The so called 'GOD' from religions

The so called 'GOD' from religions

do you even know what atheism mean?do you think its just atheism questioning the true god?kwanini hufikiri kabla ya kutenda,unafikiri ni wewe pekee ndio mwenye akili kwa kupost ujinga huu?,Tua Mzigo wako wakukariri ndio urudi huku,there is still a chance for you to get education via this thread,but first,Jitambue kwanza
You need to wake up....
 
wakuu Kiranga , einstein newton ,hivi nyie mnawezaje kuendelea kubishana na watu wa design hii??ndo yale yale niliyosema,,kwenye scale ya 1 to 10,unatoka nao 1 mpka 9.9 then ghafla unarudishwa 1,,inakatisha tamaa,kila muda inabidi urudie mambo yale yale uliyotoka kueleza dakika mbili zilizo pita,mtu anavamia uzi from no where anaanza kupost same pumba ili tu aonekana naye amechangia!kwa style hii,tutabakia same place,,watu hawaji na hoja za maana za kuprove uwepo wa mungu wao,,wanakuja kusujudu.
 
Do you even know the meaning of ignorance??
who is ignorant here?The one question the true existence of something or the one who choose to believe what he was just told with someone else without having the prove?
Dont confuse spirituality with religion, religion is someone else experince while spirituality is your own experience...i have everything i need know and nothing to prove...your ignorant by choice, being smart without wisdom is chaos
 
You're right Buddy
Ignorance in 21 century is Option
But unfortunately,You've selected it

Let me ask you some Questions young man,and I want only non-silly response
I need you to prove existence of your Maker.
But before you do it,try first to solve this little paradox.

God is all powerfull,all loving,and all knowing
If such God exist then Evil would not exist

Because,All loving god would not allow his people to suffering from evil
Actually,it's obvious that,Evil is the source of pain in our planet

Then All knowing God,would know How exactly evil occur and the way to prevent it

Finally,All powerful God,would able prevent evil from existence
So From that line of thought,God and evil can't co-exist

But unfortunatelly,Evil exist,How does it possible?
Hawa watu tunaowaalika kwenye investigation, wanaokataa na kukimbilia kwenye imani isiyofuata logic ndiyo wanatulaumu sisi kwa ignorance?

Mwenye ignorance ni nani sasa, yule anayeamini kitu bila kuweza kukithibitisha wala kuondoa contradictions au yule anayeonyesha contradictions na kutaka uthibitisho?
 
Now here you are, this is a question i was waiting for,Well,'nothing comes from no where',yes,The use of the word 'nothing' has a very special meaning in this context, unlike our every day use of the word. It means here quite literally nothing, the complete absence of everything. By definition then nothing must be an infinite void. If nothing exists it would HAVE to be infinite.This is a result of it not being allowed any boundaries, as a boundary would place a limit on nothing's size and furthermore would also indicate that there was something existing on the 'other ' side of the boundary, apart from the boundary itself existing.This would be contrary to our definition of both infinite and of nothing.This also, it should be noted, excludes anything existing in any other dimension, or dimensions, as a dimension would then be a boundary. Nothing then, when described asan infinite void, excludes all possibility of anything else existing, anywhere.[/QUOTE

Nondo zako ni hatari, ngoja niendelee kuelimika hapa.
 
Hawa watu tunaowaalika kwenye investigation, wanaokataa na kukimbilia kwenye imani isiyofuata logic ndiyo wanatulaumu sisi kwa ignorance?

Mwenye ignorance ni nani sasa, yule anayeamini kitu bila kuweza kukithibitisha wala kuondoa contradictions au yule anayeonyesha contradictions na kutaka uthibitisho?

Mkulu Kiranga
Hapo mjinga ni yule anayeamini kitu bila kuwa na uthibitisho wala kuondoa contradiction

Ukichunguza kwa makini,utaona sababu pekee inayowafanya watu waendele kushikiria Imani ambayo ni Logically inconsistent ni tamaa ya uzima wa milele

sijui ni sheria ipi ya Fizikia inayoruhusu kiumbe kuishi bila kuzeeka au kuishi milele?
 
Mkulu Kiranga
Hapo mjinga ni yule anayeamini kitu bila kuwa na uthibitisho wala kuondoa contradiction

Ukichunguza kwa makini,utaona sababu pekee inayowafanya watu waendele kushikiria Imani ambayo Logically inconsistent ni tamaa ya uzima wa milele

sijui ni sheria ipi ya Fizikia inayoruhusu kiumbe kuishi bila kuzeeka au kuishi milele?
Basi hawana tofauti na watu walioishi kabla ya siku za binadamu kuelimika.

Halafu wao ndio wanatusema sisi kwa ignorance?
 
Na ndo maana nikaandika kwa kingereza kabisa ili inisaidie kuchuja wavivu wakufikiri na pumba,ili hata wakitokea,wawe ni 'pumba' class 'A' sio 'Z',kumuelimisha pumba class 'A' ni rahisi zaidi

Ungeandika kiswahii ungeambulia matusi na vitisho vya kuungua moto siku ya mwisho! !!!!
 
wakuu Kiranga , einstein newton ,hivi nyie mnawezaje kuendelea kubishana na watu wa design hii??ndo yale yale niliyosema,,kwenye scale ya 1 to 10,unatoka nao 1 mpka 9.9 then ghafla unarudishwa 1,,inakatisha tamaa,kila muda inabidi urudie mambo yale yale uliyotoka kueleza dakika mbili zilizo pita,mtu anavamia uzi from no where anaanza kupost same pumba ili tu aonekana naye amechangia!kwa style hii,tutabakia same place,,watu hawaji na hoja za maana za kuprove uwepo wa mungu wao,,wanakuja kusujudu.

Kusubiri uthibitisho hapa ni sawa na kutafuta usichokijua na hautokipata. Anayetaka uthibitisho kweli hawezi kuja humu.
 
Basi hawana tofauti na watu walioishi kabla ya siku za binadamu kuelimika.

Halafu wao ndio wanatusema sisi kwa ignorance?
Labda inategemea tafsiri ya neno 'Ignorance'

If Igorance is disobedience of God commandment and his existence,Of course we are ignorants

But if is Lack of knowlegde,then they are super-ignorants
 
Labda inategemea tafsiri ya neno 'Ignorance'

If Igorance is disobedience of God commandment and his existence,Of course we are ignorants

But if is Lack of knowlegde,then they are super-ignorants
One cannot disobey a nonexistent godhead.
 
Uthibitisho ni tool ya kuonyesha kwamba mungu hathibitishiki.

Na kwa sababu mpo humu ili kupinga tu, kwa sababu karibu wote mlikuwa mkiamini mungu na ndiyo maana unakuta mtu anahoji et mungu nae kaumbwa na nani.
 
I usually think of how vast the cosmos is how fast it expands the wonders of the stars the planets the galaxies the laws of physics that governs the universe/multiverse thinking of how tiny earthlings are in the cosmos we're just a peck of a dust on a beach sand very tiny and this got me thinking like If God is the who really made all these amazing laws of physics and this heavenly bodies how in the world would he be troubled with tiny creatures like earthlings that on his holy books(quran&bible etc) he forces people to fight for him(jihad) inorder to jus kumuabudu how is this even real like he is the one who made gravitational force, the light c'mon and he claims to love us and gave us his number one rival satan(he's very tricky) to just test us yet he made us weak and still he knows the future but he still made us and still want us burnt into ashes in the hell fire!! Science should be the book of God cause inaproject the greatness of the God if he's really there though....not those mnazosoma jumaa na jpili hapana those are jus made up stories
Argument yako ime nigusa sana kwa sababu hata mimi sometimes huwa najiuliza maswali magumu sana kuhusu Mungu bila kupata majibu.
 
One cannot disobey a nonexistent godhead.
But mkuu Kiranga
One of my Friend,who is Theist,asked me this Question

"You[Atheists]are usually denying existence of god by using Logic
But Reality is not logical consistent.It can,in some extent,deviate from normal law of Logic
Because reality is far much superior than Logic after all.

so what if God actually exist?would you become upset?"

Kiranga what would be your response to such kind of question?
 
But mkuu Kiranga
One of my Friend,who is Theist,asked me this Question

"You[Atheists]are usually denying existence of god by using Logic
But Reality is not logical consistent.It can,in some extent,deviate from normal law of Logic
Because reality is far much superior than Logic after all.

so what if God actually exist?would you become upset?"

Kiranga what would be your response to such kind of question?
If reality does not follow logic, then there is no way to know anything.

One would not even know that reality does not follow logic.

So why would one believe in anything, let alone god?
 
Na kwa sababu mpo humu ili kupinga tu, kwa sababu karibu wote mlikuwa mkiamini mungu na ndiyo maana unakuta mtu anahoji et mungu nae kaumbwa na nani.
Mkuu hongera,una akili kama za Latifa mtoto wa Chibu Dangote!
 
SIsi tupo tutawaambia ukweli humuhum mitandaoni,...kuja makanisani hawataki ila ujumbe tutawaletea humuhum
wasipotoshe watu,....
sio wao bali ni shetani anawatumia kupotosha ukweli ili shetani apate wafuas wengi ,...
kwenda nao ktk ziwa la moto wa milele,.....
wanapingana na MUNGU
ILa hukumu ipo ndugu uzima unawapa jeuri
Unaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo?

Au mambo ya "hadithi, hadithi, hadithi njoo, uongo njoo, utamu kolea" tu?
 
Na kwa sababu mpo humu ili kupinga tu, kwa sababu karibu wote mlikuwa mkiamini mungu na ndiyo maana unakuta mtu anahoji et mungu nae kaumbwa na nani.

Complexity ni lazima iumbwe au si lazima?
 
Back
Top Bottom