The so called 'GOD' from religions

The so called 'GOD' from religions

Mkuu,I wonder why you place Paganism in the same group with Atheism
Philosophically,those two Ideology can never get along

Paganist believe in Higher power while Atheist not
I guess this one is Biggest misconception About the whole concept of Atheism

Atheists,they don't deny existence of God,Because they can't prove it so.
But what they Actually do,is to Deny Existence of Certain God as portrayed by certain Religions
[You must keep it in your mind Reagan it's very Important point.]
From the Fact that,Many Monotheistic Holy Books have many logical contradiction Associated with them

And the reason of Why most Educated people become more interested with Atheism is simply Curiosity+Profound reasons
Atheists always put Fact Forward.
Hawa watu wengine hawawezi kuelewa hayo.

Usipoamini mungu tu basi kwao wewe ni mfuasi wa shetani.
 
Sasa uthibitishiwe uwepo wake au mnataka maelezo ya hayo mwiitayo contradiction?
Eliminating contradictions is moving tiwards a proof.

Ukithibitisha itakuwa vizuri zaidi, lakini wewe hujaweza hata kuondoa contradictions.
 
Eliminating contradictions is moving tiwards a proof.

Ukithibitisha itakuwa vizuri zaidi, lakini wewe hujaweza hata kuondoa contradictions.

kwahiyo kuna suala la uwepo wake na kuna suala la hizo contradictions?
 
kwahiyo kuna suala la uwepo wake na kuna suala la hizo contradictions?
Kama yupo, idea ya kuwepo kwake haiwezi kuwa na contradiction.

Ukiweza kuondoa contradiction, hata kama hujaweza ku prove kwamba yupo, umeondoa vikwazo vinavyosema hayupo.

Sasa wewe umeshindwa ku prove yupo. Sawa.

Unashindwa hata kuondoa contradictions zinazosema kwamba mungu huyu hawezi kuwepo?
 
Kiranga said:
Eliminating contradictions is moving tiwards a proof.
Kiranga

The best proof for existence of God,according to believers like Myself is within the Bible or quran itself
But unfortunately,you don't believe in either quran or Bible due to the so called contradiction.

Anyway,I won't use any book to provide my proof but I'll incorporate simple Logic in My argument
I believe that God exist,because complexity of Nature prove it to be the case
Let me give you simplified analogy to illustrate what I mean

Technically,computer can't operate unless you give it an instruction
As we know,computer program tell the computer what to do,by using binary codes which are decoded by computer itself

Codes are language,

Language which orginated from intelligent maker,[Man]

The same analogy applied to cell

cell can't work unless DNA tell it what to do or how to reproduce it self
DNA is like binary codes in computer
DNA is code,

Code is language

Language orginated from Intelligent maker,[God]
 
Kama yupo, idea ya kuwepo kwake haiwezi kuwa na contradiction.

Ukiweza kuondoa contradiction, hata kama hujaweza ku prove kwamba yupo, umeondoa vikwazo vinavyosema hayupo.

Sasa wewe umeshindwa ku prove yupo. Sawa.

Unashindwa hata kuondoa contradictions zinazosema kwamba mungu huyu hawezi kuwepo?

Sababu uliyotoa ya kupinga kuwepo kwake umesema kuwa kuna contradictions,kwamba haiwezekani mungu akawa wa upendo ila dunia ikawa na maovu. Sasa unaposema ukithibitishiwa uwepo wake hakutakuwa na hizo contradictions nashindwa kukuelewa ni vp hizo unazoamini kuwa ni contradictions zisiwe tena contradiction endapo ukipata uthibitisho wa uwepo wake!!
 
Sababu uliyotoa ya kupinga kuwepo kwake umesema kuwa kuna contradictions,kwamba haiwezekani mungu akawa wa upendo ila dunia ikawa na maovu. Sasa unaposema ukithibitishiwa uwepo wake hakutakuwa na hizo contradictions nashindwa kukuelewa ni vp hizo unazoamini kuwa ni contradictions zisiwe tena contradiction endapo ukipata uthibitisho wa uwepo wake!!

Hivi wewe mtoto,Huwa unaelewa unachokiandika kweli?

Unabananisha Maneno halafu kibaya zaidi Unachoandika hakieleweki.Dah

Uwe unatenga na Aya basi.
 
Sababu uliyotoa ya kupinga kuwepo kwake umesema kuwa kuna contradictions,kwamba haiwezekani mungu akawa wa upendo ila dunia ikawa na maovu. Sasa unaposema ukithibitishiwa uwepo wake hakutakuwa na hizo contradictions nashindwa kukuelewa ni vp hizo unazoamini kuwa ni contradictions zisiwe tena contradiction endapo ukipata uthibitisho wa uwepo wake!!
Wapi nimesema nikithibitishiwa uwepo wake hakutakuwa na hizo contradictions?

You got it backwards.

Kama kuna contradictions kuhusu kuwepo kwa mungu, mungu huyo hawezi kuthibitishika mpaka contradictions ziondolewe.

Unaweza kuondoa hiyo contradictions?
 
Kiranga

The best proof for existence of God,according to believers like Myself is within the Bible or quran itself
But unfortunately,you don't believe in either quran or Bible due to the so called contradiction.

Anyway,I won't use any book to provide my proof but I'll incorporate simple Logic in My argument
I believe that God exist,because complexity of Nature prove it to be the case
Let me give you simplified analogy to illustrate what I mean

Technically,computer can't operate unless you give it an instruction
As we know,computer program tell the computer what to do,by using binary codes which are decoded by computer itself

Codes are language,

Language which orginated from intelligent maker,[Man]

The same analogy applied to cell

cell can't work unless DNA tell it what to do or how to reproduce it self
DNA is like binary codes in computer
DNA is code,

Code is language

Language orginated from Intelligent maker,[God]
If you insist that complexity must have an even more complex creator, then god himself will need a creator.

And his creator will need a creator.

And his creator's creator will need a creator.

Ad infinitum, ad absurdum.
 
Wapi nimesema nikithibitishiwa uwepo wake hakutakuwa na hizo contradictions?

You got it backwards.

Kama kuna contradictions kuhusu kuwepo kwa mungu, mungu huyo hawezi kuthibitishika mpaka contradictions ziondolewe.

Unaweza kuondoa hiyo contradictions?

Soma vizuri ulichokiandika.

"Sasa wewe umeshindwa ku
prove yupo. Sawa.
Unashindwa hata kuondoa
contradictions zinazosema
kwamba mungu huyu hawezi
kuwepo?"


Na kuhusu kuondoa contradiction bado hujaeleza ni contradiction kwa kigezo kipi,maana kusema dunia ina maovu halafu mungu kasema ana upendo ndiyo vp iwe mungu kajipinga?
 
Anyone who believes this stories is indeed lost i.e believing that a god would send his only son to help us, only to see his son get tortured and murdered, and then instead of unleashing all his wrath, simply absolve us from all crimes past and present, is pure madness to say the least(referring more to Christianity since its the core of most middle age religions, Islamic it started just yesterday around year 650.
your wrong ndugu,..
Mungu alimtuma YESU kuja ulimwenguni kukomboa kizaz kilichopotea
sababu hayo uliyoyaandika wewe leo na kupotosha watu
yalikuwepo tangu zamani,,,...
YESU Alikuja kukomboa kizaz kilichopotea na aliteseka kwasababu wanadam walikataa kumuamini na wakamtesa na wakamuua Yesu na alipokufa alienda kuzimu kuchukua funguo za mamlaka kutoka kwa ibilisi,..ALIKUFA ILI MAANDIKO YATIMIE ndugu,...
yote aliofanyiwa YESU yalitabiliwa na mitume waliofunuliwa na MUNGU mf:isaya,..sasa wewe unapotosha watu kuwa hamna Mungu,...
umepotoka ndugu,...
MUNGU YUPO Na evidence ni;
wewe umeumbwa na unapumua hiyo pumzi imetoka wapi ni MUNGU ndugu,...

pili,..utakufa tu wewe na jeuri yako ya uzima na kutangaza hakuna Mungu..
kitendo cha kufa ni evidence ya kuwa YAHWE yupo,.ambaye alikucreate wewe na aliye create ndo mwenye uwezo wa kukudestroy na kuchukua nafsi yake
hapo utakapofika kwake ndo utajibu vizuri..,..
jichunguze ndugu unatumiwa na shetani kuhubiri kuwa hamna MUNGU,...
MUNGU AKULEHEMU

Angalia unaweza ukaona kawaida unayoyaandika ila madhara yake ni makubwa,..
AKILI ZA KUGOOGLE CHANGANYA NA ZAKO,..MUNGU YUPO
 
The churches don't permit their followers to have any real truth and knowledge because that would empower the people too much so they spoon feed them kiddie stories, half truths, distortions and even lies and the followers value it highly even though they must spend the rest of their lives just making sense of it.
TOA mfano wa hili,..
unapotosha ndugu,,....
mfano???????????//
 
Which God are you talking about exactly?If is the one Outside Nature that many claims that is the one controlling it,then simple,we can't challenge him,He doesn't exist.How can a driver drive a bus while is outside of it?
yaani Mungu hayupo duniani,..???,..wakati ye ndo ameumba dunia na vyote vilivyomo,..
we jamaa unatumiwaa na shetani
 
kama mnaemzungumzia ni mungu na sio MUNGU,..sawa
MUNGU Yupo na ndiye atakayehukumu ulimwengu,..
nyinyi jidanganyeni na kupoteza watu wenye imani haba,,..
kumuamini MUNGU ni wajibu wa mtu,..
mwanadamu alipewa nafsi huru na kufanya anachotaka,..
ila angalieni msimdhihaki MUNGU,.MUNGU hazihakiwi hata siku1,.
huo uzima usiwape jeuri,..unamwisho huo uhai,..
RELIGION

What is the basic purpose of religion?

Religion is designed to focus the people's attention and energy on a single, unchanging, uncompromising and so called god who allegedly created an inferior human race just for some extra companionship and love for himself and then supposedly foisted a set of oppressive and in some cases arbitrary rules on them, which if broken would be met with unimaginable punshment.(of which death is the first stage to the ultimate punishment.

This keeps the followers in a continuing state of fear and compliance.(simply in other words,they worship what they fear,probably death and not the so called god.

They are afraid to question the intentions of this invisible being and they are afraid of even expressing their own individuality in many cases. Christians and others are taught that they have virtually no power to do anything except pray, worship and do good deeds.

They are taught to practice self denial and are told that their own will is totally irrelevant. Religious followers believe that they are yielding their will over to a benevolent cosmic individual who has single-handedly created the whole universe and has their best interests at heart when in fact they are handing over their will and freedoms to hidden groups of religious elites for the elites own personal gains.

It appears that religion must constantly degrade and humiliate its followers in order to glorify and elevate its god. Unfortunately many people appear eager to give away their power to authority and seem to have a need and even a desire to be ruled and disciplined by it.

Worshiping the so called gods is futile and is nothing more than an ancient primitive custom practiced by weak minded and superstitious people. It has no place in the 21st century. The reason we have life in this world is to experience life in this world, (naturans/nature naturing) not to spend our entire lives studying an old book, looking up to the sky and worshiping an invisible ruler in another realm.

The main method by which religion followers in particular are trapped and deceived is with the quran stories and messiah or saviour story. This is linked to the 'original sin' story which is designed to impose a large amount of guilt onto the whole of humanity. The believers are then so grateful that they have been saved by the son of God nearly 2000 years before they were born that in some cases they abandon all reason, logic and good judgment to obey and worship this god and his son.

Anyone who believes this stories is indeed lost i.e believing that a god would send his only son to help us, only to see his son get tortured and murdered, and then instead of unleashing all his wrath, simply absolve us from all crimes past and present, is pure madness to say the least(referring more to Christianity since its the core of most middle age religions, Islamic it started just yesterday around year 650.

Where is the lesson for us in that? What has been achieved? There is no lesson or purpose because it's all about mass psychological enslavement and disempowerment.

The so called god that we are expected to worship is undoubtedly just a dictator strawman concocted by the religous elites for the purpose of controlling the masses.

If there is a prime creator in this universe then it is unlkely that he would interfere and impose on us by foisting his aurbitrary laws, let alone need and demand our frivolous worship and blind obedience.

Neither of those things requires any level of mental aptitude or creativity. The intelligence and skills that's been given to many has gone totally to waste.

Many have lowered themselves to the pointless practice of hero worship.

Furthermore, Christianity, Islam and a few other religions are polarized religions. They are polarized against each other. One is believed to be good and the other is seen as bad. The funny thing is, is that each one thinks that their's is good and the other's is bad. In most ways they're both bad. The only good kind of religion is a neutral and all loving one.

Polarized religions have been devised by influential elite leaders to play the people off against each other. That way the elite can defeat and enslave the population practically without lifting a finger.

Religion is like a drug to some. And they need a 2000 year old hero to save them - from themselves that is!!

The churches don't permit their followers to have any real truth and knowledge because that would empower the people too much so they spoon feed them kiddie stories, half truths, distortions and even lies and the followers value it highly even though they must spend the rest of their lives just making sense of it.

The irony is that religion is pretty much man made, so mankind has really brought this onto themselves.

The religious elites are not totally to blame because many people actually enjoy listening to mystical sounding stories, performing rituals, customs and traditions, playing polarity roles and dramas and waging battles against what they perceive to be a devil boogie man. They also have a secret fetish to be dominated and ruled with an iron fist by a supreme ruler or king.

After all these centuries people still haven't learned to take back their power and start taking responsibility for themselves .

IS THE SO CALLED GOD EXIST?

What is 'GOD'??

Have you have ask yourself this question? technically,if your a religion follower you have never do so and if you will always choose to be blind,you will never will.

Yes,you are afraid of sinning!your holy books tells you not to ever question your so called god existents,is this sin big than ending other innocent living things life? Is it true questioning your so called god power a big evil than that of jihad??! Blind people surely deserve being 'vivutio vya utalii', they are amazing!!

Baruch Spinoza wrote a letter to Henry saying,"as to the view of certain people that I identify god with nature (taken as a kind of mass or corporeal matter), they are quite mistaken".

For Spinoza, our universe(cosmos) is a mode under two attributes of Thought and Extension meaning god is natura naturans(nature naturing) and not natura naturata(nature natured{created}) that is a dynamic nature in action, growing and changing, not a passive or static thing, and here comes "TIME"(infinity loop)'past, present, future'/'negative, neutral, positive',and "SPACE"

So Is it true that there a white bearded old man up there creating and presiding over everything?

If there is then what are all the zillions of other smart and creative souls doing in the cosmos besides sitting on their hands?

For millennia people have been asking this question but there is one thing that some have thought might be the answer, and that is that maybe collectively WE are the so called God.Powerful and creating our own stupid destinies with the power of our mind.

God might be like a computer CPU and we might be the millions of transistors inside it.

There is no master transistor (God) which gives life to all the others and on which all the others depend. We each function independently and also as one. One of the transistors (Jesus) did possibly emerge briefly to show us an example of a better way to operate but we are all equally part of the CPU as was he.

Essentially we could be God's guts.

Why would we need a big master when in the higher realms (which could be our destination), we will know everything and we will be able to govern ourselves?

Briefly,the so called god(the personal god) exist in ones thought,and only in one's thought.The holy books are twisted that it takes a free thinker to understand the truth about the origin of the universe.The only God that exists is the two opposite forces that holds the universe together.

People should stop worshiping death and start to understand the Mother Nature, also people should stop think that 'tumetokea tu from no where', every force as a source. People should start thinking out of the religion scope, especially we Tanzanians, we should stop believing by inheriting, that is Blindness!

All over the world mysterious symbols are being discovered that may hint to an ancient advanced knowledge of the very structure of creation. Did our ancestors hold the key to unlimited energy? Yes,Most biblical miracles based on a scientific principle of magnetism, Is it fundamentally possible to tap into the vacuum?

These question and more come to light as you take a closer look at those symbols and begin to decode them,most succeeded people they stopped being spoon fed and solved the myths.

There is a vast of knowledge out there that is considered as 'THE FORBIDDEN KNOWLEDGE', trust me, going to the so called holy houses wont solve your problems forever! Enslave your self and seek the true knowledge.

We really have no real need to be ruled and dictated. Slavery was already Abolished, Stop creating The So called god and you will be free.
kama mnaemzungumzia ni mungu na sio MUNGU,..sawa
MUNGU Yupo na ndiye atakayehukumu ulimwengu,..
nyinyi jidanganyeni na kupoteza watu wenye imani haba,,..
kumuamini MUNGU ni wajibu wa mtu,..
mwanadamu alipewa nafsi huru na kufanya anachotaka,..
ila angalieni msimdhihaki MUNGU,.MUNGU hazihakiwi hata siku1,.
huo uzima usiwape jeuri,..unamwisho huo uhai,..
Inahuzunisha sana kumkataa MUNGU,...
Mungu awasamehe sababyu shetani anawatumia kupenya roho chafu kwenu,..
 
Soma vizuri ulichokiandika.

"Sasa wewe umeshindwa ku
prove yupo. Sawa.
Unashindwa hata kuondoa
contradictions zinazosema
kwamba mungu huyu hawezi
kuwepo?"


Na kuhusu kuondoa contradiction bado hujaeleza ni contradiction kwa kigezo kipi,maana kusema dunia ina maovu halafu mungu kasema ana upendo ndiyo vp iwe mungu kajipinga?
Nilichoandika hapo hakina uhusiano na unachosema.

Unachosema wewe ni kwamba ukiprove mungu yupo utakuwa umeondoa contradiction, nilichokuandikia mimi ni kwamba hili suala lina level mbili, ya juu kabisa, ya kuthibitisha kwamba mungu yupo, halafu kabla ya kufika hapo kuna kuondoa contradictiins. Ndiyo nikakuuliza, umeshindwa kuthibitisha mungu yupo (the final part) , sasa mbona unashindwa hata kuondoa contradictions (the preliminary part).

Kama umeshindwa kuelewa hilo tu, siwezi kushangaa una imani potofu kwamba mungu yupo.

Mungu ambaye nature yake ni upendo usio kikomo, mwenye uwezo usio kikomo na ujuzi usio kikomo ana kila sababu, uwezo, ijuzi na upendo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani.

Kama kweli yupo na kaumba ulimwengu huu, kwa nini kaumba ulimwengu ambao maovu yanawezekana wakati ana kila uwezo, ujuzi, sababu na upendo wa kuumba ulimwengu ambao maovu na mateso hayawezekani?

Ulimwengu jinsi ulivyo unam contradict mungu wenu.
 
your wrong ndugu,..
Mungu alimtuma YESU kuja ulimwenguni kukomboa kizaz kilichopotea
sababu hayo uliyoyaandika wewe leo na kupotosha watu
yalikuwepo tangu zamani,,,...
YESU Alikuja kukomboa kizaz kilichopotea na aliteseka kwasababu wanadam walikataa kumuamini na wakamtesa na wakamuua Yesu na alipokufa alienda kuzimu kuchukua funguo za mamlaka kutoka kwa ibilisi,..ALIKUFA ILI MAANDIKO YATIMIE ndugu,...
yote aliofanyiwa YESU yalitabiliwa na mitume waliofunuliwa na MUNGU mf:isaya,..sasa wewe unapotosha watu kuwa hamna Mungu,...
umepotoka ndugu,...
MUNGU YUPO Na evidence ni;
wewe umeumbwa na unapumua hiyo pumzi imetoka wapi ni MUNGU ndugu,...
pili,..utakufa tu wewe na jeuri yako ya uzima na kutangaza hakuna Mungu..
kitendo cha kufa ni evidence ya kuwa YAHWE yupo,.ambaye alikucreate wewe na aliye create ndo mwenye uwezo wa kukudestroy na kuchukua nafsi yake
hapo utakapofika kwake ndo utajibu vizuri..,..
jichunguze ndugu unatumiwa na shetani kuhubiri kuwa hamna MUNGU,...
MUNGU AKULEHEMU,..
Angalia unaweza ukaona kawaida unayoyaandika ila madhara yake ni makubwa,..
AKILI ZA KUGOOGLE CHANGANYA NA ZAKO,..MUNGU YUPO
Kwa hiyo kuna kizazi kilimpotea mungu?

Mungu ilikuwaje akaruhusu jizazi kimpotee?

Alikuwa kalala? Alikuwa mzembe? Au alikuwa amelewa?
 
Your misinterpreting the term god,god is just a variable assigned to something else.god='Something else' and not god=='Something else',('=' refers 'assignment' and '==' refers 'is equal to') the existence of god your talking about is the "god=='Something else'",the god that holy scriptures are portraying.the question comes,how can you oppose a lie an yet accept the consequences of lie?
Uwiiiiii....kweli the world is near tribulation...i see storm coming...it funny how you find this type of people who want to impeach God and even hilarious those who question his existence...in this age ignorance is choice..
 
Back
Top Bottom