The Top 10 Most Intelligent People in the World

The Top 10 Most Intelligent People in the World

Kuna jamaa mmoja alisoma Mzumbe Sekondari miaka ya nyuma, alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kusolve Pure Maths...kimsingi hakuna swali la hesabu lililokuwa linakatiza mbele yake iwe kitabu chochote....

Pia miaka ya nyuma pale Makongo Sekondari kulikuwa na mwalimu mmoja akiitwa Mzee Yona Kazibure. Kabla ya kuwa mwalimu pia alipata kuwa Fundi mitambo RTD na kabla ya hapo alipelekwa na Serikali kusoma nchini Uingereza.
Akiwa nchini Uingereza alipata kusoma na mwanaFizikia maarufu ambaye ni mtunzi wa vitabu almaarufu kama NELKON kwa elimu ya A-Level.
Inaaminika Tanzania haijawahi kutoa mtaalamu wa masuala ya Fizikia kama huyu jamaa. Kwa ubabe wa Kambarage alichoma vyeti vya huyu bwana kama alivyopata kuwanyanyasa wasomi wengine kama kina Tuntemeke.

Mifano ipo mingi...naungana nawe kuwa tatizo ni mfumo wa nchi yetu.

Duh!!! Kambarage matatizo sana.
 
Heeee Mbona mi sipo??? Na wala sikumbuki kama hao waliofanya huo utafit walikuja kuchukua details zangu?? Labda hii list ni ya huko kwao tu sio ya dunia nzima,ingekuwa ni ya dunia nzima NA MIMI NINGEKUWEPO TU!!!
 
dont be so mean with your race its just a list of 10 people


Not a matter of saying a list of 10 people....
They've meant top 10 of most intelligent people on earth,why not blacks,why not Africans...
Long list of Americans..

Huu ni ubabaishaji tuuu...
 
Walau sasa hivi umeandika vyema kuliko ulivyofanya pale awali...

hoja yangu,ni kwamba kumekua na kasumba ya baadh ya wa2 humu kujiona wana IQ kubwa kwasb tu kasoma special school,k2 ambacho sio kweli na potofu kabsa mkuu,kuna wa2 mtaan wana inteligency kubwa sn na hawajasoma hzo shule,embu jiulize magwiji kama Archimedes,plato walisoma shule gan?!albert einstein alipenda kufanya kinyume kabsa na alichofundishwa na walim na hatimae kugraduate na maksi za chn kabsa,lkn huyu huyu aliyefanya mageuz makubwa ya kisayansi.NB..kwa kuhtimisha IQ ya m2 popote duniani haitokani na shule wala makazi.
 
FaizaFoxy 192 IQ

Hiyo list imechakachuliwa, kama kawaida ya Wabongo.
 
Mbona cjaona ngozi nyeusi?GREAT THINKERS WA HUMU NDANI MBONA CJAONA HATA MMOJA??
 
KWANI IQ NDIO NINI?....MBONA SIONI KITU CHA AJABU HAPO?...HATA KWETU KUNA WATOTO WANAZALIWA WANAONGEA SEUSE HAO MIEZI 6 TUU...NINI KIJERUMANI KICHINA SIE WATOTO WETU WANANENA HADI KWA LUGHA ZA MALAIKA....

YALEYALEEEE...KUNYA ANYE KUKU MZUNGU TUKINYA SIE BATA WAAFRIKA TUNAAMBIWA TUME-HARAAAAAAA.....IQ NI UJINGA MTUPU..MTU ANAKUWA NA IQ KWA KUTOFUNGWA CHESS?...MBONA SIE PALE KWA MJEE JAMBA MAENEO YA MCHAMBA WIMA KIJIWE CHA BAO MZEE SAIDI BWABWAJA HUU MWAKA WA 40 HAJAWAHI KUFUNGWA BAO NA MTU YEYOTE....AU KWA VILE SIE HATUPIGI MAYOWE INAMAANA HATUUMII KISA WAO WANALIA KWA SAUTI NDIO WANAUMIA ZAIDI.

UKOLONI MWENGINE IN MAKINGI....YALE YALEEE YA MZUNGU KUGUNDUA ZIWA VICTORIA NA MLIMA KILIMANJARO UTADHANI ALITOKA NAVYO ULAYA AKAVILETA KWA WACHAGA NA WASUKUMA KISHA AKAGUNDUA YEYE.

DONT BELIEVE EVERYTHING YOU READ IS REAL...by 2pac.

Kula 5 Mkuu! IQ kitu gani? Kisa Mzungu kasema? Tuvijali na kithamini vya kwetu bhana! Hao wooote waliotajwa ni hovyo tu! Humu nchini wamejaa saaaaana tena sana waliowazidi hao wazungu!

Hizo ni ngonjera na promo zao, nasi tuna zetu!
 
Nakubali kwamba kuna watu wana uwezo kwenye mambo mbalimbali ilasi pendi neno "MOST...IN THE WORLD" afadhali watumie waliobahatika kujulikana/kupata nafasi ya kufanya hizo test au mashindano na kupata viwango vya juu.
 
Kuna jamaa mmoja alisoma Mzumbe Sekondari miaka ya nyuma, alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kusolve Pure Maths...kimsingi hakuna swali la hesabu lililokuwa linakatiza mbele yake iwe kitabu chochote....

Pia miaka ya nyuma pale Makongo Sekondari kulikuwa na mwalimu mmoja akiitwa Mzee Yona Kazibure. Kabla ya kuwa mwalimu pia alipata kuwa Fundi mitambo RTD na kabla ya hapo alipelekwa na Serikali kusoma nchini Uingereza.
Akiwa nchini Uingereza alipata kusoma na mwanaFizikia maarufu ambaye ni mtunzi wa vitabu almaarufu kama NELKON kwa elimu ya A-Level.
Inaaminika Tanzania haijawahi kutoa mtaalamu wa masuala ya Fizikia kama huyu jamaa. Kwa ubabe wa Kambarage alichoma vyeti vya huyu bwana kama alivyopata kuwanyanyasa wasomi wengine kama kina Tuntemeke.

Mifano ipo mingi...naungana nawe kuwa tatizo ni mfumo wa nchi yetu.

Kweli mdau maana IQ nadhani ni zaidi ya hapo maana kuna mtu anaweza kuwa shuleless lakini reasoning capacity yake ni kubwa mno kiasi kwamba kama angepata fursa angekuwa yupo juu sana
 
Kula 5 Mkuu! IQ kitu gani? Kisa Mzungu kasema? Tuvijali na kithamini vya kwetu bhana! Hao wooote waliotajwa ni hovyo tu! Humu nchini wamejaa saaaaana tena sana waliowazidi hao wazungu!

Hizo ni ngonjera na promo zao, nasi tuna zetu!

acha kupalilia ujinga ndg,mfano huyo mkorea kaandika pepa 96 khs hydraulics,we mswahili ukiambiwa uandike hata pepa1 ya kwann ni maskini jicho linakutoka!
 
Duuhh katika wote hao me naona Terrence Tao ni nyo.ko aisee khaaa hizo fields za mathematics alizo specialize ni balaa sana..who does that??...the guy is bad news kwa kweli...
 
Back
Top Bottom