The so called 'GOD' from religions

The so called 'GOD' from religions

sasa unachodai uthibitishiwe ni nini kuhusu uwepo Mungu,......
kama hujui maana ya evidence,...
inaonyesha shule hikuusika apo,....
Wapi nimeandika sijui maana ya evidence?

Unajua kusoma wewe?

Umethibitisha kwamba mungu yupo?
 
post zote umepinga za evidence,,.cjui unataka nini,..
HUELEWI WEWE,,..UNAJITOA FAHAMU
Evidence gani? Iko wapi?

Wewe unaweza kusema mavi ya kuku ni evidence kwamba mungu yupo.

Mimi nikakwambia si hivyo, mavi ya kuku ni evidence kwamba kuku anakunya.

Leta evidence hapa tuijadili.
 
Evidence gani? Iko wapi?

Wewe unaweza kusema mavi ya kuku ni evidence kwamba mungu yupo.

Mimi nikakwambia si hivyo, mavi ya kuku ni evidence kwamba kuku anakunya.

Leta evidence hapa tuijadili.

Posts za nyuma zote baadhi tumewapa full evidence,..na wengine za maandiko,...but mnakataa na kupinga zaidi mnabaki kukejeli na vijembe, mie sikulazmishi uamini ktk hilo,
ila najua ukweli mnaujua kuhusu Mungu bt mmeamua kupotosha watu,....
na hamtofanikiwa ktika hilo,...
 
post zote umepinga za evidence,,.cjui unataka nini,..
HUELEWI WEWE,,..UNAJITOA FAHAMU

Wewe Baba yaga mbona Unarukaruka?

Unajua maana ya Evidence kwanza?

Una ushaidi wowote unaothibitisha kuwa Mungu yupo?

Au nyie ndiyo wale mnaosema kuwa Biblia ni neno la Mungu,kwa sababu Mungu mwenyewe amesema ndani ya hiyo hiyo Biblia

Hivi wewe mtoto,unajua Maana ya Circular Argument?
 
post za nyuma zote baadhi tumewapa full evidence,..na wengine za maandiko,...but mnakataa na kupinga zaidi mnabaki kukejeli na vijembe,..
mie sikulazmishi uamini ktk hilo,....
ila najua ukweli mnaujua kuhusu Mungu bt mmeamua kupotosha watu,....
na hamtofanikiwa ktika hilo,...
Copy hizo evidence mlizotoa kwenye post za nyuma upaste hapa

Hakuna yyte kati yenu aliyewahi kuweka full evidence zaidi ya mahubiri.

Na wala hakuna mwenye haja ya kuamini Bali tunataka kuelewa tu
 
Wewe Baba yaga mbona Unarukaruka?

Unajua maana ya Evidence kwanza?

Una ushaidi wowote unaothibitisha kuwa Mungu yupo?

Au nyie ndiyo wale mnaosema kuwa Biblia ni neno la Mungu,kwa sababu Mungu mwenyewe amesema ndani ya hiyo hiyo Biblia

Hivi wewe mtoto,unajua Maana ya Circular Reference?
mimi sibibishani na mtu ambaye ufahamu wake umepumbazika,....bakini na idea zenu za kudhihaki na kumpinga Mungu,...
kila mtu na maisha yake,...nakuhurumia nafsi yako,..
ILA MJUE MUNGU YUPO,...NA YESU ANAOKOA,..
TS All about,..
 
post za nyuma zote baadhi tumewapa full evidence,..na wengine za maandiko,...but mnakataa na kupinga zaidi mnabaki kukejeli na vijembe,..
mie sikulazmishi uamini ktk hilo,....
ila najua ukweli mnaujua kuhusu Mungu bt mmeamua kupotosha watu,....
na hamtofanikiwa ktika hilo,...
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Evidence kwamba mungu yupo ni ipi?

Iweke hapa tuijadili.
 
Copy hizo evidence mlizotoa kwenye post za nyuma upaste hapa

Hakuna yyte kati yenu aliyewahi kuweka full evidence zaidi ya mahubiri.

Na wala hakuna mwenye haja ya kuamini Bali tunataka kuelewa tu
acha uvivu wee mdada,..pitia soma uelewe,...usikurupukie vitu usivyovielewa,...
vitu vingine sio vya kuiga dada yangu,..sawa?????
 
mimi sibibishani na mtu ambaye ufahamu wake umepumbazika,....bakini na idea zenu za kudhihaki na kumpinga Mungu,...
kila mtu na maisha yake,...nakuhurumia nafsi yako,..
ILA MJUE MUNGU YUPO,...NA YESU ANAOKOA,..
TS All about,..
Kabla ya kusema mengi kuhusu mungu, unaweza kuthibitisha mungu huyo yupo?
 
acha uvivu wee mdada,..pitia soma uelewe,...usikurupukie vitu usivyovielewa,...
vitu vingine sio vya kuiga dada yangu,..sawa?????
Kuna sehemu ambapo hicho mnachokiita evidence haijajibiwa?

Sijaona hoja ambayo haijajibiwa bado.

Kama ipo hapa weka hata link.

Ukishindwa hilo, wewe ndiye utakuwa mvivu.
 
post za nyuma zote baadhi tumewapa full evidence,..na wengine za maandiko,...but mnakataa na kupinga zaidi mnabaki kukejeli na vijembe,..
mie sikulazmishi uamini ktk hilo,....
ila najua ukweli mnaujua kuhusu Mungu bt mmeamua kupotosha watu,....
na hamtofanikiwa ktika hilo,...

Evidence ipi mlioitoa?Irudie hapa tuione

Uthibitisho kuwa Mungu yupo hauwezi kuupata Ndani ya Maandiko au Biblia,kwa sababu Biblia yenyewe imejaa Contradiction

Otherwise Ondoa hizo contradiction kabla Hujaleta huo Uthibitisho
 
asiyeamini MUNGU hayupo na andelee hivyo,...na mwenye neema ya kuamini MUNGU na anaishi na ndiye aliyeuumba ulimwengu na vyote vilivyomo aendelee kuamini na ashikiliee imani na msimamo wake maana ndio utakaomuokoa nafsi yakeee kwa kutenda mema,....
siku ya mwisho

Tukumbuke hii dunia tunapita tu,..tusiwe na kibuli cha uzimaa tukajisahau hapa duniani,....
itafika kipindi MUNGU atataka nafsi yake.

so inabidi tuishi vyema tusiwasikilize wahuni wahuni wameshiba bangi zao,..menatumiwa na shetani kupotosha watu,...
MUNGU ATUSAIDIE TUDUMU KATIKA SHERIA ZAKE,...
NA TUMUAMINI YEYE..TUKITENDA MEMA KWA KUFATA MISINGI YA SHERIA ZA MUNGU,
....
 
TAHADHALI,TAHADHALI TAFADHALI SOMA HAPA.....

Watu muwe makini na hizi thread za kupotosha uwepo wa Mungu
naona shetani anazidi kutafuta wafuasi kwa nguvuuuu
ili aende kwenye Ziwa la moto,...
watu wanatunga threads kuchanganganya watuu ili wapotee
..,,,mambo ya MUNGU Yanaenda kiroho na Mungu ni roho pia,..
watu wanatumika na shetani kupotosha ukweli kwa evidence za kidunia,
biological issues ni mambo ya duniani..,
tuwe makini sana tusimpe shetani nafas shetanii,
tunaweza tukaona
ni mambo ya kawaida ila shetani akatumia mwanya kuharibu,..kiroho inaweza kuteka watu sana na watu wengi
wakapotoshwa,,..tuishi kwa kumuogopa MUNGU ambao hawa watu wanapotosha ukweli wa jambo hili
tuwe makini sana sana na hili swala,...
RUMI14:11-2Kwakuwa imeandikwa kama niishivyo,anena BWANA(YAHWE)
kila goti litapigwa mbele za Mungu ,na kila ulimi utamkili MUNGU
Mstari wa 12-bas ni hivyo kila mtu miongoni mwenu atatoa habari zake mwenyewe mbele za MUNGU,..
SIMAMA kwa zamu yako simamia nafsi yako siku ya hukumu kila mtu atatoa hesabu za matendo yake mbele
za Mungu,....
MUNGU Yupo na hawa watu ukiwapa evidence kimaandiko wanakwepa wana
taka kufos kwa namna ya kibinadamu,...WAKAti Mungu huwezi kumuelezea indeep kwa naamna ya kibinadamu istead of kimaandiko,..
NASISITIZA TUWE MAKINI SANA VIJANA,WAZEE NA MALIKA YOTE UKSIKUBALI KUPOTOSHWA,...
Kwa msaada zaidi
1WAKORINTHO 2:10:11b:13-16
tusifatishe roho chafu za ibilisi,..zinazotenda kazi
 
acha uvivu wee mdada,..pitia soma uelewe,...usikurupukie vitu usivyovielewa,...
vitu vingine sio vya kuiga dada yangu,..sawa?????
Mitoto mingine Bure kabisa
Yaani umepelekwa shule kusomea 'Upimbi-ology'?

Evidence zipi Mlizozitoa,mbona huzileti hapa tuzijadili?
 
TAHADHALI,TAHADHALI TAFADHALI SOMA HAPA.....

Watu muwe makini na hizi thread za kupotosha uwepo wa Mungu
naona shetani anazidi kutafuta wafuasi kwa nguvuuuu
ili aende kwenye Ziwa la moto,...
watu wanatunga threads kuchanganganya watuu ili wapotee
..,,,mambo ya MUNGU Yanaenda kiroho na Mungu ni roho pia,..
watu wanatumika na shetani kupotosha ukweli kwa evidence za kidunia,
biological issues ni mambo ya duniani..,
tuwe makini sana tusimpe shetani nafas shetanii,
tunaweza tukaona
ni mambo ya kawaida ila shetani akatumia mwanya kuharibu,..kiroho inaweza kuteka watu sana na watu wengi
wakapotoshwa,,..tuishi kwa kumuogopa MUNGU ambao hawa watu wanapotosha ukweli wa jambo hili
tuwe makini sana sana na hili swala,...
RUMI14:11-2Kwakuwa imeandikwa kama niishivyo,anena BWANA(YAHWE)

Kweli wewe ni Senior member
Sasa hiyo ni comment au Thread

Uzi hauanzishwi ndani ya Uzi
 
Swali langu hujalijibu.

Complexity ni lazima iumbwe?

Au si lazima?

Swali dogo tu hujalijibu umekuja na mzunguko mkubwaaa.

Naomba jibu, sitaki insha.
Kwani nalazimika vp kujibu swali lako? Haya hebu niambie kwanza uumbaji ndio nini?maana kuna hilo neno kwenye swali lako.
 
Kwani nalazimika vp kujibu swali lako? Haya hebu niambie kwanza uumbaji ndio nini?maana kuna hilo neno kwenye swali lako.
Must complexity come from a higher complexity?

Jibu swali, acha kulikimbia.
 
acha uvivu wee mdada,..pitia soma uelewe,...usikurupukie vitu usivyovielewa,...
vitu vingine sio vya kuiga dada yangu,..sawa?????
Unawezaje kuniambia mvivu wakati umeshindwa hata kuweka hayo maandishi unayoniambia nisome? Akili zako ziko sawa kweli?
Hivi Kati yangu mi na wewe anaeiga ni nani?
 
"Thibitisha kama mungu yupo" hii sasa imekuwa kama ni nyimbo,siku zote ukitafuta usichokijua hutaweza kukipata.

Hebu mtueleze huo uthibitisho mnaotaka upoje?maana isije mkawa mnatafuta msichokijua,tuambie huo uthibitisho mnaoutaka ni wa kuona,kusikia au kuhisi? Maana kuna wengine wanasema tunaamini kitu ambacho hatujawahi kukiona.
 
Back
Top Bottom