The Tourist: Let's go to Bahamas, a way forwad to USA

The Tourist: Let's go to Bahamas, a way forwad to USA

Wale msiotaka Usumbufu wa kupata Transit Visa ya ubalozi wa marekani ya kupitia new york nk miji ya marekani msipate shida.Nendeni
afrika ya kusini ukifika pale ziko ndege kibao zinaenda bahamas moja kwa moja non stop kutoka oliva Tambo airport pale johansburg.hadi bahamas ni kama mwendo wa masaa 14 angani

ukishafika bahamas mengine yaliyobakia ya kwako
 
Wale msiotaka Usumbufu wa kupata Transit Visa ya ubalozi wa marekani ya kupitia new york nk miji ya marekani msipate shida.Nendeni
afrika ya kusini ukifika pale ziko ndege kibao zinaenda bahamas moja kwa moja non stop kutoka oliva Tambo airport pale johansburg.hadi bahamas ni kama mwendo wa masaa 14 angani

ukishafika bahamas mengine yaliyobakia ya kwako
Hiyo transit visa inasumbua sana kupatikana nchi kama USA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri sana hongera kwako mleta uzi kwa kufikiria nje ya box na kuleta idea nagwa kama hizi kwa wapenda safari naamini wataanza kulifanyia research hili wazo. Naamini waTz wpo dunia nzima so kama kuna mbongo anaeish Bahamas au aliwah kuish tunaomba aje atupe expirience yake ya huko ili kabla ma travellers hawaja fanya maamuzi wawe na information za kutosha kuhusu kisiwa cha The Bahams na hata na vingine ambavyo vipo Caribbean. Information is power
"This heart of mine was made to travel this world"

"Travel is my therapy"
"To travel is to live"

Wasalam,

Kama title ya uzi huu inavyoeleza, lengo la uzi huu ni kutoa dondoo kadhaa kwa wadau wenzangu wa kujilipua nje ya hii continent so called "shithole" (D.Trump, Jan 10, 2018) [emoji36], and this time specific to this "Caribbean Paradise" Bahamas.

Tuifahamu Bahamas.

Bahamas (mjumuisho wa visiwa) ni nchi namba nane kwa ukubwa kati ya visiwa (nchi) 26 vinavyopatikana kwenye bahari ya caribbean. Bahamas ina ukubwa wa kilometa mraba 13,878 na population ya watu wapatao 385,637 hii ni matokeo ya sensa iliyofanyika mwaka 2018.

Watu wa bahamas wanatambulika kama Bahamians, wakiwa ni asili ya mchanganyiko wa waafrika, wamarekani na waingereza, ndio kupatikana kizazi hiki cha sasaa, Lugha rasmi inayozungumzwa na Bahamians ni kiingereza na Asilimiaa zaidi ya tisini (90%+) ni watu wenye asili ya ngozi rangi nyeusi, kwahiyo ewe mzamiaji mwenzangu ondoa shaka katika swala la ubaguzi wa rangi.

Kijiografia nchi ya Bahamas imepakana na visiwa vya cuba, Haiti, Dominican Republic na kwa upande wa kusini-mashariki imepakana karibu kabisa na Jimbo la Florida marekani (nitaeleza kiundani zaidi hapa mbele).

Kwa upande wa Uchumi Bahamas ndio nchi namba moja inayoongoza kwa utajiri katika visiwa 26 vya Caribbbean ikiwa kwa asilimia kubwa ikitegemea Utalii kama chanzo cha kuingizia mapato ya nchi, Pesa inayotumika ni Bahamian dollar ikiwa sawa na Dollar moja ya kimarekani (1 B.Dollar=1 Us dollar = 2300 Tsh ). Mji mkuu wa Bahamas ni Nassau ambapo robo tatu ya raia wote wa Bahamas wanapatikana katika mji wa Nassau.

Twende sasa kwenye lengo la uzi wetu.

Kwa wale wadau wenzangu ambao either wana ndoto za kwenda kuishi US au nchi zenye mfanano wa kiuchumi/Maisha na US hii ni njia rahisi zaidi kutimiza malengo yako kupitia safari ya bahamas.

Kwanini Bahamas?

1. Visa Free country

Nchi ya Bahamas haihitaji Visa katika kuingia nchini humo kwa raia wa tanzania kama utakwenda kama mtalii ambapo utatakiwa kukaa kwa maximum siku 90, ( three months) ambapo kama kweli wewe ni fighter na unajua kutumia fursa hapa ndani ya siku 90 huwezi kukosa kazi ya kuzugia ambapo utapata work permit itakayokupa nafasi ya kuendelea kutafuta kazi nyingine ya maana (N:B its not guaranteed ).

kama nilivyosema awali Bahamas wanategemea sanaa uchumi wao kwenye Swala la tourism ambapo utalii wao umebase kwenye bahari so hapa beach boys ni fursa kwenu, kazi nyingine kama hoteliers etc unaweza kwenda kutupa ndoano yako ambapo kama bahati yako itakuwa vizuri basi utajihakikishia work permit ya Bahamas na utakuwa free kufanya shughuli zako za kila siku.

2. Ukaribu wa kijiografia kati ya Bahamas na USA (Florida)

Sikuambii ni rahisi lakini, how do you feel kukaa karibu na US just 1 hour flight to Florida. I mean chance ya kuingia US ni kubwa sanaa either kupitia meli za kitalii zinazofululiza kutoka na kuingia US kila uchwao, la sivyo upate mwanamke wa kibahamia ambapo ufunge nae ndoa ili ujihakikishie uraia wa bahamas hivyo swala la kuingia US halitokuwa tatizo tena ukifananisha na nchi zetu za Africa.

Tunafikaje Bahamas????

Hakuna njia rahisi isiyokuwa na gharama, hapa lazima ujiinvest vya kutosha kwenda kuanza maisha mapya ugenini,
Utahitaji si chini ya 3-4M madafu ya kibongo kama nauli ya go and return ticket (in case mambo hayajaenda vizuri, rudi nyumbani tu) ambapo ukifika una uwakika wa kuishi kwa siku 90 bahamas hapo andaa si chini ya 2M kwa uwakika wa kuishi kwa muda wote huo mpaka utapopata kazi ya kujishikiza (inategemea na bahati na skills za mtu)

Usafiri kwa Dar es salaam utafanya booking kupitia Turkish airline ambapo utatoka Dar mpaka Istanbul, Turkey hapo utaconnect flight mpaka Boston US , (utanusa hewa ya US kidogo) kabla ya kupanda ndege itakayokupeleka mpaka Nassau, Bahamas.
Pia unaweza kutumia Kampuni ya Qatar wao wana route yao Inaanzia Dar to Doha, Qatar then unaconnect ndege to New York ambapo utaconnect ndege nyingine mpaka Nassau Bahamas.

Hapo ukimaliza taratibu za immigration unainua mikono juu unamshukuru Mungu huku ukianza kupuyanga mtaani akili kumkichwa, unaanza kuchanga karata zako huku ukihesabu masaa yako 129600 (90 days).

Everything is possible for the one who believes!
let's meet at the top.

Cheers [emoji1635]View attachment 1348388 Ramani ya visiwa vya Caribbean.

View attachment 1348389
Ramani ya Bahamas ikionyesha ukaribu na Florida US,


Meli mojawapo ya kitalii, bahamas
View attachment 1348390

Picha ikionyesha mandhari ya bahamas eneo la mji lililozungukwa na maji ya bahari.
View attachment 1348392

Mrembo akiwa amepiga picha kwenye hoteli maarufu ya Atlantis paradise island Hotel.
View attachment 1348393

Jamaa akipiga mzigo wa bartender, marufuku kuchagua kazi.
View attachment 1348394

Watoto warembo kabisa wa kibahamian wakiwa kwenye parade na dance maarufu kama "Junkanoo"

View attachment 1348395View attachment 1348396View attachment 1348397

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri sana hongera kwako mleta uzi kwa kufikiria nje ya box na kuleta idea nagwa kama hizi kwa wapenda safari naamini wataanza kulifanyia research hili wazo. Naamini waTz wpo dunia nzima so kama kuna mbongo anaeish Bahamas au aliwah kuish tunaomba aje atupe expirience yake ya huko ili kabla ma travellers hawaja fanya maamuzi wawe na information za kutosha kuhusu kisiwa cha The Bahams na hata na vingine ambavyo vipo Caribbean. Information is power

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana mkuu.
 
Hivi kwa nini wamarekani wanakuwa wagumu sana kwenye miji yao,wao wanazani kila mtu ni mzamiaji tu,yaani kwenye kutoa visa ni wagumu kudadeeki
https://jamii.app/JFUserGuide you Americans
 
Wazo zuri sana hongera kwako mleta uzi kwa kufikiria nje ya box na kuleta idea nagwa kama hizi kwa wapenda safari naamini wataanza kulifanyia research hili wazo. Naamini waTz wpo dunia nzima so kama kuna mbongo anaeish Bahamas au aliwah kuish tunaomba aje atupe expirience yake ya huko ili kabla ma travellers hawaja fanya maamuzi wawe na information za kutosha kuhusu kisiwa cha The Bahams na hata na vingine ambavyo vipo Caribbean. Information is power

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi namfahamu mtu mmoja yupo huko miaka mingi lakini ukimuandikia ujumbe anaweza kukaa hata mwezi ndio ajibu huku unaona alishasoma.sasa dharau ndogo ndogo kama hizi zinakera sana ila ndo hivyo inabidi upambane tu na hali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kizazi hiki tulicho ni cha wapumbavu. mababu zetu walikuwa watu WA kimataifa. Makabila yetu yote Tanzania yalitoka mataifa mengine kuja kuanzisha makazi Tanzania. mababu wa kingoni mfano walisafiri nchi kibao toka Afrika Kusini kabla ya kutua Songea Tanzania wakisaka maisha bora.

Wachaga, wanyakyusa, Masai, nk
Lakini kizazi hiki cha wapumbavu hata kutoa passport tu shida na kwenda nje ya nchi kimejaa woga wa kipumbavu

Ina Maana Wale wazee wetu WA kale walikuwa na uthubutu wa kimataifa pamoja na kuwa walikuwa hawajui kusoma wala kuandika!!!

Sasa tuna wasomi akisikia mtu anazamia anasikia kutetemeka hadi kujiharishia

Wazee wetu walikuwa international traveller's sisi kizazi chao cha sass ni local and we are proud to be local!!!!

Nampongeza huyo anayetaka kuzamia ruksa I wish him all the best likitokea LA kutokea ajali kazini lakini walau amethubutu kufurahisha walau mizimu ya babu na bibi zake ambao walikuwa international travellers kutafuta maisha

Kiukweli mimi nina dreams za kuzamia, nitasikiliza mtu, kuna mambo naweka fresh, mda ukifika siangalii nyuma.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kiukweli mimi nina dreams za kuzamia, nitasikiliza mtu, kuna mambo naweka fresh, mda ukifika siangalii nyuma.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nenda tu na usiogope chochote na Mungu akutangulie unapozamia.

Mipaka ya nchi tuliyonayo iliwekwa na binadamu sio Mungu kwa hiyo ukizamia hujafanya dhambi yoyote
 
Mimi namfahamu mtu mmoja yupo huko miaka mingi lakini ukimuandikia ujumbe anaweza kukaa hata mwezi ndio ajibu huku unaona alishasoma.sasa dharau ndogo ndogo kama hizi zinakera sana ila ndo hivyo inabidi upambane tu na hali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukwel vitu hivyo vipo sana kwa sisi wa Africa especially wa Tz ya mtz akitusua anaona kashamliza kila kitu hatak hata kuwashaur wenzake kwa ushauri very sad. Ukisha kua mweusi kwenye hii dunia hasa ukiwa Africa hiyo ni changamoto kubwa sana [emoji18][emoji18][emoji18]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If you want to survive well in the Bahamas u have to be a professional Gigolo.

Sex tourism is so mean there .

Just find an old rich women with doughies and here umetusua[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
Have you already been there au bado upo uko utupe ushauri kwa mtu ambae anaenda huko akiwa hana anae mfahamu ila ana pocket money ya USD 20000 anawez ku survive vip mpaka atakapo pata hata kibarua cha kubeba box naomba ushare na sis expirience kama unajua lolote kuhus Bahamas. Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom