HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.na barua ya mwaliko unaipataje mkuu
kumbe kwa visa free countries barua ya mwaliko haiitajiki??.
Ya nni tena mkuu wakati jamaa kasema visa free
Au nimeelewa ndivyo sivyo
Hana uchoyo wa information ushindwe mwenyeweAhsante Mkuu ni uzi mzuri!!!!
Haihitajiki lakini ukienda ofisi zetu kuomba passport usishangae kuombwa barua ya mwaliko!!!!! wakati kule unakoenda hawana haja nayokumbe kwa visa free countries barua ya mwaliko haiitajiki??
Mleta uzi umenifurahisha sana hapo kwenye picha.
Jambo lingine hujatuambia transit Visa kupitia US. inakuwa je; kumbuka ni lazima
Kitu cha pili naomba kujazia nyama kuwa kwa wale wote wanataka kujilipua inabidi wafanye utafiti kuhusu kazi zinazopatikana kwa wing I huku. Wasije kwenda kung'angania kazi zinazofanywa na wazawa; itakuwa ngumu kuzipata
God save us
Nchi nyingine yenye watoto wazuri Venezuela na Colombia,ni hatariHalafu huku eti kuna watu wanajiita warembo, unamiliki rangi mbili na wigi kwenye mwili wako halafu unajiita mrembo angalieni color hizo original hakuna sugu hapo wala dalili za kukomaa very very soft...
Tafuta maisha kwanza ukiwa nazo huna haja hata ya kuwafuata Watakufuata wenyewe popote ulipo duniani kwa gharama zao. Ondoa ulofa kwanzaNchi nyingine yenye watoto wazuri Venezuela na Colombia,ni hatari
Wengi hata vigogo WA vyama Na serikali wengi maendeleo hawajayapatia vijijini kwao walikozaliwa wameyapatia Mbali kwingine ukiona maisha yamebana kwako binafsi Tanzania usiogope kutimka kutafuta maisha nchi zingine. Wengine wasiojielwa utasikia oh how hapa hapa pana maisha!!!! Sio kwa kila mtu. Mfano Marekani kwa watanzania kuna fursa kibao wakati huo huo wamarekani wanawaza kuja Tanzania kwa kuona kuna fursa. mnapishana angani kwenye ndege mmarekani anakuja kuchukua fursa Tanzania Na mtanzania unaenda kuchukua fursa marekani ndivyo yalivyo maisha ni kitendawiliUzi mzuri sana huu kwa vijana wenye ndoto ya kuishi na kutafuta maisha nje ya nchi.
Maisha ni popote pale ukiamua inawezekana
Wewe unafikiri ambao tuko JF hatuna pesa,huko Caribbean nimezungika sana BomboclaatTafuta maisha kwanza ukiwa nazo huna haja hata ya kuwafuata Watakufuata wenyewe popote ulipo duniani kwa gharama zao. Ondoa ulofa kwanza