The Top 10 Most Intelligent People in the World

wale wa special school njooni huku,mnambwela mbwela jukwaani kujiona mna akili na Ma A yenu ya makaratasi yasiyo na maana kwa taifa(mnaboa sana), mpaka viwembe vya kunyolea v.uzy tu tunaagiza China halafu unaskia lijitu oo mi kichwa!

Punguza munkari mkuu
 
kijiwe chake huyo somali kiko pale al- uruba hotel,mtaa wa mkunguni-kkoo,utamkuta yeye na jamaa zake wana chew mirungi 24/7 kama mnyama mbuzi vile.lol

Mkuu umenikumbusha ule mtaa na lile jengo karbia pale (gold plaza) ni wasomali watupu hao ndo wanaotuchora.
 
Terence tao ni sheeda akiwa mwanao kazi unayo.
 
wale wa special school njooni huku,mnambwela mbwela jukwaani kujiona mna akili na Ma A yenu ya makaratasi yasiyo na maana kwa taifa(mnaboa sana), mpaka viwembe vya kunyolea v.uzy tu tunaagiza China halafu unaskia lijitu oo mi kichwa!

Haaaaaa nimechekaje mkuu inaonekana ulikuwa kilaza,ila umenichekesha sana,ila mie kichwa ujue
 

Mzumbe ni emily patrick nn mkuu
 
Hamna mwafrika hata mmoja. Nilitegemea mtu km kiwete awemo coz tayari ni dr alafu ana phd
 
Serikali inampango gani na wanafunzi walifauru kidato cha nene
Mpaka sasa wabafunzi hajapangiwa shule za kwenda na mda ndo unazidi kwebda na watapewa mda mchache wakujiandaa kitu ambacho sio sahahi
 
Ila katika hao wote hakuna Billionaire hata mmoja. Wote wana hela za kubadilishia mboga tu. Wenye hela nyingi wengi wala hawana akili nyingi. Wana akili za kawaida tu.
 

Hahahahaaaaa we niouma,hyo ya mze Said mi sina mbavu😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…