The Top 10 Most Intelligent People in the World

The Top 10 Most Intelligent People in the World

Hvvvv,iq inapimwa kwa kuangalia vigezo gani manake huku kitaa kuna maleyman lakini wanamakr money hatari kuliko waliosoma,sasa cjui nao hawa tunawapimaje
 
Wabongo kelele nyingi na siasa kibaooo! Kubalini wote vilaza bhaaaaassss make kimya, nani kapata Phd hapa bongo akiwa na 24 yrz?? Mtt akisoma tu comby ya sciense anaonekana kichwa wkt anasoma kwa kukariri! Mkubali hamna kitu
 
daah!! hv inamaana hakuna mwafrika mwenye mauwezo kama hayo maana cjamwona hata mmoja kwenye list mf:nyerere nkurumah na mandela hawa vp nao?
 
Personal life

Tao was a child prodigy,[SUP][2][/SUP] one of the subjects in the longitudinal research on exceptionally gifted children by education researcher Miraca Gross.[SUP][3][/SUP] His father told the press that at the age of two, during a family gathering, Tao attempted to teach a 5-year-old child arithmetic and English. According to Smithsonian Online Magazine, Tao could carry out basic arithmetic by the age of two. When asked by his father how he knew numbers and letters, he said he learned them from Sesame Street.[SUP][4][/SUP] Aside from English, Tao speaks Cantonese, but cannot write Chinese.

Tao exhibited extraordinary mathematical abilities from an early age, attending university level mathematics courses at the age of nine. He is one of only two children (besides Lenhard Ng) in the history of the Johns Hopkins' Study of Exceptional Talent program to have achieved a score of 700 or greater on the SAT math section while just 8 years old (he scored a 760).[SUP][5][/SUP] In 1986, 1987, and 1988, Tao was the youngest participant to date in the International Mathematical Olympiad, first competing at the age of ten, winning a bronze, silver, and gold medal respectively. He remains the youngest winner of each of the three medals in the Olympiad's history, winning the gold medal shortly after his thirteenth birthday. At age 14, Tao attended the Research Science Institute. When he was 15 he published his first assistant paper. He received his bachelor's and master's degrees (at the age of 16) from Flinders University under Garth Gaudry. In 1992 he won a Fulbright Scholarship to undertake postgraduate study in theUnited States. From 1992 to 1996, Tao was a graduate student at Princeton University under the direction of Elias Stein, receiving his Ph.D. at the age of 21.[SUP][6][/SUP] He joined the faculty of the University of California, Los Angeles in 1996. When he was 24, he was promoted to full professor at UCLA and remains the youngest person ever appointed to that rank by the institution.

Tao's father was born and grew up in Shanghai, and Tao's mother is Cantonese by ethnicity.[SUP][7][/SUP] His parents are first generation immigrants from Hong Kong to Australia.[SUP][8][/SUP] His father, Billy Tao (Chinese: 陶象國; pinyin: Táo Xiàngguó; Cantonese Yale: tòuh jeuhng gwok) is a pediatrician, and his mother, Grace Tao, is a physics and mathematics graduate from the University of Hong Kong, formerly a secondary school teacher of mathematics in Hong Kong.[SUP][9][/SUP]

Tao has two brothers living in Australia, both of whom represented Australia at the International Mathematical Olympiad.



Tao, his wife Laura (an engineer at NASA's Jet Propulsion Laboratory),[SUP][11][/SUP] their son, and their daughter live in Los Angeles,California.

Research and awards


Tao has won numerous honors and awards.[SUP][12][/SUP] He received the Salem Prize in 2000, the Bôcher Memorial Prize in 2002, and theClay Research Award in 2003, for his contributions to analysis including work on the Kakeya conjecture and wave maps. In 2005, he received the American Mathematical Society's Levi L. Conant Prize with Allen Knutson, and in 2006 he was awarded theSASTRA Ramanujan Prize.

In 2004, Ben Green and Tao released a preprint proving what is now known as the Green–Tao theorem. This theorem states that there are arbitrarily long arithmetic progressions of prime numbers. The New York Times described it this way:[SUP][13][/SUP][SUP][14][/SUP]

[TABLE="class: cquote"]
[TR]
[TD]"[/TD]
[TD]In 2004, Dr. Tao, along with Ben Green, a mathematician now at the University of Cambridge in England, solved a problem related to the Twin Prime Conjecture by looking at prime number progressions-series of numbers equally spaced. (For example, 3, 7 and 11 constitute a progression of prime numbers with a spacing of 4; the next number in the sequence, 15, is not prime.) Dr. Tao and Dr. Green proved that it is always possible to find, somewhere in the infinity of integers, a progression of prime numbers of equal spacing and any length.[/TD]
[TD="align: right"]"[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

For this and other work Tao was awarded the Australian Mathematical Society Medal of 2004.


In August 2006, at the 25th International Congress of Mathematicians in Madrid, he became one of the youngest persons, the first Australian, and the first UCLA faculty member ever to be awarded a Fields Medal.[SUP][15][/SUP][SUP][16][/SUP] An article by New Scientist[SUP][17][/SUP] writes of his ability:


[TABLE="class: cquote"]
[TR]
[TD]"[/TD]
[TD]Such is Tao's reputation that mathematicians now compete to interest him in their problems, and he is becoming a kind of Mr Fix-it for frustrated researchers. "If you're stuck on a problem, then one way out is to interest Terence Tao," says Charles Fefferman [professor of mathematics at Princeton University].[SUP][15][/SUP][SUP][16][/SUP][/TD]
[TD="align: right"]"[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Tao was a finalist to become Australian of the Year in 2007.[SUP][18][/SUP] He is a corresponding member of the Australian Academy of Science, and in 2007 was elected as a Fellow of the Royal Society.[SUP][19][/SUP][SUP][20][/SUP] In the same year Tao also published Tao's inequality,[SUP][21][/SUP] an extension to the Szemerédi regularity lemma in the field of information theory.

In April 2008, Tao received the Alan T. Waterman Award, which recognizes an early career scientist for outstanding contributions in their field. In addition to a medal, Waterman awardees also receive a $500,000 grant for advanced research.[SUP][22][/SUP]

In December 2008, he was named The Lars Onsager lecturer[SUP][23][/SUP] of 2008, for "his combination of mathematical depth, width and volume in a manner unprecedented in contemporary mathematics". He was presented the Onsager Medal, and held his Lars Onsager lecture entitled "Structure and randomness in the prime numbers"[SUP][24][/SUP] at NTNU,Norway.


Tao was also elected a Fellow of the American Academy of Arts and Sciences in 2009.[SUP][25][/SUP]


In 2010, he received the King Faisal International Prize jointly with Enrico Bombieri.[SUP][26][/SUP] Also in 2010, he was awarded the Nemmers Prize in Mathematics[SUP][27][/SUP] and the Polya Prize (SIAM).[SUP][28][/SUP] Tao and Van H. Vu solved the circular law conjecture.


Tao also made contributions to the study of the Erdős–Straus conjecture in 2011 by showing that the number of solutions to the Erdős–Straus equation increases polylogarithmically as n tends to infinity.

In 2012 he and Jean Bourgain received the Crafoord Prize in Mathematics from the Royal Swedish Academy of Sciences.[SUP][29][/SUP][SUP][30][/SUP] Also, in 2012, he was selected as a Simons Investigator.[SUP][31][/SUP] He proved that every odd integer greater than 1 is the sum of at most five primes.[SUP][32][/SUP]

He is a Fellow of the Royal Society, the Australian Academy of Sciences (Corresponding Member), the National Academy of Sciences (Foreign member), the American Academy of Arts and Sciences, and the American Mathematical Society.[SUP][33][/SUP] In 2006, he received the Fields Medal "for his contributions to partial differential equations, combinatorics, harmonic analysis and additive number theory", and in 2007, he was awarded the MacArthur Fellowship. He has been featured in The New York Times, CNN,USA Today, Popular Science, and many other media outlets.[SUP][34][/SUP]


As of 2013 Tao has published over 250 research papers and 17 books.[SUP][35][/SUP] He has an Erdős number of 2.


Book publications


  • Solving Mathematical Problems: A Personal Perspective,[SUP][36][/SUP] Oxford University Press, 2006
  • Analysis, Vols I and II, Hindustan Book Agency, 2006
  • Additive Combinatorics, with Van H. Vu, Cambridge University Press, 2006
  • Nonlinear dispersive equations: local and global analysis, CBMS regional series in mathematics, 2006.
  • Structure and Randomness: pages from year one of a mathematical blog, American Mathematical Society. 2008
  • Poincaré's legacies: pages from year two of a mathematical blog, Vols. I and II, American Mathematical Society, 2009
  • An Introduction to Measure Theory, American Mathematical Society, 2011
  • An Epsilon of Room, I: Real Analysis: pages from year three of a mathematical blog, American Mathematical Society, 2011 (online version)
  • An Epsilon of Room, II: pages from year three of a mathematical blog, American Mathematical Society, 2011 (online version)
  • An Introduction to Measure Theory. American Mathematical Society, 2011, (online version)
  • Topics in Random Matrix Theory, American Mathematical Society, 2012 (online version)
  • Higher-order Fourier Analysis, American Mathematical Society, 2012 (online version)
  • Compactness and Contradiction, American Mathematical Society, 2013 (online version)
See also


 
Hatujaamua kufuatilia tu hapa tz kuna watu mi maskini wa kutupwa lakini wana uwezo mkubwa kuliko hata kei jei kuliko hata hayo mawerungu huko asia....tunapenda sana kuwasifia thats why wanaendeleza sifa za kutuonesha kuwa wapo juu zaidi yetu....
 
Once again no african! Tuna matatizo

Wewe ndio na matatizo kwa kuamini kuwa katika dunia ya watu bil.3 jarida moja linaloratibiwa na watu wasiofika 100 wanaweza kujua nani ana akili na nani maauma.
 
Inajulikana kuna binadamu zaidi ya billion 6 duniani na wengine sio rahisi kujua IQ zao kulingana na mazingira wanamoishi. Lakini kinachofikirisha na kufurahisha katika hii mada ni kuwa wengi wenye IQ za juu wanakuwa bora katika hesabu, kigezo kimojawapo kizuri cha kufikiri na kuelewa haraka badala ya kukariri. Ni nzuri
 
....ingawa woote wanasubiri kwa Bill Gates, lakin ongera zao...!!
 
Kuna jamaa mmoja alisoma Mzumbe Sekondari miaka ya nyuma, alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kusolve Pure Maths...kimsingi hakuna swali la hesabu lililokuwa linakatiza mbele yake iwe kitabu chochote....

Pia miaka ya nyuma pale Makongo Sekondari kulikuwa na mwalimu mmoja akiitwa Mzee Yona Kazibure. Kabla ya kuwa mwalimu pia alipata kuwa Fundi mitambo RTD na kabla ya hapo alipelekwa na Serikali kusoma nchini Uingereza.
Akiwa nchini Uingereza alipata kusoma na mwanaFizikia maarufu ambaye ni mtunzi wa vitabu almaarufu kama NELKON kwa elimu ya A-Level.
Inaaminika Tanzania haijawahi kutoa mtaalamu wa masuala ya Fizikia kama huyu jamaa. Kwa ubabe wa Kambarage alichoma vyeti vya huyu bwana kama alivyopata kuwanyanyasa wasomi wengine kama kina Tuntemeke.

Mifano ipo mingi...naungana nawe kuwa tatizo ni mfumo wa nchi yetu.

mkuu, Mh.Tundu Lisu alifanya vema kumkosoa Nyerere.
 
wale wa special school njooni huku,mnambwela mbwela jukwaani kujiona mna akili na Ma A yenu ya makaratasi yasiyo na maana kwa taifa(mnaboa sana), mpaka viwembe vya kunyolea v.uzy tu tunaagiza China halafu unaskia lijitu oo mi kichwa!

mkuu c unaona tunashindwa hata kuendelea sababu ya kila mahala siasa.Wale wanaogunduliwa na zembwela mtaan wenye vipaj,sijajua hata kama wizara ya elimu ya juu na ufund uwa inawafatilia,ndio maana tuna viongoz wenye udokta wa kupewa.
 
Inajulikana kuna binadamu zaidi ya billion 6 duniani na wengine sio rahisi kujua IQ zao kulingana na mazingira wanamoishi. Lakini kinachofikirisha na kufurahisha katika hii mada ni kuwa wengi wenye IQ za juu wanakuwa bora katika hesabu, kigezo kimojawapo kizuri cha kufikiri na kuelewa haraka badala ya kukariri. Ni nzuri
Watu wenye ufikiri mkubwa ni lazima hesabu ipande,ukijua hesabu mengine hayatasumbua sana,angalia watu uliokuwa unasoma nao o-level na advance,ambao wanafaham hesabu vyema hata masomo mengine wapo vizuri....hesabu inafikirisha sana tena sana na ina techniq nyingi sana za mitego.
 
Duh bora nibakie kua kilaza tu, kutekwa nje nje unafungiwa kwenye kibox kazi yako kutunga formula za mabomu na silaha zingine..
 
Back
Top Bottom