OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
At least leo umetoa msaada. UmetishaWale msiotaka Usumbufu wa kupata Transit Visa ya ubalozi wa marekani ya kupitia new york nk miji ya marekani msipate shida.Nendeni
afrika ya kusini ukifika pale ziko ndege kibao zinaenda bahamas moja kwa moja non stop kutoka oliva Tambo airport pale johansburg.hadi bahamas ni kama mwendo wa masaa 14 angani
ukishafika bahamas mengine yaliyobakia ya kwako
Sent using Jamii Forums mobile app