The Shade Room: Mwanamuziki Vanessa Mdee adaiwa kuwa kwenye uhusiano na muigizaji wa Series ya Power

Na this week Ghost kam-frame jamaa anachomoka tena kiaina.

Shemeji ana ngekewa!
dont know what the next episode holds... kila mtu yuko na mashida zake, kuaunzia ghost na political career yake, tommy kapoteza business, Dre nae atakwama maana supplier ndo kashapotezwa na ghost.. tate for governor nayo inabuma.... its a tense moment..
 
Chezea Wananigeria hasije mtapeli vipesa vyake. Mimi Nawaogopa Wanigeria
 
Well said! Yote uliyoandika hapa yanawezekana.

Kwa role ambayo 50 anaiplay kuipush hii series, ni ngumu sana kusema hana stake pale. Au hata kama hana basi ana nguvu kubwa sana ya kimaamuzi.
 
Yeah man!

Jamaa wanafanya twisting za hatari huwezi hata kutabiri nini kinakuja. One thing kinanishangaza though, wanachanganya sana writers.

S06E09 ya juzi writer wake alikuwa tofauti na hata kuna vitu kama mtu unatazama kwa umakini unaona kabisa vilibadilika.

Mfano, Benny siku zote alitengenezwa kama mtu tishio na mwenye nguvu sana kiasi cha kuzima cartel nzima ya jamaa waliomshikiliaga Tariq kwa mkwara tu, lakini kaja kufa kizembe kwa kumconfront Tommy na kisu kidogo vile. Same to Jason.

Pia Ghost hanaga mambo ya usnitch kabisa lakini kwenye episode ya juzi writer akamtengeneza jamaa amsnitch Tasha kuhusu drug business pale kwa Daycare. Ghost kweli???

Ramona alivyomtosa Tate naona nayo ilipelekeshwa tu na huyo writer. Yule dada alitengenezwa kama mtu very smart and strategic. Ile plan yake na Ghost against Tate haikuandikwa vizuri kabisa. It felt off!

Kwa ufupi hii episode walichemka sana & I wish wasimpe tena nafasi ya kuandika. Anakata mzuka!

NB: Hii season finale itakuwa na episodes 15 badala ya 10 zilizozoeleka. Ngoja tuone!
 
Hata mimi epsode iliyopita niliona ilikuwa na major twist ambazo hazikuwa sawa kabisa.
Jamaa alivyokuwa anaogopwa halafu akaja kufa kizembe kwa kuawa kizembe bora hata procta alifight
 
Kabisa mkuu! Haikukaa poa sana japo wengi waliona sawa tu.
 
Jason hakufa kizembe sana, and i always knew he would die at Ghost's hands.

Ghost kumsnitch Tasha ndo sikutegemea, maana anajua repercussions of his baby mama being behind bars, after all they've gone and all the info she knows about G.

Dre was about to make it in life, until Ghost cancelled Christmass on Jason..

Tommy has become wild and unrully, perhaps after everbody is dead, he'll go for the producers and directors too [emoji38][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Yeah but Jason should have thought better walking with Ghost unarmed. He got played kizembe sana. How could he not sense it the moment James St Patrick told him that they can't be strapped? That alone was a wake up call!

Tasha is tripping, yes, but Ghost was not the right person to use to snitch on her. Too low!

Dre (Shemeji Rotimi) staying alive to date makes Ghost & Tommy look powerless. His survival tricks do not just cut it. Proctor was more useful than this piece of sh**t

The finish line about Tommy's rage [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…