Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
Thitaki banaaa[emoji85] [emoji85]Malizia ebu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thitaki banaaa[emoji85] [emoji85]Malizia ebu
[emoji34][emoji34]Hata namba ulitoa au umesahau
Jiongeze bathii...[emoji85] [emoji85]Taka bhaanaaaaa [emoji4][emoji4]
1 ujumlishe na 2 na 3 afu utapata jibuHahaha...huku au kwenye ule uzi wako? ?
Hebu mkabith huyo kijana[emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Anazingua bana [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji35]Hebu mkabith huyo kijana
Wang jimbo alitendee hak
Candy
Anazingua kiajeAnazingua bana [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji35]
[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]Anazingua kiaje
Hello, MMU. Nadhani mpo Ok, zaidi poleni na shughuli za j3.
JF bhna[emoji23][emoji23], toka juzi watu wanashindana kutajana kwenye ziileee nyuzi. Ambao hawakutajwa walilalamika na kugomba vya kutosha. Ila Usife moyo watoto wazuri na wanaume bado wanazaliwa ipo siku (tutatajwa[emoji38][emoji38].)
(Kwa leo), wote tunajua kila sehemu ina best kapo. siyo shuleni..chuoni..kazini au hata mitaani..utaskia tu watu wanaiponti couple fulani na kuimiminia sifa. Hii ni kutokana na upendo,ukaribu na urafiki wenza waliojijengea. JF kuna couple nyingi saana mpaka zingine hazielewiki kama ni za kweli au mwisho wake humu tu. Hayo sisi hayatuhusu maana tunaishi maisha ya tunachokiona bhana.
Kwangu hizi ni top 5 best couple za hapa JF. Je za kwako ni zipi zitaje na taja sababu za kuwa best than others.
1. Daby na husna muba
2. mshanajr na angel Nylon( jamaa sijui analoga)
3. sumbai na cute b(ilipotea kwa muda)
4. Bailly5 na Madame S (imeletwa na tetemeko la makonda)
5. STUNTER na jje's(hii bado changa ila ipo hot)
NB: hii ni chitchat
Ha ha ha ha yupo ila low profile hatak list hapa isje ikatokea vitaNitaachaje kwa mfano. Haujabahatisha kamsupuuu nikuongeze kwenye list wewe!
Ha ha ha heri nusu shar kuliko shari kamili aiseeeWewe nakujua utakuwa unaogopa vita tu...
Ha ha ha ha unafikri sikumbuku mbinu ya husna muba ile kuweka waz leo hii ungesimama hapo ulipigwa pina moja matata sanaHahaha...mimi jasiri bhn hayo ya kawaida kwangu