The Tourist: Let's go to Bahamas, a way forwad to USA

The Tourist: Let's go to Bahamas, a way forwad to USA

Una usd 20,000.00 unatafuta fursa [emoji23][emoji23]
Have you already been there au bado upo uko utupe ushauri kwa mtu ambae anaenda huko akiwa hana anae mfahamu ila ana pocket money ya USD 20000 anawez ku survive vip mpaka atakapo pata hata kibarua cha kubeba box naomba ushare na sis expirience kama unajua lolote kuhus Bahamas. Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania bado ni nchi mtu ukiamua kweli kweli kukaza kama mnavyokaza matako huko nje unatoboa vizuri sana, kuna fursa nyingi mnoo, hamna mtu atanishawishi nihame nchi yangu kwenda kupigika ugenini ili kuleta heshima home wakati mazingira yanaruhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu akili kama fingerprints kila mtu anazake wewe kama umeiona fursa hapa nyumbani ikazie mpaka ufanikiwe, na usizani nafas uliok ww na mwingine anayo jifunze kuheshimu mawazo na matakwa ya mtu mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi mzuri sana huu kwa vijana wenye ndoto ya kuishi na kutafuta maisha nje ya nchi.

Maisha ni popote pale ukiamua inawezekana
Yeah sure mkuu, karibu tujumuike kupata ABC's
 
Huko kumbe naweza kwenda likizo bila shida. Sikujua hili aisee.

Bro wangu hua ananiambia ukila mtoto wa Caribbean hata ukifa you die with dignity. Hakika nitaenda huko maybe next year.
😂😂, mpango pesa tu mkuu.
 
Haihitajiki lakini ukienda ofisi zetu kuomba passport usishangae kuombwa barua ya mwaliko!!!!! wakati kule unakoenda hawana haja nayo
True say, hustle za "kitabu" zinajitegemea ingawa nowdays sababu ni nyingi za kuombea passport.
 
Mleta uzi umenifurahisha sana hapo kwenye picha.

Jambo lingine hujatuambia transit Visa kupitia US. inakuwa je; kumbuka ni lazima

Kitu cha pili naomba kujazia nyama kuwa kwa wale wote wanataka kujilipua inabidi wafanye utafiti kuhusu kazi zinazopatikana kwa wing I huku. Wasije kwenda kung'angania kazi zinazofanywa na wazawa; itakuwa ngumu kuzipata

God save us
Nitakuja kueleza kwa undani swala hilo, nitakutag mkuu.
 
Kizazi hiki tulicho ni cha wapumbavu. mababu zetu walikuwa watu WA kimataifa. Makabila yetu yote Tanzania yalitoka mataifa mengine kuja kuanzisha makazi Tanzania. mababu wa kingoni mfano walisafiri nchi kibao toka Afrika Kusini kabla ya kutua Songea Tanzania wakisaka maisha bora.

Wachaga, wanyakyusa, Masai, nk
Lakini kizazi hiki cha wapumbavu hata kutoa passport tu shida na kwenda nje ya nchi kimejaa woga wa kipumbavu

Ina Maana Wale wazee wetu WA kale walikuwa na uthubutu wa kimataifa pamoja na kuwa walikuwa hawajui kusoma wala kuandika!!!

Sasa tuna wasomi akisikia mtu anazamia anasikia kutetemeka hadi kujiharishia

Wazee wetu walikuwa international traveller's sisi kizazi chao cha sass ni local and we are proud to be local!!!!

Nampongeza huyo anayetaka kuzamia ruksa I wish him all the best likitokea LA kutokea ajali kazini lakini walau amethubutu kufurahisha walau mizimu ya babu na bibi zake ambao walikuwa international travellers kutafuta maisha
My pleasure, thanks for the compliment.
 
Kwanza hilo swali zuri sana kuhusu hiyo transit visa ya USA maana inabidi uipate na maswali ni kama unaomba visa yao hapo [emoji45]
La pili kama una hela za ziada unaweza ukakaa kwa muda ukiangalia hali ya hapo na kama unaweza kufanya biashara ndogo ndogo
Najua wahamiaji wengi duniani wanaanza na biashara ya chakula
Imagine uanze kupika pilau au mishikaki na chips na mengi tu
Kumbuka tusingeijua pizza au biriyani bila ya wageni na imewatoa haswa
Good luck [emoji6]


Sent from my iPhone using Tapatalk
Well said, thanks for the informations chief.
 
Wale msiotaka Usumbufu wa kupata Transit Visa ya ubalozi wa marekani ya kupitia new york nk miji ya marekani msipate shida.Nendeni
afrika ya kusini ukifika pale ziko ndege kibao zinaenda bahamas moja kwa moja non stop kutoka oliva Tambo airport pale johansburg.hadi bahamas ni kama mwendo wa masaa 14 angani

ukishafika bahamas mengine yaliyobakia ya kwako
Very potential and useful information, barikiwa sana mkuu.
 
Hivi kwa nini wamarekani wanakuwa wagumu sana kwenye miji yao,wao wanazani kila mtu ni mzamiaji tu,yaani kwenye kutoa visa ni wagumu kudadeeki
**** you Americans
Mabeberu hawataki wimbi la wakimbizi kwao, nakumbuka juzi juzi tu hapa trump aliwapiga beat bahamians kuingia US baada ya adha ya mafuriko na vimbunga vikali.
 
Back
Top Bottom