea ndio nikamuuliza vigezo vya kuwa billionea ni vipi.
Tena zilizo kando ya barabara🤣🤣Yaani bongo mtu kumiliki bus mbili tayari talk of town.
Bongo kuna masikini wengi sanaYaani bongo mtu kumiliki bus mbili tayari talk of town.
Mabasi hayo sita yana thamani ya shilingi elfu sabini,siyo?Kigezo au vigezo hadi uitwe billionea ni vipi
Ni kama kupanda baiskeli(kibagadu),siyo?Ruxury?
Waombe viongozi wa JF wakusahihishie
Ndagu za ndugu zako wa Tarime na Bunda unazizungumziaje?Watu wa huo ukanda wa mbeya pesa zao huwa ni za moto..hata huyo sauli ni miongoni mwa watajwa.nadhani alichelewa kutoa kafara,wakapita nae.
500mKwani hizi basi zinauzwaje?
Yakiwa sita ni senti ngapi?500m