Paskali kujenga standard gauge ni kazi mmoja na kuendesha hiyo SGR kwa ufanisi na kwa faida ni kazi nyingine.
Kenya walioanza na SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi na baade Naivasha.Operating cost kwa mwezi ni 14 million dollars lakini mapato ni 7 million dollars. Labda ndio sababu China imewanyima mkopo wa kufika Maraba mpakani mwa Uganda.
SGR sio muarobaini wa kila tatizo,bali ni uharaka wa kusafirisha mizigo.SGR ni aghali in short term tena ukiongezea SGR ya umeme lakini pakiwepo wingi wa mizingo ya kwenda na kurudi umuhimu wake upo wazi.
Serikali ya Magufuli imefufua na kuhimarisha meter gauge yaani Reli ya kati na Reli ya kaskazini na kuwezesha garimoshi kuongeza speed tokea 35 hadi 70 km kwa saa.Labda mfumo huo wa zamani usipuuzwe ni mbadala ya SGR.
Paskali Jumuiya ya Afrika Mashariki si kushindanisha hizi nchi bali kushirikiana na kuwawezesha wananchi wake wafaidi ummoja wao.
Kama mkataba wa mradi ulikuwa bado haujafikiwa, lile igizo la kuzindua mradi lilikuwa la nini pale Tanga mbele ya marais wawili, na hao wazungu wa Total? Serikali yetu haiwezi kuchelewesha chochote maana ilikuwa haitoia hata shilingi zaidi ya eneo la kijiografia kupitisha bomba. Japo kulikuwa na upotoshwaji wa wazi kuonyesha kuwa ni mkataba wa Tanzania na Uganda. Wakati ule tulikuwa tunasikia sifa za wazi zilizojaa propaganda kumsifu Magufuli kuwa ni sehemu ya mafanikio yake, tulisema wazi sifa zile ni za upotoshaji.
Mkuu tindo , tofautisha signing of MoU, Contract, kuweka jiwe la msingi, uzinduzi wa mradi, na makabidhiano. Hizo ni process tuu lakini kiukweli kabisa, aliyelileta bomba la mafuta la Uganda ni Magufuli, hivyo sifa kwake sio propaganda ni sifa za kweli!.
Wanabodi, Leo nimepata fursa ya kuhudhuria kongamano la pili la Oil and Gas linalofanyika hapa Hoteli ya Hyatt, Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kasim Majaliwa, anayewakilishwa na Waziri January Makamba, (kufuatia ajali ya MV Nyerere, kumeitishwa kikao cha...
Mkuu tindo , kwanza nakiri mimi ni mywaji wa pombe, na huwa natembea sana na Joni Mtembezi alama nyeusi, uzuri wa Joni Mtembezi, hata ukilewa vipi, hauamki nazo, kwasababu, stimu yake haikai kwenye kimiminika kama bia hivyo kujaa tumboni, Joni Mtembezi ni vapour, stimu yake inaingia kwenye damu na ku evaporates kwa kupumua, hivyo unaamka fit na kusali misa ya kwanza.
Ni kweli SGR yetu kipande cha Dar-Moro kimechelewa kukamilika due to janga la Corona ambalo limeathiri kila kitu hadi upatikanaji wa fedha. Ile simu ya China, sio ilipigwa, tulipigiwa sisi!, na ombi la fedha za ku fund SGR sio ombi jipya, ni kukumbushia tuu kwasababu the original plan ilikuwa ni China kuifund SGR yote 100% kwa masharti ya kui oparates hadi deni lilipwe lote ndipo wakabidhi, na catchment area yake ilikuwa ni bandari ya Bagamoyo. Kwa vile kiukweli kabisa, sisi kama sisi, hatuna uwezo wa kuitandaza SGR Tanzania nzima, hivyo ile kanunu ya ili ule ni lazia uliwe, msije kushangaa mradi wa bandari ya Bagamoyo ukaendelea na Mchina akagharimia SGR yote iliyobakia nchi nzima.
P
Hapa supu umeitia nazi. Bagamoyo ikijengwa ni kiama kwa bandari zetu na hilo deni la SGR halitalipika kwa wakati hivyo mchina atatutawala kwa muda mrefu sana.
Paskali kujenga standard gauge ni kazi mmoja na kuendesha hiyo SGR kwa ufanisi na kwa faida ni kazi nyingine.
Kenya walioanza na SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi na baade Naivasha.Operating cost kwa mwezi ni 14 million dollars lakini mapato ni 7 million dollars. Labda ndio sababu China imewanyima mkopo wa kufika Maraba mpakani mwa Uganda.
SGR sio muarobaini wa kila tatizo,bali ni uharaka wa kusafirisha mizigo.SGR ni aghali in short term tena ukiongezea SGR ya umeme lakini pakiwepo wingi wa mizingo ya kwenda na kurudi umuhimu wake upo wazi.
Serikali ya Magufuli imefufua na kuhimarisha meter gauge yaani Reli ya kati na Reli ya kaskazini na kuwezesha garimoshi kuongeza speed tokea 35 hadi 70 km kwa saa.Labda mfumo huo wa zamani usipuuzwe ni mbadala ya SGR.
Paskali Jumuiya ya Afrika Mashariki si kushindanisha hizi nchi bali kushirikiana na kuwawezesha wananchi wake wafaidi ummoja wao.
Mkuu sblandes , asante sana kwa elimu hii, na kiukweli watu kama nyinyi wenye elimu au ujuzi kuhusu jambo fulani, ni big asset kwa jf kwa kuwaelimisha wengine. Kabla sijausoma, I had an opinion kuwa tunashindana, kumbe lengo sio kushindani bali kushirikiana by complimenting one another. Thanks.
P
Hapa supu umeitia nazi. Bagamoyo ikijengwa ni kiama kwa bandari zetu na hilo deni la SGR halitalipika kwa wakati hivyo mchina atatutawala kwa muda mrefu sana.
Mkuu carter , no!, it's the other way round, mzigo wa bandari pekee hauwezi kuishibisha SGR to the full capacity, ili SGR ishibe, bandari ya Bagamoyo inahitajika sana!.
P
Tuje kwenye huo upotoshaji wako wa kipande cha Dar-Moro. Unasema tatizo ni ugonjwa wa corona, huu ni uongo wa mchana kweupe, kipande cha Dar-Moro kilikuwa kiishe Nov 2019. Ugonjwa wa corona ulianza mwishoni mwa Dec 2019, hivyo bajeti ya kipande cha Dar-Moro hakina uhusiano wowote na janga la corona.
Rais wa China ndio apige simu kwetu akibembeleza nini labda? Hiyo ya China kufund hiyo project ya SGR ni makubaliano ambayo JK alikuwa kaingia na wachina, ila alipoingia Magufuli aligoma maana alisema mradi uko overestimated, hivyo akasema tutajenga kwa fedha zetu za ndani maana sisi ni matajiri. Mradi hawakupewa tena wakandarasi wa kichina, akapewa Mturuki. Tunaojua ukweli tulisema Tanzania haina fedha za ndani 10t za kujenga huo mradi, nyie wazalendo mkaamini, leo hii kipande tu cha Dar-Moro ndio inabidi uuongope kuwa sababu ni Corona. Kwa taarifa yako hapa tulipokwama, huo mradi wa Bagamoyo utaanza tena kwa masharti mabaya kuliko ilivyokuwa enzi za JK.
Nikushauri Paskali wakati mwingine kaa kimya tu, hivi hujajifunza kuwa ccm imejaa matapeli? Unakumbuka kabla ya Magufuli kuingia madarakani ule wimbo wa uchumi wa gas, unakumbuka zile data za profesa Muhongo? Leo yako wapi? Wakati tumeanza mambo ya porojo za uchumi wa gas tulianza na Mozambique hapo, leo Msumbiji wanaendelea na ujenzi ya gas plant ya $20b mradi mkubwa kuliko wa bandari ya Bagamoyo uliokuwa uwe wa $10b. Sisi sasa hivi tumeachana na umeme wa gas uliokuwa uzalishe 5,000MW, tumerudi kwenye umeme wa maji utakaozalisha 2,115MW kwa 6.5t! Je tungeweka tu 3t kwenye umeme wa gas ambapo bomba tayari liko hapa Dar na uzalishaji umeanza tusingepata hizo 2,115MW? Saa hii unaanzisha mada za kujichoresha za SGR wakati miaka mitatu 300km tu bado. Toka nje ya box kaka, hoji mambo ya msingi, haya mapambio hayakutoi.
Kamanda ipo siku utapata aibu kubwa sana maana unaishi maisha ya kusadikika. Yaaani Mozambique kuna mradi wa gas wa Usd bil 20? Yaani mradi wa kuzalisha Mw 450 utumie Tsh tril 40?
Bila aibu unatolea mfano mradi wa bandari Bagamoyo?
Yaani nchi iwekeze Tsh tril 40 kuzalisha Mw 450?
Mambo ya gas plant yana manufaa kuliko Hep? Nina mashaka na digrii yako
Ni jambo jema sana japo ingekuwa vyema zaidi mikataba ya ujenzi huo ikawekwa wazi na lingekuwa jambo zuri zaidi kama nchi ingekuwa na sera
Nchi hii huendeshwa na mtawala atakavyo yeye sio sera ya nchi hivyo kama Mwandishi msomi ni vyema uandike kitu ambacho baadae hutojutia kuandika ulichoandika .
Waandishi mnapaswa kuisaidia hii nchi kwa kuapishwa makala zenye kuisaidia nchi sio ushabiki na kutafuta maslahi yako binafsi tujitahidi kuchambua bila woga tutaongeza chachu ya mabadiliko.
Kingine hili neno mabeberu wananchi liacheni msiwasikilize sana wanasiasa wanaopenda hilo neno wengi wanatengeneza maslahi binafsi tu
Kwa hiyo ulitaka usafirishe mafuta toka Uganda au maji? Maana unakomalia bomba kuanza kujengwa hata muafaka wa kuchimba mafuta bado,tumia akili we dogo.
Hujui umuhimu wa Sgr kwa uchumi wa East Aafrika? Hujaelewa alichosema mtoa mada juu ya umuhimu wa Sgr linkages? Hujui manufaaa ya Sgr ya Tanzania ikiwa linked na Uganda na Rwanda?
Unabaki kujimwambafy na kubwanwaja maneno. Mradi umekwama!
Nasema hivi, hilo la bomba la mafuta ni nje ya mada, Kama muafaka wa kuchimba hayo mafuta ulikuwa bado, ule uzinduzi pale chongoleni Tanga ulikuwa wa nini? Kulikuwa na haja gani ya kutumia fedha za umma kujaza viongozi na wananchi pale kuweka jiwe la msingi, kwa mradi ambao ulikuwa bado miaka mitatu sasa? Na iweje wananchi wakaongopewa kuwa 2020 mradi utakuwa umekamilika wakati si kweli? Sioni kama una majibu ya hili, ndio maana nakuambia acha kuchafua uzi wakati huna hoja, zaidi ya kupiga Siasa mfu.
Nafahamu sana umuhimu wa miundombinu ya usafirishaji, achia mbali tu hiyo ya reli na sina tatizo la ujenzi wa miundombinu yoyote. Nilichomwambia anazungumzia hiyo SGR kufika Mwanza achia mbali hiyo Uganda, kwani hata kipande cha Dar-Moro kimekamilika? Kwangu nilitaka aongelee uhakika hata wa kufika hapo Dodoma kwanza, hizo njozi za linkages na Uganda ni kama kuandaa kachumbari ya pilipili, wakati ukijianda kwenda porini kuwinda, huku huna uhakika wa kupata mnyama.
Huhitaji akili ya chuo kikuu kujua hakuna uwezekano wa SGR kufika Mwanza ndani ya hii miaka 5 kwa fedha za ndani, labda Mchina atukopeshe, tena kwa masharti magumu kuliko aliyokuwa amekubaliana na JK hapo awali. Na akiingia rais mwingine iwapo huyu atakubali kishingo upande kutoka, usishangae naye akiachana na mradi wa hii SGR na kuanza mradi wa reli ya kwenda kusini, iwapo ujenzi wa hii SGR hatapata commission. Mfano wa tabia za viongozi wetu kila mtu kuanza ni vipaombele vya utashi wake iko wazi, kama Magufuli alivyotupilia Mbali umeme wa gas wa kuzalisha 5,000mw, na kuanza na mpya wa 2,115mw. Na pia alivyotupilia mbali makubaliano ya mwanzo ya ujenzi wa SGR toka mkopo na mkandarasi wa kichina, na kuanza na makubaliano mapya ambayo mkandarasi ni Mturuki ambapo tumekwama, na sasa tunarudi kwa mchina huyo huyo, ambapo gharama itazidi maradufu ya ile ya awali, na hiyo ni iwapo mchina atakubali kutoa pesa.
Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu.
Wakati Tanzania tukiendelea na ujenzi wa reli yetu ya SGR, shughuli nzito kwenye SGR sio ujenzi, bali ni kuiendesha kwa faida. Ili SGR iendeshwe kwa faida, ni lazima iwe na kitu kinachoitwa linkages, yaani muunganisho kati ya nchi moja na nyingine, ili hiyo SGR ipate mzigo wa kushiba na ku operate kwa faida.
Kwa nchi za Afrika Mashariki, Kenya ikitumia mtindo wa "ujanja kuwahi", ikawa ndio nchi ya kwanza kuchangamkia fursa hivyo ikajenga SGR ya Mombasa-Nairobi-Naivasha-Malaba, ili mzigo wa Uganda na Rwanda upitie bandari ya Mombasa, na Uganda ingejenga SGR kupokea mzigo wake na wa Rwanda na kuufikisha Kigali. Hivyo the linkaje ya mzigo wa Uganda na Rwanda, ndio roho ya SGR ya Kenya, Mchina kupitia benki yake ya EXIM akakubali kugharimia kila kitu.
Kumbe "ujanja nsi kuwahi, ni kupata", JPM baada tuu ya kuchaguliwa,ziara yake ya kwanza nje ya nchi, ni kutembelea Rwanda, wakakubaliana SGR ya Tanzania itaungana na ya Rwanda. Hivyo kitendo tuu cha kukubaliana SGR ya Tanzania itajiunga na Rwanda, ile linkages ya SGR ya Uganda kwenda Rwanda, ikakatika, hivyo SGR ya Kenya kuunga Uganda haitakuwa na faida, hali hiyo ikikapelekea mfadhili kujitoa kuendeleza SGR ya Kenya sasa itaishia Naivasha, na hakuna funding tena ku fund SGR ya Uganda!.
Baada ya mchina kugoma kugharimia SGR ya Uganda, MU7, nae kaamua kumfuatilisha JPM kwa kuamua kujenga SGR ya Uganda hata kama Kenya anasuasua. Uamuzi huu wa Uganda kujenga SGR yake bila kuitegemea Kenya ni fursa nyingine kubwa kwa SGR ya Tanzania na Bandari ya Dar es Salaam kubeba mzigo wote wa Uganda.
Ili sisi Tanzania kuweza kuichangamkia fursa hii mpya, sasa hapa ndio "ujanja kuwahi", kwa kujenga SGR ya Mwanza fasta, ili mzigo wa Uganda ushuke Dar, ukimbizwe Mwanza, uvushwe ziwa Victoria hadi Uganda. Hili likifanyika, sio tuu, Bandari ya Dar itabeba cargo ya Uganda tuu, bali cargo kutoka South Sudan na North Eastern DR Congo itapitia bandari ya Dar es Salaam kupelekwa Mwanza. Changamoto pekee, in umbali wa route hii, kama italipa, na changamoto ya hatari zaidi, ni bada ya MU7 kuamua kujenga SGR, Kenya anaweza na yeye kuamua kukijenga kipande cha Naivasha-Malaba.
Wanabodi Kuna msemo usemao "ukiona mwenzako ananyolewa, wewe tia maji tia maji" Tanzania tunajenga reli ya SGR, wenzetu Kenya wametangulia, ila reli yao imeanza kwa kuwa ni a white elephant. Jee kuna haja ya sisi Watanzania tujifunze kwa wenzetu, kuiepusha reli yetu kuwa tembo mweupe, au wao...
Baada ya Rais Kagame na Rais Magufuli, kukubaliana kujenga reli ya SGR kutoka Isaka kwenda Kigali, ili mizigo yote ya Rwanda, ipitie bandari ya Dar es Salaam, Isaka hadi Kigali, Rwanda, kitu ambacho kingepunguza kuitegemea bandari ya Mombasa, huku rais Museveni na na rais Kenyatta, nao...
Wanabodi, Rais Magufuli aliposema vita vya uchumi ni mbaya ni kuliko vita vya kawaida, alikuwa right. Hili ni bandiko kuhusu vita kubwa, ambayo mimi nimeipa jina la Magufugame vs Musevenyatta. Magufugame vs Musevenyata ni Vita Kubwa ya Kiuchumi!. Its a Win Lose War!. When One Wins, The Other...
Wanabodi, Rais Magufuli aliposema vita vya uchumi ni mbaya ni kuliko vita vya kawaida, alikuwa right. Hili ni bandiko kuhusu vita kubwa, ambayo mimi nimeipa jina la Magufugame vs Musevenyatta. Magufugame vs Musevenyata ni Vita Kubwa ya Kiuchumi!. Its a Win Lose War!. When One Wins, The Other...
www.jamiiforums.com
My Take
Kama tumeweza kuwapiga Tanchi kwenye SGR ya kuunganisha na Rwanda, kisha tukawapiga Tanchi kwenye bomba la mafuta la Uganga, Tanzania tukifanikiwa kuifikisha SGR yetu, Mwanza, hadi Kigoma, na pia tukajenga SGR to Tunduma, Tanzania ndio itakuwa the super power of EAC Region, na kama tukiifanya Dar Port kuwa a free port kwa baadhi ya bidhaa, with The AfCFTA in place!, Tanzania will fly!, no one will catch us!.
Ni jambo jema sana japo ingekuwa vyema zaidi mikataba ya ujenzi huo ikawekwa wazi na lingekuwa jambo zuri zaidi kama nchi ingekuwa na sera
Nchi hii huendeshwa na mtawala atakavyo yeye sio sera ya nchi hivyo kama Mwandishi msomi ni vyema uandike kitu ambacho baadae hutojutia kuandika ulichoandika .
Waandishi mnapaswa kuisaidia hii nchi kwa kuapishwa makala zenye kuisaidia nchi sio ushabiki na kutafuta maslahi yako binafsi tujitahidi kuchambua bila woga tutaongeza chachu ya mabadiliko.
Kingine hili neno mabeberu wananchi liacheni msiwasikilize sana wanasiasa wanaopenda hilo neno wengi wanatengeneza maslahi binafsi tu
Kongole Mkuu kwa hii post, miradi ya nchi haiwezi kuwekwa wazi maana mingi ina wizi ndani yake. Nilishangaa sana juzi rais anasema fomu za maadili ziwe siri ili watu wasijue kilichoandikwa! Sasa kama wananchi hawajui mali za viongozi wao watajuaje ukweli wa alichokiandika? Ukishaona serikali yoyote inataka usiri wa kila jambo, inabidi uwe na upeo mdogo kukubali kuwa inaoongozwa na watu waadilifu.
Mkuu carter , no!, it's the other way round, mzigo wa bandari pekee hauwezi kuishibisha SGR to the full capacity, ili SGR ishibe, bandari ya Bagamoyo inahitajika sana!.
P
Mkuu Pascal Mayalla nakuelewa sana. Ila ikishajengwa Bagamoyo port operations zake zote zitakuwa chini ya mchina. Na hiyo atafanya hivyo maana atakuwa ana dictate terms as ndie alietoa mkopo wa reli. Na kwakuwa hiyo port ya Bagamoyo itakuwa kubwa ukanda huu obvious ndio itatumia hiyo SGR zaidi kwa kubeba mizigo kutoa na kuingia. Automatically pia mchina atakuwa na upper hand in controlling the SGR too.
Hiyo tayari inampa mchina nguvu ya kuweza kuamua lolote kiuendashaji kwenye miundo mbinu hiyo miwili. Hata swala la ajira, uendeshaji na mapato atasimamia mchina. Kama ilivyo kwa jirani zetu Kenya hapo. Wachina wanaweza "kudanganya" hawapati faida na waka extend muda wa kulipishwa deni. Au wakachukua baadhi ya rasilimali nyingine kama collateral kwa mikopo yao hiyo. Nadhani umeshapitia maswala ya Mandarin weaponized loan, au china debt trap. Hao jamaa sio watu kabisa. Utakita kwa kujenga Bagamoyo na SGR tumewafaidisha wao mara 100. Hadi siku watuachie mradi unakuta umeshakwisha ni kuanza ku renovate upya.
Terms za mikopo mipya ya kumalizia hiyo SGR ziangaliwe vizuri. Ila kama ni kuifufua Bagamoyo hapo ni kupoteza uelekeo. Hizi bandari zetu zenyewe hatujazitumia to the maximum, why tuongeze bandari nyingine kubwa kwa sasa? Dar port kwa upanuzi ulipo sasa ni bandari kubwa na ya kisasa kwa ukanda huu. Inatutosha sana.
Nasema hivi, hilo la bomba la mafuta ni nje ya mada, Kama muafaka wa kuchimba hayo mafuta ulikuwa bado, ule uzinduzi pale chongoleni Tanga ulikuwa wa nini? Kulikuwa na haja gani ya kutumia fedha za umma kujaza viongozi na wananchi pale kuweka jiwe la msingi, kwa mradi ambao ulikuwa bado miaka mitatu sasa? Na iweje wananchi wakaongopewa kuwa 2020 mradi utakuwa umekamilika wakati si kweli? Sioni kama una majibu ya hili, ndio maana nakuambia acha kuchafua uzi wakati huna hoja, zaidi ya kupiga Siasa mfu.
Nafahamu sana umuhimu wa miundombinu ya usafirishaji, achia mbali tu hiyo ya reli na sina tatizo la ujenzi wa miundombinu yoyote. Nilichomwambia anazungumzia hiyo SGR kufika Mwanza achia mbali hiyo Uganda, kwani hata kipande cha Dar-Moro kimekamilika? Kwangu nilitaka aongelee uhakika hata wa kufika hapo Dodoma kwanza, hizo njozi za linkages na Uganda ni kama kuandaa kachumbari ya pilipili, wakati ukijianda kwenda porini kuwinda, huku huna uhakika wa kupata mnyama.
Huhitaji akili ya chuo kikuu kujua hakuna uwezekano wa SGR kufika Mwanza ndani ya hii miaka 5 kwa fedha za ndani, labda Mchina atukopeshe, tena kwa masharti magumu kuliko aliyokuwa amekubaliana na JK hapo awali. Na akiingia rais mwingine iwapo huyu atakubali kishingo upande kutoka, usishangae naye akiachana na mradi wa hii SGR na kuanza mradi wa reli ya kwenda kusini, iwapo ujenzi wa hii SGR hatapata commission. Mfano wa tabia za viongozi wetu kila mtu kuanza ni vipaombele vya utashi wake iko wazi, kama Magufuli alivyotupilia Mbali umeme wa gas wa kuzalisha 5,000mw, na kuanza na mpya wa 2,115mw. Na pia alivyotupilia mbali makubaliano ya mwanzo ya ujenzi wa SGR toka mkopo na mkandarasi wa kichina, na kuanza na makubaliano mapya ambayo mkandarasi ni Mturuki ambapo tumekwama, na sasa tunarudi kwa mchina huyo huyo, ambapo gharama itazidi maradufu ya ile ya awali, na hiyo ni iwapo mchina atakubali kutoa pesa.
Hilo la bomba la mafuta ni nje ya mada,ila nilitaka nikuweke sawa,kuweka jiwe la msingi ndio mwazo wa safari ya ujenzi wa bomba.
Kuhusu China kufinance ujenzi wa Sgr ni mpango ambao ulianza toka mwaka 2019. Kwa hiyo usihofu na sidhani utakuwa ni mkataba wa kugharamia kwa mashariti mabaya kama walivyotaka kujenga bandari ya bagamoyo.
JPM kuachama na na umeme wa gas lilikuwa ni jambo jema,hata mtoto mdogo hawezi kuhoji hili. Maana hakuna gad plant inayoweza kuzalisha Mw 2115 kwq mkupuo. Kumbuka Kinyerezi mpaka sasa ni mw 240. Ingechukua muda mrefu kupata mw 2115 amabazo tukijaaliwa tutazipata JNHP.
Kwa hiyo achana na hisia mbaya kuwa Sgr to mwanza inaweza isifike,kikubwa pesa ipatikane. Maana moro to Dodoma ni tambalale hapo ni kujaza tuta na kutandaza reli. Dodoma to Isaka kazi ni mlima Saranda na wenyewe sio kama Ngerengere. Nina uhakika China watatoa pesa bila mashariti ya kinyonyaji.
Mkuu tindo , tofautisha signing of MoU, Contract, kuweka jiwe la msingi, uzinduzi wa mradi, na makabidhiano. Hizo ni process tuu lakini kiukweli kabisa, aliyelileta bomba la mafuta la Uganda ni Magufuli, hivyo sifa kwake sio propaganda ni sifa za kweli!.
Wanabodi, Leo nimepata fursa ya kuhudhuria kongamano la pili la Oil and Gas linalofanyika hapa Hoteli ya Hyatt, Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kasim Majaliwa, anayewakilishwa na Waziri January Makamba, (kufuatia ajali ya MV Nyerere, kumeitishwa kikao cha...
Unahitaji kuwa mwendawazimu kuongea ulichoongea. Unaweka jiwe la msingi zaidi ya miaka mitatu inapita, huku ukiwa umetumia fedha za umma kuandaa hiyo hafla, kibaya zaidi wakati wa hiyo hafla rais wetu akasema mradi utakamilika 2020, leo bado siku tano mwaka uishe, kisha unaleta maneno ya kitapeli sijui MoU, Contract, jiwe la msingi! Mkuu naona umeamua kujitoa ufahamu kutetea aibu.
Magufuli hajaleta hilo bomba kwa ushawishi, bali gharama ya mradi kutokana na jiografia ya Kenya, na usalama hasa kitisho cha Alshababu kwa hilo bomba ndio kumechangia Museveni na Total, kulazimika kutumia route ya Tanzania. Kama Magufuli ana ushawishi wa kuleta hilo bomba, tusingeona jumuiya ya Afrika Mashariki ikiwa dhaifu kuliko ilivyokuwa kabla hajawa rais. Sifa za kuwa Magufuli ndio kaleta hilo bomba, wanaweza kuamini watu wasio na ufahamu wowote kwanini hilo bomba halikupita Kenya, ama watu kama nyie mnaopotosha kwa makusudi, ili kutumia udhaifu wa serikali kupenda kusifiwa kwa ajili ya kusaka maslahi binafsi.
Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu.
Wakati Tanzania tukiendelea na ujenzi wa reli yetu ya SGR, shughuli nzito kwenye SGR sio ujenzi, bali ni kuiendesha kwa faida. Ili SGR iendeshwe kwa faida, ni lazima iwe na kitu kinachoitwa linkages, yaani muunganisho kati ya nchi moja na nyingine, ili hiyo SGR ipate mzigo wa kushiba na ku operate kwa faida.
Kwa nchi za Afrika Mashariki, Kenya ikitumia mtindo wa "ujanja kuwahi", ikawa ndio nchi ya kwanza kuchangamkia fursa hivyo ikajenga SGR ya Mombasa-Nairobi-Naivasha-Malaba, ili mzigo wa Uganda na Rwanda upitie bandari ya Mombasa, na Uganda ingejenga SGR kupokea mzigo wake na wa Rwanda na kuufikisha Kigali. Hivyo the linkaje ya mzigo wa Uganda na Rwanda, ndio roho ya SGR ya Kenya, Mchina kupitia benki yake ya EXIM akakubali kugharimia kila kitu.
Kumbe "ujanja nsi kuwahi, ni kupata", JPM baada tuu ya kuchaguliwa,ziara yake ya kwanza nje ya nchi, ni kutembelea Rwanda, wakakubaliana SGR ya Tanzania itaungana na ya Rwanda. Hivyo kitendo tuu cha kukubaliana SGR ya Tanzania itajiunga na Rwanda, ile linkages ya SGR ya Uganda kwenda Rwanda, ikakatika, hivyo SGR ya Kenya kuunga Uganda haitakuwa na faida, hali hiyo ikikapelekea mfadhili kujitoa kuendeleza SGR ya Kenya sasa itaishia Naivasha, na hakuna funding tena ku fund SGR ya Uganda!.
Baada ya mchina kugoma kugharimia SGR ya Uganda, MU7, nae kaamua kumfuatilisha JPM kwa kuamua kujenga SGR ya Uganda hata kama Kenya anasuasua. Uamuzi huu wa Uganda kujenga SGR yake bila kuitegemea Kenya ni fursa nyingine kubwa kwa SGR ya Tanzania na Bandari ya Dar es Salaam kubeba mzigo wote wa Uganda.
Ili sisi Tanzania kuweza kuichangamkia fursa hii mpya, sasa hapa ndio "ujanja kuwahi", kwa kujenga SGR ya Mwanza fasta, ili mzigo wa Uganda ushuke Dar, ukimbizwe Mwanza, uvushwe ziwa Victoria hadi Uganda. Hili likifanyika, sio tuu, Bandari ya Dar itabeba cargo ya Uganda tuu, bali cargo kutoka South Sudan na North Eastern DR Congo itapitia bandari ya Dar es Salaam kupelekwa Mwanza. Changamoto pekee, in umbali wa route hii, kama italipa, na changamoto ya hatari zaidi, ni bada ya MU7 kuamua kujenga SGR, Kenya anaweza na yeye kuamua kukijenga kipande cha Naivasha-Malaba.
Wanabodi Kuna msemo usemao "ukiona mwenzako ananyolewa, wewe tia maji tia maji" Tanzania tunajenga reli ya SGR, wenzetu Kenya wametangulia, ila reli yao imeanza kwa kuwa ni a white elephant. Jee kuna haja ya sisi Watanzania tujifunze kwa wenzetu, kuiepusha reli yetu kuwa tembo mweupe, au wao...
Baada ya Rais Kagame na Rais Magufuli, kukubaliana kujenga reli ya SGR kutoka Isaka kwenda Kigali, ili mizigo yote ya Rwanda, ipitie bandari ya Dar es Salaam, Isaka hadi Kigali, Rwanda, kitu ambacho kingepunguza kuitegemea bandari ya Mombasa, huku rais Museveni na na rais Kenyatta, nao...
Wanabodi, Rais Magufuli aliposema vita vya uchumi ni mbaya ni kuliko vita vya kawaida, alikuwa right. Hili ni bandiko kuhusu vita kubwa, ambayo mimi nimeipa jina la Magufugame vs Musevenyatta. Magufugame vs Musevenyata ni Vita Kubwa ya Kiuchumi!. Its a Win Lose War!. When One Wins, The Other...
Wanabodi, Rais Magufuli aliposema vita vya uchumi ni mbaya ni kuliko vita vya kawaida, alikuwa right. Hili ni bandiko kuhusu vita kubwa, ambayo mimi nimeipa jina la Magufugame vs Musevenyatta. Magufugame vs Musevenyata ni Vita Kubwa ya Kiuchumi!. Its a Win Lose War!. When One Wins, The Other...
www.jamiiforums.com
My Take
Kama tumeweza kuwapiga Tanchi kwenye SGR ya kuunganisha na Rwanda, kisha tukawapiga Tanchi kwenye bomba la mafuta la Uganga, Tanzania tukifanikiwa kuifikisha SGR yetu, Mwanza, hadi Kigoma, na pia tukajenga SGR to Tunduma, Tanzania ndio itakuwa the super power of EAC Region, na kama tukiifanya Dar Port kuwa a free port kwa baadhi ya bidhaa, with The AfCFTA in place!, Tanzania will fly!, no one will catch us!.
Hizi concept hazipo duniani zipo Afrika peke yake kuhusu ujenzi was SGR, sio Europe, America and Asia nchi zimejenga reli ya SGR eti kuhudumia mizigo ya nchi jirani ndio ziwe economically viable! Paskali utambue kuwa SGR inatakiwa iwe socio-economically viable kwa nchi yenyewe kwanza kabla ya hizo siasa za kubeba mizigo ya nchi jirani. Ni bahati mbaya uendeshji was uchumi wet sio was kimkakati, laminitis ungekuwa hivyo tulitakiwa kuwa na manufacturing/production clusters ambazo tulitakiwa kuzinganisha na Sgr kabla ya kukimbilia kwa majirani wakati uchumi wetu haujaunganishwa. Na huu ni mwenndelezo wa colonial economic concept!
Paskali, a project of SGR type that is socio-economic inaanza kurudisha mtaji/ uwekezaji wake kuanzia miaka 50 sio huo uongo mnaojazwamchina
Nafikiri biashara ya utalii hujaifuatilia kwa ukaribu, uwanja wa KIA ni njia mojawapo ya mtalii kuingian Tanzania. Mtalii anaweza kuingia kupitia mipaka ya nchi jirani na hii ndio njia inayoingiza watu wengi, pia viwanja vya ndege. Lakini kusema kuwa mkenya anaweza kudanganya mlima kilimajaro upo kenya ni ngumu. Sababu hata booking za kupanda mlima zinafanywa na mawakala wa utalii ambao kumdanganya mtalii kwao ni kupoteza pesa.
Mkuu chagu wa malunde , naunga mkono hoja, kitu wanachotushinda wa Kenya kwenye utalii, ni Kenya wanautangaza zaidi utalii kupitia kwao kuliko sisi Tanzania, hivyo hata mlima Kilimanjaro, wanautangaza sana, na wapanda mlima wengi zaidi ni kupitia Kenya, baada ya sisi kununua ndege na kuimarisha viwanja vyetu, Kenya wameamua kujenga uwanja mpya wa ndege chini ya mlima kwa upande wao, hivyo watalii wa kupanda mlima Kilimanjaro, wale wataopitia uwanja mpya wa Kenya, watafika haraka zaidi kuliko wataokapitia KIA!.
P
Hizi concept hazipo duniani zipo Afrika peke yake kuhusu ujenzi was SGR, sio Europe, America and Asia nchi zimejenga reli ya SGR eti kuhudumia mizigo ya nchi jirani ndio ziwe economically viable! Paskali utambue kuwa SGR inatakiwa iwe socio-economically viable kwa nchi yenyewe kwanza kabla ya hizo siasa za kubeba mizigo ya nchi jirani. Ni bahati mbaya uendeshji was uchumi wet sio was kimkakati, laminitis ungekuwa hivyo tulitakiwa kuwa na manufacturing/production clusters ambazo tulitakiwa kuzinganisha na Sgr kabla ya kukimbilia kwa majirani wakati uchumi wetu haujaunganishwa. Na huu ni mwenndelezo wa colonial economic concept!
Paskali, a project of SGR type that is socio-economic inaanza kurudisha mtaji/ uwekezaji wake kuanzia miaka 50 sio huo uongo mnaojazwamchina
Mkuu chagu wa malunde , naunga mkono hoja, kitu wanachotushinda wa Kenya kwenye utalii, ni Kenya wanautangaza zaidi utalii kupitia kwao kuliko sisi Tanzania, hivyo hata mlima Kilimanjaro, wanautangaza sana, na wapanda mlima wengi zaidi ni kupitia Kenya, baada ya sisi kununua ndege na kuimarisha viwanja vyetu, Kenya wameamua kujenga uwanja mpya wa ndege chini ya mlima kwa upande wao, hivyo watalii wa kupanda mlima Kilimanjaro, wale wataopitia uwanja mpya wa Kenya, watafika haraka zaidi kuliko wataokapitia KIA!.
P
Unaweza kuwa sahihi lakini sio kwa kwa kiwango kikubwa, watalii kupanda mlima kilimanjaro ni process ndefu sana, maana lazima wakala wa utalii awaandalie wabeba mizigo,wapishi na mahema. Na safari hii huwa inachukuwa muda zaidi ya wiki kufika kileleni. Ndio maana nasema ni ngumu kwa Kenya kudanganya ili inufaike na mlima Kilimamjaro. Kampuni nyingi za uwakala zimeweka mambo hadharani kwenye mitandao. Hata booking na malipo ni online maana dunia imebadilika.
Pia watanzania lazima tubadilike maana utalii ni ishu ya kijumuia zaidi. Ndio maana kuna mtalii anaanzia Capetown,anapita Zanzibar anaende Masai mara Kenya kisha anamalizia serengeti.
Kama udangangifu labda ilikuwa zamani. Lakini leo hii hakuna mtu atakuja Kilimanjaro kisa eti amedanganywa upo Kenya. Jambo la msingi ni kuutangaza utalii ili tunufaike zaidi.
Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu.
Wakati Tanzania tukiendelea na ujenzi wa reli yetu ya SGR, shughuli nzito kwenye SGR sio ujenzi, bali ni kuiendesha kwa faida. Ili SGR iendeshwe kwa faida, ni lazima iwe na kitu kinachoitwa linkages, yaani muunganisho kati ya nchi moja na nyingine, ili hiyo SGR ipate mzigo wa kushiba na ku operate kwa faida.
Kwa nchi za Afrika Mashariki, Kenya ikitumia mtindo wa "ujanja kuwahi", ikawa ndio nchi ya kwanza kuchangamkia fursa hivyo ikajenga SGR ya Mombasa-Nairobi-Naivasha-Malaba, ili mzigo wa Uganda na Rwanda upitie bandari ya Mombasa, na Uganda ingejenga SGR kupokea mzigo wake na wa Rwanda na kuufikisha Kigali. Hivyo the linkaje ya mzigo wa Uganda na Rwanda, ndio roho ya SGR ya Kenya, Mchina kupitia benki yake ya EXIM akakubali kugharimia kila kitu.
Kumbe "ujanja nsi kuwahi, ni kupata", JPM baada tuu ya kuchaguliwa,ziara yake ya kwanza nje ya nchi, ni kutembelea Rwanda, wakakubaliana SGR ya Tanzania itaungana na ya Rwanda. Hivyo kitendo tuu cha kukubaliana SGR ya Tanzania itajiunga na Rwanda, ile linkages ya SGR ya Uganda kwenda Rwanda, ikakatika, hivyo SGR ya Kenya kuunga Uganda haitakuwa na faida, hali hiyo ikikapelekea mfadhili kujitoa kuendeleza SGR ya Kenya sasa itaishia Naivasha, na hakuna funding tena ku fund SGR ya Uganda!.
Baada ya mchina kugoma kugharimia SGR ya Uganda, MU7, nae kaamua kumfuatilisha JPM kwa kuamua kujenga SGR ya Uganda hata kama Kenya anasuasua. Uamuzi huu wa Uganda kujenga SGR yake bila kuitegemea Kenya ni fursa nyingine kubwa kwa SGR ya Tanzania na Bandari ya Dar es Salaam kubeba mzigo wote wa Uganda.
Ili sisi Tanzania kuweza kuichangamkia fursa hii mpya, sasa hapa ndio "ujanja kuwahi", kwa kujenga SGR ya Mwanza fasta, ili mzigo wa Uganda ushuke Dar, ukimbizwe Mwanza, uvushwe ziwa Victoria hadi Uganda. Hili likifanyika, sio tuu, Bandari ya Dar itabeba cargo ya Uganda tuu, bali cargo kutoka South Sudan na North Eastern DR Congo itapitia bandari ya Dar es Salaam kupelekwa Mwanza. Changamoto pekee, in umbali wa route hii, kama italipa, na changamoto ya hatari zaidi, ni bada ya MU7 kuamua kujenga SGR, Kenya anaweza na yeye kuamua kukijenga kipande cha Naivasha-Malaba.
Wanabodi Kuna msemo usemao "ukiona mwenzako ananyolewa, wewe tia maji tia maji" Tanzania tunajenga reli ya SGR, wenzetu Kenya wametangulia, ila reli yao imeanza kwa kuwa ni a white elephant. Jee kuna haja ya sisi Watanzania tujifunze kwa wenzetu, kuiepusha reli yetu kuwa tembo mweupe, au wao...
Baada ya Rais Kagame na Rais Magufuli, kukubaliana kujenga reli ya SGR kutoka Isaka kwenda Kigali, ili mizigo yote ya Rwanda, ipitie bandari ya Dar es Salaam, Isaka hadi Kigali, Rwanda, kitu ambacho kingepunguza kuitegemea bandari ya Mombasa, huku rais Museveni na na rais Kenyatta, nao...
Wanabodi, Rais Magufuli aliposema vita vya uchumi ni mbaya ni kuliko vita vya kawaida, alikuwa right. Hili ni bandiko kuhusu vita kubwa, ambayo mimi nimeipa jina la Magufugame vs Musevenyatta. Magufugame vs Musevenyata ni Vita Kubwa ya Kiuchumi!. Its a Win Lose War!. When One Wins, The Other...
Wanabodi, Rais Magufuli aliposema vita vya uchumi ni mbaya ni kuliko vita vya kawaida, alikuwa right. Hili ni bandiko kuhusu vita kubwa, ambayo mimi nimeipa jina la Magufugame vs Musevenyatta. Magufugame vs Musevenyata ni Vita Kubwa ya Kiuchumi!. Its a Win Lose War!. When One Wins, The Other...
www.jamiiforums.com
My Take
Kama tumeweza kuwapiga Tanchi kwenye SGR ya kuunganisha na Rwanda, kisha tukawapiga Tanchi kwenye bomba la mafuta la Uganga, Tanzania tukifanikiwa kuifikisha SGR yetu, Mwanza, hadi Kigoma, na pia tukajenga SGR to Tunduma, Tanzania ndio itakuwa the super power of EAC Region, na kama tukiifanya Dar Port kuwa a free port kwa baadhi ya bidhaa, with The AfCFTA in place!, Tanzania will fly!, no one will catch us!.
Mkuu pascal Hongera kwa bandiko ka kufikirisha
Nina swali moja tuu ambalo linaweza kuzaa maswali mengine
Hivi unafikiri kati ya Mradi wa SGR na Stieglier gorge ni upi unaweza kuingiza pesa faida kwa Haraka?
Megawatt 2115 na 2700kmSGR
Then hela itakayopatikana hapa ilipe mradi Mwingine
Assume kama tungeanza na Mradi mmoja! pascal
Hilo la bomba la mafuta ni nje ya mada,ila nilitaka nikuweke sawa,kuweka jiwe la msingi ndio mwazo wa safari ya ujenzi wa bomba.
Kuhusu China kufinance ujenzi wa Sgr ni mpango ambao ulianza toka mwaka 2019. Kwa hiyo usihofu na sidhani utakuwa ni mkataba wa kugharamia kwa mashariti mabaya kama walivyotaka kujenga bandari ya bagamoyo.
JPM kuachama na na umeme wa gas lilikuwa ni jambo jema,hata mtoto mdogo hawezi kuhoji hili. Maana hakuna gad plant inayoweza kuzalisha Mw 2115 kwq mkupuo. Kumbuka Kinyerezi mpaka sasa ni mw 240. Ingechukua muda mrefu kupata mw 2115 amabazo tukijaaliwa tutazipata JNHP.
Kwa hiyo achana na hisia mbaya kuwa Sgr to mwanza inaweza isifike,kikubwa pesa ipatikane. Maana moro to Dodoma ni tambalale hapo ni kujaza tuta na kutandaza reli. Dodoma to Isaka kazi ni mlima Saranda na wenyewe sio kama Ngerengere. Nina uhakika China watatoa pesa bila mashariti ya kinyonyaji.View attachment 1660245
Hili la bomba la mafuta naomba ukae kimya, kwanza ni nje ya uzi na huna jipya.
Hilo la China kufinance mradi wa SGR ulianza 2019. Hiyo 2019 ndio serikali iligundua ile porojo ya kuwa tunajenga kwa fedha za ndani hailipi? Kama tuliwakwepa wachina mwanzo kuwa huo mradi ulikuwa overestimated kwa $7b+, je sasa hivi bei ndio itakuwa chini kwa sehemu ambayo watatoa pesa? Kwa hili ww au mimi hatujui, na sababu hasa ya kuficha itakuwa na aibu ya gharama kuwa juu.
JPM kaachana na umeme wa gas kwa mtazamo wako hata mtoto mdogo hawezi kuhoji, labda ww na mtoto wako ndio hamuwezi kuhoji. Miaka mitano iliyopita kabla ya Magufuli kuwa rais, yeye alikuwa waziri kwenye serikali iliyokuwa inatuimbisha kuhusu umuhimu wa umeme wa gas. Kwanini wakati huo hakuonyesha kuwa umeme wa gas siku sahihi ni ghali kuliko huu wa maji? Iwapo kila rais akiingia anakuja na ukweli anaoujua yeye, na wote tunatakiwa tumuamini wala tusihoji maamuzi hayo, siku akiingia rais mwingine akasema umeme wa upepo ndio sahihi maana wa maji kuna tatizo la mabadiliko ya tabia nchi utaweza kuhoji? hiyo 240mg mpaka sasa kumbuka tulikopa $1.2b, hiyo ikiwemo na ujenzi wa bomba toka Mtwara. Je tungeweka 3t maana bomba tayari liko Dar, tusingepata hiyo 2,115mw, na hiyo hiyo 3.5 tukaingiza kwenye kilimo? Lengo letu sio kupata umeme 2,115mw kwa mkupuo, bali ni kupata umeme unaotosheleza mahitaji yetu. Tungeweza kuongeza kila mahitaji yetu kila inapohitajika, na fedha nyingine kuingizwa kwenye mahitaji mengine. Sio sasa hivi watu hawaajiriwi kisa pesa zinajenga mradi wa umeme wa ziada. Na wanaojenga huo mradi wao hawasikii maumivu ya wengine kukosa ajira, maana kwenye misafara yao wana mpaka maVX 70 na helikopta angani, achia Mbali kupata huduma zote kwa gharama ya serikali, na mishahara yao kwa wakati.
Nimesema hakuna uwezekano wa hiyo reli kufika Mwanza kwa fedha za ndani, maana ukweli wa mapato yetu kwa sasa uko chini. Moja na la dhahiri ambalo ni nje ya uwezo wetu, ni janga la corona. Na la pili ambalo bila corona lazima tungekwama, ni mwenendo wa awamu hii kwenye sekta binafsi, ambayo ndiyo inayotoa kodi kwa wingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.