The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

Sitashangaa muanzisha huu uzi akiingia mitini maana ndio kawaida yao
 
Hapa ndipo ulipopigwa na kitu kizito kama sikosei.




"Kuna kipindi ofisini kukawa na project ya kuzunguka almost nchi nzima so ikabidi nisafiri so tulikuwa nje ya dar kama miezi 2 hv kazi moja ilikuwa ya kuchosha sana nakumbuka nilitoroka kama mara 2 kurudi dar lakini sikuonana nae tulipisha nay eye alikuwa amesafiri kwenda mkoani kikazi ila fungua nyingine ya nyumbani pale alikuwa nazo so alikuwa anaenda kufanya usafi na sometimes kupumzika akibioreka.
Baada kama ya mwez since kurud dar akaniambia ni mjamzito nikafurah sana"
 
dah ngoja nikae kimtengano alafu ni usabuskraibu huuzi na kikombe gahawa
 
Mkuu fanya jambo umalize stor tamu sannaa
 
Shida ilianzia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…