kama mnaemzungumzia ni mungu na sio MUNGU,..sawa
MUNGU Yupo na ndiye atakayehukumu ulimwengu,..
nyinyi jidanganyeni na kupoteza watu wenye imani haba,,..
kumuamini MUNGU ni wajibu wa mtu,..
mwanadamu alipewa nafsi huru na kufanya anachotaka,..
ila angalieni msimdhihaki MUNGU,.MUNGU hazihakiwi hata siku1,.
huo uzima usiwape jeuri,..unamwisho huo uhai,..
kama mnaemzungumzia ni mungu na sio MUNGU,..sawa
MUNGU Yupo na ndiye atakayehukumu ulimwengu,..
nyinyi jidanganyeni na kupoteza watu wenye imani haba,,..
kumuamini MUNGU ni wajibu wa mtu,..
mwanadamu alipewa nafsi huru na kufanya anachotaka,..
ila angalieni msimdhihaki MUNGU,.MUNGU hazihakiwi hata siku1,.
huo uzima usiwape jeuri,..unamwisho huo uhai,..
Inahuzunisha sana kumkataa MUNGU,...
Mungu awasamehe sababyu shetani anawatumia kupenya roho chafu kwenu,..