Nj nzuri mno ila amalize isije kua kama ile japo huyu jammaa yupo Chizi MaarifaShukrani sana mamy ngoja nitulie niisome vizuri!! Bantu Lady KING Soro mmash Moneytalk kitru kingineee hiki hapaa
Kwakweli ajitahidi kumaliza asituangushe kama Stivu!Nj nzuri mno ila amalize isije kua kama ile japo huyu jammaa yupo Chizi Maarifa
Nashauri uoge uvae nguo nyepesi ukae sehemu nzuri na bites ujitanue ndio usomeShukrani sana mamy ngoja nitulie niisome vizuri!! Bantu Lady KING Soro mmash Moneytalk kitru kingineee hiki hapaa
Eti eehh!! Nishaogaa wacha niagize popocorn kwanzaa!!Nashauri uoge uvae nguo nyepesi ukae sehemu nzuri na bites ujitanue ndio usome
Mbona kututisha sasa wakishua ππ
Shukrani mamii Antonnia πππShukrani sana mamy ngoja nitulie niisome vizuri!! Bantu Lady KING Soro mmash Moneytalk kitru kingineee hiki hapaa
Shida ilianzia hapaHapa ndipo ulipopigwa na kitu kizito kama sikosei.
"Kuna kipindi ofisini kukawa na project ya kuzunguka almost nchi nzima so ikabidi nisafiri so tulikuwa nje ya dar kama miezi 2 hv kazi moja ilikuwa ya kuchosha sana nakumbuka nilitoroka kama mara 2 kurudi dar lakini sikuonana nae tulipisha nay eye alikuwa amesafiri kwenda mkoani kikazi ila fungua nyingine ya nyumbani pale alikuwa nazo so alikuwa anaenda kufanya usafi na sometimes kupumzika akibioreka.
Baada kama ya mwez since kurud dar akaniambia ni mjamzito nikafurah sana"