The Top 10 Most Intelligent People in the World

The Top 10 Most Intelligent People in the World

Phd miaka 20 wakati hapa kwetu ndio "vichwa" wako mzumbe na kibaha wanakariri hesabu,full professor miaka 24,ndio "vichwa" wetu baadhi wanapata degree yao ya kwanza ya BAF kutoka mzumbe.
 
Have you ever met anyone who knows everything about anything? They know it all and we mean that not in the negative sense of the term. They are some of the smartest people in the world and they have the IQ scores to back it up. They can answer probably anything from simple arithmetic to the most complicated rocket science question. Here is a list of the top 10 most intelligent people in the world.
As far as ndani yake sjakutana na majina ya watu kama akina Bill Gates, Michael Dell, Steve Jobs, Mark Zuckerberg, Nelson Mandela and the like, then I can consider this the whole IQ thing is nonsense... piece of trash with no or little value to the world community.
 
Kwa watu wa bibilia ;-
1.kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa,
2.Mshike sana elimu wala usimwache aende zake.

Ila apa kwa upande wa pili mm nikajiuliza "hasemi kwamba ukimwacha nini kitafaatia"
 
Mnawataja wakina Mwandosya kwavile ni wanasiasa wa magamba lakini kuna kichwa kimoja ambacho hakitaki publicity nae ni none other than Prof. Awadh Mawenya ; huyu ndio mwanzilishi wa faculty of engineering UDSM na ndiye aliye warecruit wote mnaowaita vichwa vya engineering hapa Tanzania!! The guy is a GENIUS but very low key and simple!! IQ yake ingeweza kuwa juu ya hao mliowaorodhesha na ni MTANZANIA wa Moshi!!!!

mbraaa
shimboni mbe
 
Most intelligent


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
from #10- #1 no black with Hi IQ!!,why?. standardized xenophobic rankings.
 
IQ ni kipimo wametengeneza wao na wanajipa tu, kwanin hakuna waafrika??

Kuna whites superiority complex. Kila kitu wanachoanzisha wanahakikisha mweusi haingii top 10.

Nina uhakika kuna waafrika hatare wangejaza hiyo list sema mfumo uliwakataa toka kitambo
 
mbona Nyerere hayumo? hii list ni fake.
 
Nisingependa kujua wana IQ kubwa kiasi gani, lakini ningependa kujua ni matajiri kiasi gani na mimi nijifunze kutoka kwao kuwa wametumiaje akili zao kupata utajiri huo.
 
Hawa waliotoa hii list ni mabwege tu...
Waache upumbavu wao,wanapaka mafuta kwa mgongo wa chupa....!!

Wazungu nao ni matahira tu...
Ni kivipi waseme;
"Have you ever met anyone who knows anything about every thing,they know it all"

Tena waache kabisa kuchezea akili za watu, sheeenzzzz...

10.Kajamaa kamesoma soma MIT ,kajua vialgebra kidogo,kaingia kuigiza,kashinda vituzo vya uigizaji etii nae most intelligent....

09.Mdada;kaandika vimagazeti,masomaji wake wanamuuliza maswali ya "anti nisaidie",nae wanamregard kama most intelligent....

08.Jamaa kaanzisha kajumuiya ka wasomi,afu anawatungia maswali ya hapa na pale eti nae kawa most intelligent....khaaa

07.Mkaka,kacheza draft na wapuuzi wenzake,tena bahati mbaya alishakutana na watabe wakamchapa sijui super,nae ni most intelligent....khaaa

06.Huyu mkoreshia kawakusanya wasomi wenzake,wakaanza vimichezo vya kuchora chora copy and paste za Leonardo Da Vinci,nae ni intelligent.....khaaa

05.Huyu ndo kanivunja mbavu mpaka nimemwaga supu yangu,eti baunsa wa mlangoni,mara bar medi,mara mtunisha misuli,kaingia kwenye vipindi vya TV,kajitahidi kujibu maswali,kawa most intelligent...khaaa

04.Huyu dokta kajizolea vidigrii vichache nae kawa most intelligent;vipi yule prof. wa sierra leone,mwenye PhD kama
6 za kudomea....khaaaa

03.Kidogoo huyu mkorea ndio alikuwa anadeserve kuwemo kwenye hii list,ana vitu vya kipekee tofauti na hao wenzake....

02 na 01;hakuna kitu kabisa hawa watoto,
inaonekana hiki chuo cha Pincenton kinatoa degree za fasta ili kipate sifa,kijizolee umaarufu wa kijinga....
Mbona yule dogo (black-american)aliyekula PhD pale Havard with only 22,mbona hawajamuingiza kwenye list...
Huyu mtoto CORTLIN WICKLIFF,ndiye amevunja record ya Dr.Martin Luther King jr. kwa kuwa mwafrika mdogo kula gamba la PhD,tena kaivunja mbali 26 yrs for 22 yrs...
Eti wakati wana miaka mi3 walianza kusolve hesabu,wakati kijana wickliff at age of 2½,alikua anachezea umeme kama mhandisi wa umeme...

Hawa wazungu waache kabisa kuchezea akili za watu;
Mswahili bila kusagia hapati raha. Hongea, roho kwatu
 
Phd miaka 20 wakati hapa kwetu ndio "vichwa" wako mzumbe na kibaha wanakariri hesabu,full professor miaka 24,ndio "vichwa" wetu baadhi wanapata degree yao ya kwanza ya BAF kutoka mzumbe.

ha ha ha eti wanakariri hesabu!!
 
ha ha ha eti wanakariri hesabu!!

Tena sio kukariri hesabu,wanakariri maswali ya hesabu yatakayotoka necta wapige a waachane nayo..wenzetu 3 yrs old anapiga ma differential equations,complex no, sijui na makitu gani. Hatari sana.
 
They are Intelligent people,but one thing made me to believe is their ability in mathematics from the age of 3yrs ......to applied Mathematics in changing the world of Science & Technology.(Mathematics is everything we shouldn't hate it)
 
albert einstein hayupo hapa?

Hii list ya uongo..

hahah kunauwezekano naliishi mikaa hiyo na hiko kipimo cha IQ kilichotumika hapo hakikuwepo.

As far as ndani yake sjakutana na majina ya watu kama akina Bill Gates, Michael Dell, Steve Jobs, Mark Zuckerberg, Nelson Mandela and the like, then I can consider this the whole IQ thing is nonsense... piece of trash with no or little value to the world community.

Duh!
nadhani kuna kitu unashindwa kutofautisha, embu soma tena mada kuanzia mwanzo, utagundua hii topic imekava wanasayansi tu na wataalamu. na sio freedom fughters na wanasiasa na wanaharakati.
 
As far as ndani yake sjakutana na majina ya watu kama akina Bill Gates, Michael Dell, Steve Jobs, Mark Zuckerberg, Nelson Mandela and the like, then I can consider this the whole IQ thing is nonsense... piece of trash with no or little value to the world community.

Kwa ulewa wangu hapa anaongelea watu wenye IQ kubwa sio majinias. unajua IQ ni kipimo cha mtu kujifunza na akaelewa vizuri sana na kwa haraka kile alichojifunza/fundishwa (kukariri ikiwemo) wakati jinias ni mtu anayeelewa vitu naturally na kuvumbua vitu vipya (formula na technolojia etc.) hapa ndo utawakuta akina Gates, Einsten, Isaac etc. ndo maana inasademekana IQ ya Einsten ilikuwa kati ya 120-160 ya Newton below 130 ila walivofanya usipime.
So IQ ni kama kipimo cha memory au kukalili tu.
 
Back
Top Bottom