The Top 10 Most Intelligent People in the World

The Top 10 Most Intelligent People in the World

wale wa special school njooni huku,mnambwela mbwela jukwaani kujiona mna akili na Ma A yenu ya makaratasi yasiyo na maana kwa taifa(mnaboa sana), mpaka viwembe vya kunyolea v.uzy tu tunaagiza China halafu unaskia lijitu oo mi kichwa!

Punguza munkari mkuu
 
kijiwe chake huyo somali kiko pale al- uruba hotel,mtaa wa mkunguni-kkoo,utamkuta yeye na jamaa zake wana chew mirungi 24/7 kama mnyama mbuzi vile.lol

Mkuu umenikumbusha ule mtaa na lile jengo karbia pale (gold plaza) ni wasomali watupu hao ndo wanaotuchora.
 
Terence tao ni sheeda akiwa mwanao kazi unayo.
 
wale wa special school njooni huku,mnambwela mbwela jukwaani kujiona mna akili na Ma A yenu ya makaratasi yasiyo na maana kwa taifa(mnaboa sana), mpaka viwembe vya kunyolea v.uzy tu tunaagiza China halafu unaskia lijitu oo mi kichwa!

Haaaaaa nimechekaje mkuu inaonekana ulikuwa kilaza,ila umenichekesha sana,ila mie kichwa ujue
 
Kuna jamaa mmoja alisoma Mzumbe Sekondari miaka ya nyuma, alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kusolve Pure Maths...kimsingi hakuna swali la hesabu lililokuwa linakatiza mbele yake iwe kitabu chochote....

Pia miaka ya nyuma pale Makongo Sekondari kulikuwa na mwalimu mmoja akiitwa Mzee Yona Kazibure. Kabla ya kuwa mwalimu pia alipata kuwa Fundi mitambo RTD na kabla ya hapo alipelekwa na Serikali kusoma nchini Uingereza.
Akiwa nchini Uingereza alipata kusoma na mwanaFizikia maarufu ambaye ni mtunzi wa vitabu almaarufu kama NELKON kwa elimu ya A-Level.
Inaaminika Tanzania haijawahi kutoa mtaalamu wa masuala ya Fizikia kama huyu jamaa. Kwa ubabe wa Kambarage alichoma vyeti vya huyu bwana kama alivyopata kuwanyanyasa wasomi wengine kama kina Tuntemeke.

Mifano ipo mingi...naungana nawe kuwa tatizo ni mfumo wa nchi yetu.

Mzumbe ni emily patrick nn mkuu
 
Hamna mwafrika hata mmoja. Nilitegemea mtu km kiwete awemo coz tayari ni dr alafu ana phd
 
Serikali inampango gani na wanafunzi walifauru kidato cha nene
Mpaka sasa wabafunzi hajapangiwa shule za kwenda na mda ndo unazidi kwebda na watapewa mda mchache wakujiandaa kitu ambacho sio sahahi
 
Ila katika hao wote hakuna Billionaire hata mmoja. Wote wana hela za kubadilishia mboga tu. Wenye hela nyingi wengi wala hawana akili nyingi. Wana akili za kawaida tu.
 
KWANI IQ NDIO NINI?....MBONA SIONI KITU CHA AJABU HAPO?...HATA KWETU KUNA WATOTO WANAZALIWA WANAONGEA SEUSE HAO MIEZI 6 TUU...NINI KIJERUMANI KICHINA SIE WATOTO WETU WANANENA HADI KWA LUGHA ZA MALAIKA....

YALEYALEEEE...KUNYA ANYE KUKU MZUNGU TUKINYA SIE BATA WAAFRIKA TUNAAMBIWA TUME-HARAAAAAAA.....IQ NI UJINGA MTUPU..MTU ANAKUWA NA IQ KWA KUTOFUNGWA CHESS?...MBONA SIE PALE KWA MJEE JAMBA MAENEO YA MCHAMBA WIMA KIJIWE CHA BAO MZEE SAIDI BWABWAJA HUU MWAKA WA 40 HAJAWAHI KUFUNGWA BAO NA MTU YEYOTE....AU KWA VILE SIE HATUPIGI MAYOWE INAMAANA HATUUMII KISA WAO WANALIA KWA SAUTI NDIO WANAUMIA ZAIDI.

UKOLONI MWENGINE IN MAKINGI....YALE YALEEE YA MZUNGU KUGUNDUA ZIWA VICTORIA NA MLIMA KILIMANJARO UTADHANI ALITOKA NAVYO ULAYA AKAVILETA KWA WACHAGA NA WASUKUMA KISHA AKAGUNDUA YEYE.

DONT BELIEVE EVERYTHING YOU READ IS REAL...by 2pac.

Hahahahaaaaa we niouma,hyo ya mze Said mi sina mbavu😀
 
Back
Top Bottom