The Top 10 Most Intelligent People in the World

The Top 10 Most Intelligent People in the World

Mbona una hasira sana baba? Vipaji vipo havijapewa nafasi. Issue za kuagiza nyembe na toothpick uarabuni sio sababu ya kukosa watu wenye akili. Ni kwa sababu ya uongozi mbovu usioshaurika.

Iq hizi zipo simiyu huko, nani ataziona na kuzipima? Hao wamepata promo ya technolojia tu. Kama kitoto kinajua hesabu kuliko mwalimu huko tandahimba unadhani kitaexcel wapi? Kwao hamna hata computer ya kuchungulia!
Nahisi IQ yako ni 231
 
Mbona una hasira sana baba? Vipaji vipo havijapewa nafasi. Issue za kuagiza nyembe na toothpick uarabuni sio sababu ya kukosa watu wenye akili. Ni kwa sababu ya uongozi mbovu usioshaurika.

Iq hizi zipo simiyu huko, nani ataziona na kuzipima? Hao wamepata promo ya technolojia tu. Kama kitoto kinajua hesabu kuliko mwalimu huko tandahimba unadhani kitaexcel wapi? Kwao hamna hata computer ya kuchungulia!

Kuna jamaa mmoja alisoma Mzumbe Sekondari miaka ya nyuma, alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kusolve Pure Maths...kimsingi hakuna swali la hesabu lililokuwa linakatiza mbele yake iwe kitabu chochote....

Pia miaka ya nyuma pale Makongo Sekondari kulikuwa na mwalimu mmoja akiitwa Mzee Yona Kazibure. Kabla ya kuwa mwalimu pia alipata kuwa Fundi mitambo RTD na kabla ya hapo alipelekwa na Serikali kusoma nchini Uingereza.
Akiwa nchini Uingereza alipata kusoma na mwanaFizikia maarufu ambaye ni mtunzi wa vitabu almaarufu kama NELKON kwa elimu ya A-Level.
Inaaminika Tanzania haijawahi kutoa mtaalamu wa masuala ya Fizikia kama huyu jamaa. Kwa ubabe wa Kambarage alichoma vyeti vya huyu bwana kama alivyopata kuwanyanyasa wasomi wengine kama kina Tuntemeke.

Mifano ipo mingi...naungana nawe kuwa tatizo ni mfumo wa nchi yetu.
 
Hawa waliotoa hii list ni mabwege tu...
Waache upumbavu wao,wanapaka mafuta kwa mgongo wa chupa....!!

Wazungu nao ni matahira tu...
Ni kivipi waseme;
"Have you ever met anyone who knows anything about every thing,they know it all"

Tena waache kabisa kuchezea akili za watu, sheeenzzzz...

10.Kajamaa kamesoma soma MIT ,kajua vialgebra kidogo,kaingia kuigiza,kashinda vituzo vya uigizaji etii nae most intelligent....

09.Mdada;kaandika vimagazeti,masomaji wake wanamuuliza maswali ya "anti nisaidie",nae wanamregard kama most intelligent....

08.Jamaa kaanzisha kajumuiya ka wasomi,afu anawatungia maswali ya hapa na pale eti nae kawa most intelligent....khaaa

07.Mkaka,kacheza draft na wapuuzi wenzake,tena bahati mbaya alishakutana na watabe wakamchapa sijui super,nae ni most intelligent....khaaa

06.Huyu mkoreshia kawakusanya wasomi wenzake,wakaanza vimichezo vya kuchora chora copy and paste za Leonardo Da Vinci,nae ni intelligent.....khaaa

05.Huyu ndo kanivunja mbavu mpaka nimemwaga supu yangu,eti baunsa wa mlangoni,mara bar medi,mara mtunisha misuli,kaingia kwenye vipindi vya TV,kajitahidi kujibu maswali,kawa most intelligent...khaaa

04.Huyu dokta kajizolea vidigrii vichache nae kawa most intelligent;vipi yule prof. wa sierra leone,mwenye PhD kama
6 za kudomea....khaaaa

03.Kidogoo huyu mkorea ndio alikuwa anadeserve kuwemo kwenye hii list,ana vitu vya kipekee tofauti na hao wenzake....

02 na 01;hakuna kitu kabisa hawa watoto,
inaonekana hiki chuo cha Pincenton kinatoa degree za fasta ili kipate sifa,kijizolee umaarufu wa kijinga....
Mbona yule dogo (black-american)aliyekula PhD pale Havard with only 22,mbona hawajamuingiza kwenye list...
Huyu mtoto CORTLIN WICKLIFF,ndiye amevunja record ya Dr.Martin Luther King jr. kwa kuwa mwafrika mdogo kula gamba la PhD,tena kaivunja mbali 26 yrs for 22 yrs...
Eti wakati wana miaka mi3 walianza kusolve hesabu,wakati kijana wickliff at age of 2½,alikua anachezea umeme kama mhandisi wa umeme...

Hawa wazungu waache kabisa kuchezea akili za watu;
 
siku hizi watu hawaangalii tu IQ wanaangalia pia emotional intelligence(EI).Kuna vitu kama opportunity seeking, risk taking, desire for achievement,tolerance of ambiquity.Kuna watu wenye IQ kubwa lakini hawajafanya lolote la maana kwakuwa hawana EI.So IQ is not the end in itself.Look at all successful people they are not necessarily having great IQ but they must have great EI
 
mbona mwanamalundi hawajamweka??au akili za mwafrika kwao ni uchawi????mtu alitembea juu ya maji huyo
 
blablaaaa nyiiingi mwisho wa yooote tunakukumbuka kwa ulichofanya kwa jamii....mfano halisi : mimi baada ya kutoka kwenye hii thread sijui kama ntamkumbuka au kujali kuhusu yoyote apo kwenye iyo list...infact hata nnavoandika hapa sikumbuki ata sura zao...ila. namfaham bill gates (ambae hata hayupo kwenye iyo list ) namfaham steve jobs, wakina Martin Luther king, Mao wa china,Warren buffet nakadhalika, nimesoma calculus mno tu lakini sikumbuki nimeitumia wapi hadi sasa hivi kwenye kazi zangu..sana sana natumia - ,+,/ na x
 
Acha kuwa na hasira wewe...anayetoa uwezo wa kufikiri ni Mungu....

Walioweka grades za mashule na mitihani yenye kuchuja watu ni serikali...

Wanaopanga watu wa kwenda "special schools" ni serikali pia...

Sasa unapomtusi mtu anayefuata mfumo hilo wewe unaona ni sawa?

Kwa kukusaidia tu, kama unataka kupima uwezo wako wa IQ kuna sites nyingi tu zinazotoa tests...pima IQ yako huko

hoja yangu,ni kwamba kumekua na kasumba ya baadh ya wa2 humu kujiona wana IQ kubwa kwasb tu kasoma special school,k2 ambacho sio kweli na potofu kabsa mkuu,kuna wa2 mtaan wana inteligency kubwa sn na hawajasoma hzo shule,embu jiulize magwiji kama Archimedes,plato walisoma shule gan?!albert einstein alipenda kufanya kinyume kabsa na alichofundishwa na walim na hatimae kugraduate na maksi za chn kabsa,lkn huyu huyu aliyefanya mageuz makubwa ya kisayansi.NB..kwa kuhtimisha IQ ya m2 popote duniani haitokani na shule wala makazi.
 
Once again no african! Tuna matatizo

Waafrika hatumo kwasababu hatukuwemo kwenye SAMPLE yao walioichunguza IQ zao!! Naamini kabisa wapo waafrika wenye IQ ya kupambana na hizo hapo!! Angalia hata kwenye FORBES magazine huwa wanawaacha matajiri wengi sana kutoka Afrika kwenye orodha zao kwasababu hawawafahamu na sio kuwa hakuna billionares!!
 
hoja yangu,ni kwamba kumekua na kasumba ya baadh ya wa2 humu kujiona wana IQ kubwa kwasb tu kasoma special school,k2 ambacho sio kweli na potofu kabsa mkuu,kuna wa2 mtaan wana inteligency kubwa sn na hawajasoma hzo shule,embu jiulize magwiji kama Archimedes,plato walisoma shule gan?!albert einstein alipenda kufanya kinyume kabsa na alichofundishwa na walim na hatimae kugraduate na maksi za chn kabsa,lkn huyu huyu aliyefanya mageuz makubwa ya kisayansi.NB..kwa kuhtimisha IQ ya m2 popote duniani haitokani na shule wala makazi.

hahahahaaaaa
 
mimi yangu hapoo haipo ni 0.000000000000000000000000001 heheee kwa tz number 1
 
Mnawataja wakina Mwandosya kwavile ni wanasiasa wa magamba lakini kuna kichwa kimoja ambacho hakitaki publicity nae ni none other than Prof. Awadh Mawenya ; huyu ndio mwanzilishi wa faculty of engineering UDSM na ndiye aliye warecruit wote mnaowaita vichwa vya engineering hapa Tanzania!! The guy is a GENIUS but very low key and simple!! IQ yake ingeweza kuwa juu ya hao mliowaorodhesha na ni MTANZANIA wa Moshi!!!!
 
Back
Top Bottom