The Saga Of Subcontracted Hit Men For Hire Who Outsourced Murder: Mtandano wa wauaji wa kukodisha waliouziana tenda ya kutisha kiasi cha Dolla 282,600

yule mchimbaji mdogo aliyepewa mabilion na Magufuli amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.
 
Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema wamekuwa kama Kiba wanaomchukia Diamond.
 
Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania, huyo msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji.
 
Yaani ndio umegundua hili leo? Huyo ni Mataga ndio sisomagi tena story zake za abunuasi.
Mimi ni mzalendo haswa. Kuhusu story zangu ndio usizisome kwani nimekulazimisha?

JF in members zaidi ya laki tano kwanini niumize kichwa na watu wachache kama wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…