The SGR War: Wakati Kenya wakisuasua, Uganda wameamua kujenga SGR. Hii ni fursa kwa SGR ya Tanzania. Is it viable? Tuichangamkie?

Hata SGR ya bongo kama itakuwepo ni fully mkopo
 
Hizi habari wadanganye wanaufipa unaowaongoza kama kamanda mkuu.

Watalii hawaji Tanzania kuona mlima kilimanjaro kama unavyofikilia zipo taratibu ambazo ni kupitia kwa mawakala wa utalii.

Sijui hata unaoongea nini hapa, naona unanivuruga tu. Acha nideal na Paskali yeye ndio ana akili japo ugumu wa maisha umemchanganya. Ww kajipongeze na kura za kwenye mabeg, hii mada iko nje ya upeo wako.
 
Ndio tatizo la watanzania wanafurahi utafikiri mazuri ishu ipo kati ya Total na Uganda GOV.
 
Naona mkuu Pascal Mayalla analeta siasa kwenye mambo makubwa ya uchumi.
Siasa ni uchumi. A country with large economy always has more influence, politically and economically.

More influence means more political power. A rich and wise politician has more political power than poor politician who is wise.
 
Mkuu Pascal ukipata fursa hebu idadavue hii ishu ya Angola kutaka kujenga reli toka Lobito to Kapiri Mposhi ili kuunga na Tanzania Dar port naona fursa nyingine hii kwa Tanzania maana hii nchi kijiografia imekaa vizuri sana.Japo Tazara ndio inaanza tena kunyanyuka toka awamu ya 5 iingie madarakani
 

Mkuu nafahamu kabisa kuwa mada iliyoko mezani ni SGR japo nayo naona unababaisha tu. Nilitaja mradi wa bomba la mafuta kama mfano kukuonyesha kiwango cha utapeli tu kwenye hii miradi. Lengo la mimi kutaja mfano wa bomba la mafuta, na mfano wa sarafu ya pamoja ya East Afrika, ni kukuonyesha kuwa hatuna vipaombele vya hivyo. Ila huyo Mataga akaingilia hapo kati ikabidi nimpe zaidi.

Huku kwenye SGR nilipoona tu unasema kipande cha Dar-Moro tatizo lilikuwa ni Corona, nikajua umeamua kuleta uongo usio na tija, ndio maana ndani ya hii mada yako naendelea kujadili kiwango cha utapeli wa hii miradi, na sio kubaki kwenye hoja iliyo mezani, maana hata ww mwenyewe huna utetezi wenye mashiko zaidi ya porojo za kufurahisha genge.
 
Upotoshaji gani bro? Mkataba wa kusafirisha mafuta sio wa Uganda na Tanzania? Kwani pale Chongoleani ulikuwa mkataba wa kuchimba mafuta? Wazungu wa Total kuwepo ili kushuhudia uwekaji wa jiwe la msingi ni vibaya mpaka unachanganya mambo?

Hujui kuwa Kenya walitaka hili bomba lipite kwao? Kwa hiyo hili bomba kupita hapa Tanzania huoni ni mafanikio? Manufaa ya hili bomba hulijui?
 
Japo sio kweli kuwa asilimia kubwa ya mzigo unaopita bandari ya Dar ni wa Congo DRC, mzigo mkubwa wa Dar Port ni unaovuka Tunduma!. Ila kwenye long plan ya SGR yetu itafika Kigoma.
P
Sasa hao wakongo si wanapitia Tunduma ili wapitie Lubumbashi badala ya kupia kigoma kwenye miundombinu mibovu.


Kipi usichoelewa hapo.
 
'Kwakuwa nilikuwa namjua Museveni nitapeli nilikuwa nacheka kwa nguvu.'

M7 Kwa utapeli tapeli hua ni expert kabisa.
 

Hebu tulia, hapa tunavuruga tu mada ya Paskali ambayo ni SGR. Sioni kama unaelewa lolote. Huo mradi ulikuwa ukamilike hii 2020 kutokana na porojo za wakati ule. Bado siku 5 mwaka huu uishe na mradi bado. Sasa jikite kwenye mada ya SGR kama una hoja, hii ya bomba ni nje ya mada, na huna ujualo zaidi ya kupiga Siasa mfu kwenye huo mradi.
 
Sijui hata unaoongea nini hapa, naona unanivuruga tu. Acha nideal na Paskali yeye ndio ana akili japo ugumu wa maisha umemchanganya. Ww kajipongeze na kura za kwenye mabeg, hii mada iko nje ya upeo wako.
Acha nicheke maana unataka kujipaisha kwa pumba za kishamba. Unakomalia kipande cha Sgr Moro to Dar kuona kama una point za kuaminisha watu kuwa Tanzania imekwama,hujui kwenye ujenzi hata kama projection ya mradi kumalizika ni miaka mitatu huwa kuna muda wa ziada,maana huwa kuna incoviniences nyingi. Hujui kuwa hata topography ya ya Moro to Dar ni vikwazo kwenye ujenzi?
 


Watz mnapenda sana sifa kiasi kwamba kwa lip service tu mnajiona mmekwisha win na mnajisahau na kuanza kutoa siri zenu za moyoni hadharani mbele ya "adui"---- adui kamwe hutasikia akitoa siri zake hadharani, yeye yupo kimya kabisa akifanya mambo yake chini chini, enyi Watz aliyewaloga ni nani???
 
Unawapiga nondo za hatare
 
Sasa hao wakongo si wanapitia Tunduma ili wapitie Lubumbashi badala ya kupia kigoma kwenye miundombinu mibovu.


Kipi usichoelewa hapo.
Lengo kuu la Tanzania ni kutoa huduma ya kusafirisha mizigo inayo ingia na kutoka Congo yote ya Mashariki.
Na vile vile kutoa huduma ya soko kwa madini yao na mazao ya misitu na bidhaa zetu za viwandani.
 
Kwa hiyo ulitaka usafirishe mafuta toka Uganda au maji? Maana unakomalia bomba kuanza kujengwa hata muafaka wa kuchimba mafuta bado,tumia akili we dogo.

Hujui umuhimu wa Sgr kwa uchumi wa East Aafrika? Hujaelewa alichosema mtoa mada juu ya umuhimu wa Sgr linkages? Hujui manufaaa ya Sgr ya Tanzania ikiwa linked na Uganda na Rwanda?

Unabaki kujimwambafy na kubwanwaja maneno. Mradi umekwama!
 
Wishful thinking ya Pascal Mayalla inachekesha lakini ndo tabia ya njaa ikizidi hata nguli anakuwa mjinga(sorry Pascal). SGR ni Mradi wa EAC wa kuunganisha nchi 6 wanachama kwa Reli yenye uwezo zaidi kuliko iliyopo ambayo ni nyembamba na reli ndogo kwa hiyo treni zake haziwezi kwenda kasi na kubeba mzigo mzito. Kila nchi mwanachama ilipewa sehemu yake ya kujenga ndo maana nchi zingine zanajenga kwenye nchi za wengine kama Rwanda inajenga toka Isaka na Burundi toka Uvinza. Tanzania inajenga toka Dar mpaka Uvinza mpaka Mwanza na Kenya inajenga toka Mombasa mpaka mpakani na Uganda halafu mpaka Kisumu na Uganda itajenga toka mpakani na Kenya mpaka Port Bell, ziwa Viktoria ikiwa na maana kuwa bandari ya Mwanza, Kisumu na Port Bell zitakuwa zimeunganishwa kuwa Railway Ferry. SGR ikikamilika nchi wanachama zote zitakuwa zimeungana na Bandari za Dar, Mombasa, Mwanza, Kisumu na Port Bell na nchi wanachama zitakuwa na Mashirika yao ya Reli kama TRC, KRC nk. Kama SGR ingefika Isaka, Rwanda nao wangekuwa wameanza kujenga kwenda Kigali na kama tungekuwa tumefika Uvinza, Warundi nao wangekuwa wameanza kwenda Bujumbura maana mawe ya msingi yamekwisha wekwa. Kwa hiyo Tz ndo inachelewesha Mradi maana Kenya karibu wamalize, Uganda wameanza wengine bado wanangoja Reli ifike eneo la kuanzia kwa sababu Reli hujengwa kwa kutumia Reli hiyohiyo.
 
Lengo kuu la Tanzania ni kutoa huduma ya kusafirisha mizigo inayo ingia na kutoka Congo yote ya Mashariki.
Na vile vile kutoa huduma ya soko kwa madini yao na mazao ya misitu na bidhaa zetu za viwandani.
Lengo gani wakati uolekeo wa SGR Ni Mwanza badala ya kigoma. Au hujui Hilo ?


Kama kungekuwa na Hilo lengo ingebidi reli ya SGR ikaelekezwa kigoma ili mizigo yote ya Wakongo kupitia bandari ya Dar iwe inashushiwa kigoma na kutumia ziwa tanganyika kusafirisha mizigo hadi miji Kama KALEMIE.


Ila matokeo Yake reli inaelekezwa mwanza hahahah hii nchi kituko sana
 
Ndio maana jina lako Ni changu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…