It may not be possible to repair the damage Ive done, but I want to do my best to try.
I need to focus my attention on being a better husband, father, and person.
Sounds great ah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It may not be possible to repair the damage Ive done, but I want to do my best to try.
I need to focus my attention on being a better husband, father, and person.
Real balck woman wana sifa zipi ambazo wanawake wengine hawana?
Naaah.They mean business, in everything they do!
Jamani wazungu wakati wote wanachuki na ngozi nyeusi hasa inapoonekana ina mafanikio kuwazidi wao.
Kumbe kuna tofauti kati ya mchungaji na padre? Nini tofauti zao anyway?Huyo kawa Padre lini? Mimi najua yeye ni Mchungaji...
What a shame! No more high TV ratings in Golf. Goodluck with your healing Tiger.
Kumbe kuna tofauti kati ya mchungaji na padre? Nini tofauti zao anyway?
Mara ya mwisho kuangalia niliona Marekani ina raisi chotara, nusu mweusi na nusu mzungu. Raisi huyu, Obama, aliweza kushinda majimbo mengi yenye wazungu wengi SANA kuliko weusi au minorities wote kwa ujumla. Kwa mfano, Obama alishinda majimbo ya Wisconsin, Iowa, Illinois, Indiana, Virginia, Washington, Oregon, North Carolina, Minnesota, Nevada, Colorado na mengineyo. Aliweza kuwashinda wazungu kama Hillary Clinton, John Edwards, na John McCain.
Kwa vile wazungu wakati wote wanachukia ngozi nyeusi hasa ile yenye mafanikio kushinda wao, nashangaa ilikuwakuwaje chotara aliye nusu mweusi na nusu mweupe akawashinda wazungu. Haiwezekani kabisa. Lazima Obama aliiba kura za wazungu.
Ahhh! Jamani mbona ni majonzi makubwa! Hii ajali kweli au mikono ya watu!? Mwili umeingia baridi sana ahhhhh!
Kama umesoma vizuri, hayo maandishi ambayo yanadaiwa kuwa ni ya Mchungaji(na siyo Padre) pia yamechongwa!Its kinda joke for your in4mation!
Mara ya mwisho kuangalia niliona Marekani ina raisi chotara, nusu mweusi na nusu mzungu. Raisi huyu, Obama, aliweza kushinda majimbo mengi yenye wazungu wengi SANA kuliko weusi au minorities wote kwa ujumla. Kwa mfano, Obama alishinda majimbo ya Wisconsin, Iowa, Illinois, Indiana, Virginia, Washington, Oregon, North Carolina, Minnesota, Nevada, Colorado na mengineyo. Aliweza kuwashinda wazungu kama Hillary Clinton, John Edwards, na John McCain.
Kwa vile wazungu wakati wote wanachukia ngozi nyeusi hasa ile yenye mafanikio kushinda wao, nashangaa ilikuwakuwaje chotara aliye nusu mweusi na nusu mweupe akawashinda wazungu. Haiwezekani kabisa. Lazima Obama aliiba kura za wazungu.
Obama ni 'mzungu'!
Hakika, anaweza ku-claim uzungu just as much anavyo-claim uweusi.